< Nehemia 8 >

1 Watu wote walikusanyika kama mtu mmoja katika eneo la wazi mbele ya lango la maji. Wakamwomba Ezra mwandishi akilete Kitabu cha Sheria ya Musa, ambacho Bwana aliwaamuru Israeli.
و تمامی، قوم مثل یک مرد در سعه پیش دروازه آب جمع شدند و به عزرای کاتب گفتند که کتاب تورات موسی را که خداوند به اسرائیل امر فرموده بود، بیاورد.۱
2 Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, Ezra, kuhani, akaleta sheria mbele ya mkutano, wanaume na wanawake, na wote waliokuwa na uwezo wa kusikia na kuelewa.
و عزرای کاهن، تورات را در روز اول ماه هفتم به حضور جماعت از مردان و زنان و همه آنانی که می‌توانستند بشنوند و بفهمند، آورد.۲
3 Akatizama eneo lililo wazi mbele ya lango la Maji, na akasoma toka asubuhi hadi adhuhuri, mbele ya wanaume na wanawake, na yeyote ambaye angeweza kuelewa. Na wote wakasikiliza kwa makini kitabu cha Sheria.
و آن را در سعه پیش دروازه آب از روشنایی صبح تا نصف روز، درحضور مردان و زنان و هر‌که می‌توانست بفهمدخواند و تمامی قوم به کتاب تورات گوش فراگرفتند.۳
4 Na Ezra, mwandishi, alisimama juu ya jukwaa la mbao ambalo watu walikuwa wametengeneza kwa kusudi hilo. Pembeni yake walisimama Matithia, Shema, Anaya, Uria, Hilkia na Maaseya, upande wake wa kuume; na Pedaya, Misbaeli, Malkiya, Hashumu, Hashbadani, Zekaria na Meshulamu walikuwa wamesimama upande wake wa kushoto.
و عزرای کاتب بر منبر چوبی که به جهت اینکار ساخته بودند، ایستاد و به پهلویش از دست راستش متتیا و شمع و عنایا و اوریا وحلقیا و معسیا ایستادند و از دست چپش، فدایا ومیشائیل و ملکیا و حاشوم و حشبدانه و زکریا ومشلام.۴
5 Ezra alifungua kitabu mbele ya watu wote, kwa kuwa alikuwa amesimama juu ya watu, na alipoufungua watu wote wakasimama.
و عزرا کتاب را در نظر تمامی قوم گشودزیرا که او بالای تمامی قوم بود و چون آن راگشود، تمامی قوم ایستادند.۵
6 Ezra akamshukuru Bwana, Mungu mkuu; na watu wote wakainua mikono yao, wakajibu, “Amina! Amina!” Wakainamisha vichwa vyao, wakamwabudu Bwana kwa nyuso zao zikiwa chini.
و عزرا، یهوه خدای عظیم را متبارک خواند و تمامی قوم دستهای خود را برافراشته، در جواب گفتند: «آمین، آمین!» و رکوع نموده، و رو به زمین نهاده، خداوند را سجده نمودند.۶
7 Yeshua, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodai, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabidi, Hanania, Pelaya nao ni Walawi, waliwasaidia watu kuelewa sheria, watu wakakaa mahali pao.
و یشوع و بانی وشربیا و یامین و عقوب و شبتای و هودیا و معسیاو قلیطا و عزریا و یوزاباد و حنان و فلایا و لاویان، تورات را برای قوم بیان می‌کردند و قوم، در جای خود ایستاده بودند.۷
8 Wao walisoma katika kitabu, Sheria ya Mungu, wakaeleza wazi kwa tafsiri na kutoa maana ili watu waelewe yaliyosomwa.
پس کتاب تورات خدا را به صدای روشن خواندند و تفسیر کردند تا آنچه را که می‌خواندند، بفهمند.۸
9 Nehemia, gavana, na Ezra kuhani, na mwandishi, na Walawi waliokuwa wakitafsiri kwa watu, wakawaambia watu wote, Siku hii ni takatifu kwa Bwana, Mungu wenu. Msiomboleze au kulia. Kwa kuwa watu wote walilia wakati waliposikia maneno ya sheria.
و نحمیا که ترشاتا باشد وعزرای کاهن و کاتب و لاویانی که قوم رامی فهمانیدند، به تمامی قوم گفتند: «امروز برای یهوه خدای شما روز مقدس است. پس نوحه گری منمایید و گریه مکنید.» زیرا تمامی قوم، چون کلام تورات را شنیدند گریستند.۹
10 Nehemia akawaambia, 'Nendeni, mle kilichonona, mkate na maji ya kunywa, na mpelekeni mtu asiye na kitu, kwa maana siku hii ni takatifu kwa Bwana wetu. Msiwe na huzuni, kwa kuwa furaha ya Bwana ni nguvu zenu.
پس به ایشان گفت: «بروید و خوراکهای لطیف بخورید و شربتها بنوشید و نزد هر‌که چیزی برای او مهیا نیست حصه‌ها بفرستید، زیراکه امروز، برای خداوند ما روز مقدس است، پس محزون نباشید زیرا که سرور خداوند، قوت شمااست.»۱۰
11 Basi Walawi wakawafanya watu kuwa na utulivu, wakisema, “Nyamazeni! kwa maana siku hii ni takatifu. Msiwe na huzuni.”
و لاویان تمامی قوم را ساکت ساختندو گفتند: «ساکت باشید زیرا که امروز روز مقدس است. پس محزون نباشید.»۱۱
12 Watu wote wakaenda kula na kunywa na kugawana chakula na kusherehekea kwa furaha kubwa kwa sababu walielewa maneno waliyohubiriwa.
پس تمامی قوم رفته، اکل و شرب نمودند و حصه‌ها فرستادند وشادی عظیم نمودند زیرا کلامی را که به ایشان تعلیم داده بودند فهمیدند.۱۲
13 Siku ya pili viongozi wa nyumba za mababu kutoka kwa watu wote, makuhani na Walawi, wakakusanyika kwa Ezra, mwandishi ili kupata ufahamu kutoka kwenye maneno ya sheria.
و در روز دوم روسای آبای تمامی قوم وکاهنان و لاویان نزد عزرای کاتب جمع شدند، تاکلام تورات را اصغا نمایند.۱۳
14 Wakaona imeandikwa katika sheria namna Bwana alivyomuamuru Musa kwamba wana wa Israeli waishi katika hema wakati wa sikukuu ya mwezi wa saba.
و در تورات چنین نوشته یافتند که خداوند به واسطه موسی‌امرفرموده بود که بنی‌اسرائیل در عید ماه هفتم، درسایبانها ساکن بشوند.۱۴
15 Wanapaswa kutoa tamko katika miji yao yote, na huko Yerusalemu, wakisema, 'Nendeni nje kwenye nchi ya vilima, na mkalete matawi kutoka kwenye mzeituni mwitu, na matawi ya mihadsi, na matawi ya mitende na matawi ya miti minene ili kufanya vibanda vya muda kama ilivyoandikwa.”
و در تمامی شهرهای خود و در اورشلیم اعلان نمایند و ندا دهند که به کوهها بیرون رفته، شاخه های زیتون و شاخه های زیتون بری و شاخه های آس و شاخه های نخل وشاخه های درختان کشن بیاورند و سایه بانها، به نهجی که مکتوب است بسازند.۱۵
16 Basi watu wakatoka na kuleta matawi, wakajifanyia mahema, kila mmoja juu ya paa zao, katika ua zao, katika mahakama za nyumba ya Mungu, mahali pa wazi pa lango la Maji, na katika mraba wa lango la Efraimu.
پس قوم بیرون رفتند و هر کدام بر پشت بام خانه خود و در حیاط خود و در صحنهای خانه خدا و در سعه دروازه آب و در سعه دروازه افرایم، سایبانها برای خود ساختند.۱۶
17 Kisha kusanyiko lote la wale waliorudi kutoka kifungoni wakafanya mahema na kukaa ndani yake. Kwa kuwa tangu siku za Yoshua, mwana wa Nuni hata siku hiyo, watu wa Israeli hawakuadhimisha sikukuu hii. Na furaha ilikuwa kubwa sana.
و تمامی جماعتی که از اسیری برگشته بودند، سایبانهاساختند و در سایبانها ساکن شدند، زیرا که از ایام یوشع بن نون تا آن روز بنی‌اسرائیل چنین نکرده بودند. پس شادی بسیار عظیمی رخ نمود.۱۷
18 Pia siku kwa siku, tangu siku ya kwanza hadi mwisho, Ezra alisoma kutoka Kitabu cha Sheria ya Mungu. Walifanya sikukuu kwa siku saba na siku ya nane kilikuwa na kusanyiko zuri, kwa utiifu wa amri.
وهر روز از روز اول تا روز آخر، کتاب تورات خدارا می‌خواند و هفت روز عید را نگاه داشتند. و در روز هشتم، محفل مقدس برحسب قانون برپا شد.۱۸

< Nehemia 8 >