< Nehemia 8 >
1 Watu wote walikusanyika kama mtu mmoja katika eneo la wazi mbele ya lango la maji. Wakamwomba Ezra mwandishi akilete Kitabu cha Sheria ya Musa, ambacho Bwana aliwaamuru Israeli.
I shromáždil se všecken lid jednomyslně do ulice, kteráž jest proti bráně vodné, a řekli Ezdrášovi učiteli, aby přinesl knihu zákona Mojžíšova, kterýž vydal Hospodin lidu Izraelskému.
2 Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, Ezra, kuhani, akaleta sheria mbele ya mkutano, wanaume na wanawake, na wote waliokuwa na uwezo wa kusikia na kuelewa.
Tedy přinesl Ezdráš kněz zákon před to shromáždění mužů i žen i všech, kteříž by rozumně poslouchati mohli, prvního dne měsíce sedmého.
3 Akatizama eneo lililo wazi mbele ya lango la Maji, na akasoma toka asubuhi hadi adhuhuri, mbele ya wanaume na wanawake, na yeyote ambaye angeweza kuelewa. Na wote wakasikiliza kwa makini kitabu cha Sheria.
I četl v něm na té ulici, kteráž jest proti bráně vodné, od jitra až do poledne, při přítomnosti mužů i žen, i kteřížkoli rozuměti mohli. A uši všeho lidu obráceny byly k knize zákona.
4 Na Ezra, mwandishi, alisimama juu ya jukwaa la mbao ambalo watu walikuwa wametengeneza kwa kusudi hilo. Pembeni yake walisimama Matithia, Shema, Anaya, Uria, Hilkia na Maaseya, upande wake wa kuume; na Pedaya, Misbaeli, Malkiya, Hashumu, Hashbadani, Zekaria na Meshulamu walikuwa wamesimama upande wake wa kushoto.
Stál pak Ezdráš učitel na kazatelnici dřevěné, kterouž byli udělali k té věci, a stál podlé něho Mattitiáš, Sema, Anaiáš, Uriáš, Helkiáš a Maaseiáš, po pravé ruce jeho, po levé pak Pedaiáš, Misael, Malkiáš, Chasum, Chasbaddana, Zachariáš a Mesullam.
5 Ezra alifungua kitabu mbele ya watu wote, kwa kuwa alikuwa amesimama juu ya watu, na alipoufungua watu wote wakasimama.
Otevřel tedy Ezdráš knihu před očima všeho lidu, (nebo výše stál než všecken lid). Kterouž jakž otevřel, povstal všecken lid.
6 Ezra akamshukuru Bwana, Mungu mkuu; na watu wote wakainua mikono yao, wakajibu, “Amina! Amina!” Wakainamisha vichwa vyao, wakamwabudu Bwana kwa nyuso zao zikiwa chini.
I dobrořečil Ezdráš Hospodinu Bohu velikému, a všecken lid odpovídal: Amen, amen, pozdvihujíce rukou svých, a skloňujíce hlavy, poklonu učinili Hospodinu tváří k zemi.
7 Yeshua, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodai, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabidi, Hanania, Pelaya nao ni Walawi, waliwasaidia watu kuelewa sheria, watu wakakaa mahali pao.
Tak i Jesua, Báni, Serebiáš, Jamin, Akkub, Sabbetai, Hodiáš, Maaseiáš, Kelita, Azariáš, Jozabad, Chanan, Pelaiáš, a Levítové vyučovali lid zákonu. Lid pak byl na místě svém.
8 Wao walisoma katika kitabu, Sheria ya Mungu, wakaeleza wazi kwa tafsiri na kutoa maana ili watu waelewe yaliyosomwa.
Nebo čtli v té knize v zákoně Božím srozumitelně, a vykládajíce smysl, vysvětlovali to, což čtli.
9 Nehemia, gavana, na Ezra kuhani, na mwandishi, na Walawi waliokuwa wakitafsiri kwa watu, wakawaambia watu wote, Siku hii ni takatifu kwa Bwana, Mungu wenu. Msiomboleze au kulia. Kwa kuwa watu wote walilia wakati waliposikia maneno ya sheria.
Potom řekl Nehemiáš, jinak Tirsata, a Ezdráš kněz, učitel, a Levítové, kteříž lid vyučovali, všemu lidu: Den tento posvěcený jest Hospodinu Bohu vašemu, nekvěltež, ani plačte. (Nebo plakal všecken lid, když slyšeli slova zákona.)
10 Nehemia akawaambia, 'Nendeni, mle kilichonona, mkate na maji ya kunywa, na mpelekeni mtu asiye na kitu, kwa maana siku hii ni takatifu kwa Bwana wetu. Msiwe na huzuni, kwa kuwa furaha ya Bwana ni nguvu zenu.
Ale jděte, řekl jim, a jezte tučné věci, a píte sladké, sdílejíce se s těmi, kteříž nemají nic připraveno. Den zajisté tento svatý jest Pánu našemu, protož nermuťtež se, nýbrž radost Hospodinova budiž síla vaše.
11 Basi Walawi wakawafanya watu kuwa na utulivu, wakisema, “Nyamazeni! kwa maana siku hii ni takatifu. Msiwe na huzuni.”
A když tak Levítové pospokojili všeho lidu, mluvíce: Mlčte, nebo den svatý jest, a nermuťte se,
12 Watu wote wakaenda kula na kunywa na kugawana chakula na kusherehekea kwa furaha kubwa kwa sababu walielewa maneno waliyohubiriwa.
Odšel všecken lid, aby jedli a pili, a aby se sdíleli. I veselili se velmi, proto že srozuměli slovům těm, kteráž jim v známost uvedli.
13 Siku ya pili viongozi wa nyumba za mababu kutoka kwa watu wote, makuhani na Walawi, wakakusanyika kwa Ezra, mwandishi ili kupata ufahamu kutoka kwenye maneno ya sheria.
Potom nazejtří sešla se knížata čeledí otcovských ze všeho lidu, kněží i Levítové k Ezdrášovi učiteli, aby vyrozuměli slovům zákona.
14 Wakaona imeandikwa katika sheria namna Bwana alivyomuamuru Musa kwamba wana wa Israeli waishi katika hema wakati wa sikukuu ya mwezi wa saba.
Našli pak napsáno v zákoně, že přikázal Hospodin skrze Mojžíše, aby bydlili synové Izraelští v stáncích na slavnost měsíce sedmého,
15 Wanapaswa kutoa tamko katika miji yao yote, na huko Yerusalemu, wakisema, 'Nendeni nje kwenye nchi ya vilima, na mkalete matawi kutoka kwenye mzeituni mwitu, na matawi ya mihadsi, na matawi ya mitende na matawi ya miti minene ili kufanya vibanda vya muda kama ilivyoandikwa.”
A aby dali prohlásiti a provolati po všech městech svých i v Jeruzalémě, řkouce: Vyjděte na hory, a přineste ratolestí olivových a ratolestí dříví borového, a ratolestí myrtových, i ratolestí palmových, a ratolestí dříví hustého, abyste nadělali stánků, tak jakž psáno jest.
16 Basi watu wakatoka na kuleta matawi, wakajifanyia mahema, kila mmoja juu ya paa zao, katika ua zao, katika mahakama za nyumba ya Mungu, mahali pa wazi pa lango la Maji, na katika mraba wa lango la Efraimu.
Protož vyšed lid, přinesli a nadělali sobě stánků, jeden každý na střeše své, i v síních svých, i v síních domu Božího, i v ulici brány vodné, i v ulici brány Efraim.
17 Kisha kusanyiko lote la wale waliorudi kutoka kifungoni wakafanya mahema na kukaa ndani yake. Kwa kuwa tangu siku za Yoshua, mwana wa Nuni hata siku hiyo, watu wa Israeli hawakuadhimisha sikukuu hii. Na furaha ilikuwa kubwa sana.
A tak nadělali stánků všecko shromáždění těch, jenž se vrátili z zajetí, a bydlili v nich, (ačkoli nečinili tak synové Izraelští ode dnů Jozue syna Nun, až do dne toho). I byla radost velmi veliká.
18 Pia siku kwa siku, tangu siku ya kwanza hadi mwisho, Ezra alisoma kutoka Kitabu cha Sheria ya Mungu. Walifanya sikukuu kwa siku saba na siku ya nane kilikuwa na kusanyiko zuri, kwa utiifu wa amri.
Èetl pak v knize zákona Božího na každý den, od prvního dne až do posledního, a drželi slavnost za sedm dní. Osmého pak dne byl svátek podlé obyčeje.