< Nehemia 1 >

1 Maneno ya Nehemia mwana wa Hakalia Ikawa, katika mwezi wa Kisleu, katika mwaka wa ishirini, nilikuwa katika mji mkuu wa Sushani,
Amo sia: da Nihemaia (Ha: galaia egefe) amo ea hawa: hamosu olelesa. Adasegesisi da Besia soge amoga hina bagade esalu. Ea ouligisu hou ode20 amola oubi ea dio Gisilefe amoga, na, Nihemaia, na da Besia bisili moilai bai bagade amo Susa, amo ganodini esalebe ba: i.
2 mmoja wa ndugu zangu, Hanani, alikuja pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza kuhusu Wayahudi waliopona, Wayahudi waliosalia waliokuwa huko, na kuhusu Yerusalemu.
Na olalali afae amo ea dio Hana: inai, e amola eno dunu gilisili da Yuda soge fisili, nama doaga: i. Na da Yelusaleme moilai bai bagade ea hou, amola ninia Yu fi musa: mugululi asi, Yuda sogega buhagi, amo ilia hou ilima adole ba: i.
3 Wakaniambia, “Wale waliokuwa katika mkoa ule waliookoka katika kifungo wapo katika shida kubwa na aibu kwa sababu ukuta wa Yerusalemu umebomolewa na milango yake imeteketezwa kwa moto.”
Ilia da amo hou nama adole i. Musa: mugululi asi dunu mogili da bogoi dagoi. Be mogili da buhagili, Yuda soge ganodini esala, da se bagade nabawane esala. Ga fi dunu gadenene esala da Yu dunu amo higale ba: sa, ilia sia: i. Yelusaleme gagoi dobea amo musa: mugululi sa: i dagoi, amo da bu hame gagoi. Amola logo ga: su musa: laluga nei, amo da bu hame ga: si.
4 Na mara tu niliposikia maneno haya, nikakaa na kulia, na kwa siku niliendelea kuomboleza na kufunga na kuomba mbele ya Mungu wa mbinguni.
Na da amo sia: nababeba: le, fila sa: ili amola bagadewane dinanu. Eso didia amoga, na da dinanuwane, ha: i mae nawane Godema sia: ne gadolalu.
5 Ndipo nikasema, “Wewe ndiwe Bwana, Mungu wa mbinguni, Mungu uliye mkuu na kushangaza, unayetimiza agano na upendo wa kudumu pamoja na wale wanaokupenda na kushika amri zake.
Na da amane sia: ne gadoi, “Hina Gode Hebene ganodini esala! Di da bagadedafa amola ninia Diba: le beda: i bagade. Dia gousa: su, amo Di da Dima asigi amola nabasu dunu amo fidima: ne hamoi, amo Di da mae fisili dawa: lala.
6 Sikiliza maombi yangu na fungua macho yako, ili uisikie sala ya mtumishi wako kwamba sasa nasali mbele yako mchana na usiku kwa ajili ya watu wa Israeli watumishi wako. Mimi ninakiri dhambi za watu wa Israeli, ambazo tumefanya dhidi yako. Wote mimi na nyumba ya baba yangu tumefanya dhambi.
Hina Gode! Na hou ba: ma amola na sia: ne gadosu nabima! Na da dia fi dunu amo Isala: ili fi dunu amola uda, na da gasi huluane amola eso huluane amoga ili fidima: ne, Dima sia: ne gadolala. Dafawane! Ninia Isala: ili dunu da wadela: le hamoi dagoi. Na amola na aowalali dunu da wadela: i hou hamoi dagoi.
7 Tumefanya uovu sana juu yako, na hatukuzingatia amri, sheria, na hukumu ambazo ulimwamuru mtumishi wako Musa.
Ninia da Dima wadela: i hou hamosu, amola Dia sia: hame nabasu. Ninia Dia sema amo Di da dia hawa: hamosu dunu Mousese ea lafidili ninima i, amoma hame fa: no bobogesu.
8 Tafadhali kumbuka neno ulilomuamuru mtumishi wako Musa, 'mkitenda pasipo uaminifu, nitawatawanya kati ya mataifa,
Dia da Mousesema sia: i liligi bu dawa: ma, amane, ‘Dilia Isala: ili dunu da Na sia: hame nabasea, Na da dilia fi afagogole, ga fi dunu amo ganodini esaloma: ne sefasimu.
9 lakini mkirudi kwangu na kufuata amri zangu na kuzifanya, ingawa watu wako walienea chini ya mbingu za mbali, Nami nitawakusanya kutoka huko na kuwaleta mahali pale nilipopachagua ili kulifanya jina langu.'
Be amasea, dilia da Nama, Na dilima hamoma: ne sia: i defele Nama bu sinidigisia, Na da dili soge amoga Nama nodone sia: ne gadomusa: Na da ilegei, amo sogega Na da dili bu oule misunu,’ Di da amane sia: i dagoi.
10 Sasa wao ni watumishi wako na watu wako, ambao uliwaokoa kwa nguvu yako kubwa na kwa mkono wako wenye nguvu.
Hina Gode! Amo dunu da Dia hawa: hamosu dunu! Ilia da Dia ilegei fi dunu! Di da Dia gasa bagade amoga, amo fi dunu gaga: i dagoi.
11 Bwana, naomba, sikiliza sasa maombi ya watumishi wako na sala ya watumishi wako ambao hufurahia kuheshimu jina lako. Sasa unifanikishe mimi mtumishi wako leo, na unijalie rehema mbele ya mtu huyu.” Nilikuwa mnyweshaji wa mfalme.
Amaiba: le, na sia: ne gadosu amola Dia hawa: hamosu dunu eno ilia Dima nodomusa: dawa: , ilia sia: ne gadosu amola nabima. Hina bagade da na sia: noga: le nabima: ne, Di da ea dogo ganodini hawa: hamoma!” na amane sia: ne gadoi. Amo esoga na da Besia hina bagade amo ea waini hano iasu dunu esalu.

< Nehemia 1 >