< Nehemia 1 >

1 Maneno ya Nehemia mwana wa Hakalia Ikawa, katika mwezi wa Kisleu, katika mwaka wa ishirini, nilikuwa katika mji mkuu wa Sushani,
word Nehemiah son: child Hacaliah and to be in/on/with month (Chislev *Q(k)*) year twenty and I to be in/on/with Susa [the] palace
2 mmoja wa ndugu zangu, Hanani, alikuja pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza kuhusu Wayahudi waliopona, Wayahudi waliosalia waliokuwa huko, na kuhusu Yerusalemu.
and to come (in): come Hanani one from brother: compatriot my he/she/it and human from Judah and to ask them upon [the] Jew [the] survivor which to remain from [the] captivity and upon Jerusalem
3 Wakaniambia, “Wale waliokuwa katika mkoa ule waliookoka katika kifungo wapo katika shida kubwa na aibu kwa sababu ukuta wa Yerusalemu umebomolewa na milango yake imeteketezwa kwa moto.”
and to say to/for me [the] to remain which to remain from [the] captivity there in/on/with province in/on/with distress: harm great: large and in/on/with reproach and wall Jerusalem to break through and gate her to kindle in/on/with fire
4 Na mara tu niliposikia maneno haya, nikakaa na kulia, na kwa siku niliendelea kuomboleza na kufunga na kuomba mbele ya Mungu wa mbinguni.
and to be like/as to hear: hear I [obj] [the] word [the] these to dwell and to weep and to mourn [emph?] day and to be to fast and to pray to/for face: before God [the] heaven
5 Ndipo nikasema, “Wewe ndiwe Bwana, Mungu wa mbinguni, Mungu uliye mkuu na kushangaza, unayetimiza agano na upendo wa kudumu pamoja na wale wanaokupenda na kushika amri zake.
and to say Please! LORD God [the] heaven [the] God [the] great: large and [the] to fear: revere to keep: obey [the] covenant and kindness to/for to love: lover him and to/for to keep: obey commandment his
6 Sikiliza maombi yangu na fungua macho yako, ili uisikie sala ya mtumishi wako kwamba sasa nasali mbele yako mchana na usiku kwa ajili ya watu wa Israeli watumishi wako. Mimi ninakiri dhambi za watu wa Israeli, ambazo tumefanya dhidi yako. Wote mimi na nyumba ya baba yangu tumefanya dhambi.
to be please ear your attentive and eye your to open to/for to hear: hear to(wards) prayer servant/slave your which I to pray to/for face: before your [the] day by day and night upon son: descendant/people Israel servant/slave your and to give thanks upon sin son: descendant/people Israel which to sin to/for you and I and house: household father my to sin
7 Tumefanya uovu sana juu yako, na hatukuzingatia amri, sheria, na hukumu ambazo ulimwamuru mtumishi wako Musa.
to destroy to destroy to/for you and not to keep: obey [obj] [the] commandment and [obj] [the] statute: decree and [obj] [the] justice: judgement which to command [obj] Moses servant/slave your
8 Tafadhali kumbuka neno ulilomuamuru mtumishi wako Musa, 'mkitenda pasipo uaminifu, nitawatawanya kati ya mataifa,
to remember please [obj] [the] word which to command [obj] Moses servant/slave your to/for to say you(m. p.) be unfaithful I to scatter [obj] you in/on/with people
9 lakini mkirudi kwangu na kufuata amri zangu na kuzifanya, ingawa watu wako walienea chini ya mbingu za mbali, Nami nitawakusanya kutoka huko na kuwaleta mahali pale nilipopachagua ili kulifanya jina langu.'
and to return: repent to(wards) me and to keep: obey commandment my and to make: do [obj] them if to be to banish you in/on/with end [the] heaven from there to gather them (and to come (in): bring them *Q(k)*) to(wards) [the] place which to choose to/for to dwell [obj] name my there
10 Sasa wao ni watumishi wako na watu wako, ambao uliwaokoa kwa nguvu yako kubwa na kwa mkono wako wenye nguvu.
and they(masc.) servant/slave your and people your which to ransom in/on/with strength your [the] great: large and in/on/with hand: power your [the] strong
11 Bwana, naomba, sikiliza sasa maombi ya watumishi wako na sala ya watumishi wako ambao hufurahia kuheshimu jina lako. Sasa unifanikishe mimi mtumishi wako leo, na unijalie rehema mbele ya mtu huyu.” Nilikuwa mnyweshaji wa mfalme.
Please! Lord to be please ear your attentive to(wards) prayer servant/slave your and to(wards) prayer servant/slave your [the] delighting to/for to fear: revere [obj] name your and to prosper [emph?] please to/for servant/slave your [the] day and to give: give him to/for compassion to/for face: before [the] man [the] this and I to be cupbearer to/for king

< Nehemia 1 >