< Nehemia 1 >

1 Maneno ya Nehemia mwana wa Hakalia Ikawa, katika mwezi wa Kisleu, katika mwaka wa ishirini, nilikuwa katika mji mkuu wa Sushani,
[the] words of Nehemiah [the] son of Hacaliah and it was in [the] month of (Kislev *Q(k)*) year twenty and I I was in Susa the citadel.
2 mmoja wa ndugu zangu, Hanani, alikuja pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza kuhusu Wayahudi waliopona, Wayahudi waliosalia waliokuwa huko, na kuhusu Yerusalemu.
And he came Hanani one of brothers my he and people from Judah and I asked them about the Jews the escaped remnant who they had survived from the captivity and on Jerusalem.
3 Wakaniambia, “Wale waliokuwa katika mkoa ule waliookoka katika kifungo wapo katika shida kubwa na aibu kwa sababu ukuta wa Yerusalemu umebomolewa na milango yake imeteketezwa kwa moto.”
And they said to me the survivors who they have survived from the captivity there in the province [are] in trouble great and in disgrace and [the] wall of Jerusalem [has been] broken down and gates its they have been burned with fire.
4 Na mara tu niliposikia maneno haya, nikakaa na kulia, na kwa siku niliendelea kuomboleza na kufunga na kuomba mbele ya Mungu wa mbinguni.
And it was when heard I - the words these I sat down and I wept and I mourned! days and I was fasting and praying before [the] God of the heavens.
5 Ndipo nikasema, “Wewe ndiwe Bwana, Mungu wa mbinguni, Mungu uliye mkuu na kushangaza, unayetimiza agano na upendo wa kudumu pamoja na wale wanaokupenda na kushika amri zake.
And I said I beg you O Yahweh [the] God of the heavens the God great and awesome [who] keeps the covenant and covenant loyalty to [those who] love him and to [those who] keep commandments his.
6 Sikiliza maombi yangu na fungua macho yako, ili uisikie sala ya mtumishi wako kwamba sasa nasali mbele yako mchana na usiku kwa ajili ya watu wa Israeli watumishi wako. Mimi ninakiri dhambi za watu wa Israeli, ambazo tumefanya dhidi yako. Wote mimi na nyumba ya baba yangu tumefanya dhambi.
May it be please ear your attentive and eyes your open to listen to [the] prayer of servant your which I [am] praying before you this day by day and night on [the] people of Israel servants your and [am] confessing on [the] sins of [the] people of Israel which we have sinned to you and I and [the] house of father my we have sinned.
7 Tumefanya uovu sana juu yako, na hatukuzingatia amri, sheria, na hukumu ambazo ulimwamuru mtumishi wako Musa.
Surely we have acted corruptly to you and not we have kept the commandments and the statutes and the judgments which you commanded Moses servant your.
8 Tafadhali kumbuka neno ulilomuamuru mtumishi wako Musa, 'mkitenda pasipo uaminifu, nitawatawanya kati ya mataifa,
Remember please the word which you commanded Moses servant your saying you you will act unfaithfully I I will scatter you among the peoples.
9 lakini mkirudi kwangu na kufuata amri zangu na kuzifanya, ingawa watu wako walienea chini ya mbingu za mbali, Nami nitawakusanya kutoka huko na kuwaleta mahali pale nilipopachagua ili kulifanya jina langu.'
And you will turn back to me and you will keep commandments my and you will observe them if it will be banished [one] your at [the] end of the heavens from there I will gather them (and I will bring them *Q(k)*) to the place where I have chosen to cause to dwell name my there.
10 Sasa wao ni watumishi wako na watu wako, ambao uliwaokoa kwa nguvu yako kubwa na kwa mkono wako wenye nguvu.
And they [are] servants your and people your whom you redeemed by strength your great and by hand your mighty.
11 Bwana, naomba, sikiliza sasa maombi ya watumishi wako na sala ya watumishi wako ambao hufurahia kuheshimu jina lako. Sasa unifanikishe mimi mtumishi wako leo, na unijalie rehema mbele ya mtu huyu.” Nilikuwa mnyweshaji wa mfalme.
I beg you O Lord may it be please ear your attentive to [the] prayer of servant your and to [the] prayer of servants your delighting to fear name your and grant success! please to servant your this day and give him compassion before the man this and I I was cup bearer of the king.

< Nehemia 1 >