< Nehemia 7 >
1 Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
Und es geschah, als die Mauer gebaut war, da setzte ich die Türflügel ein; und die Torhüter und die Sänger und die Leviten wurden bestellt.
2 nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
Und ich beorderte über Jerusalem meinen Bruder Hanani und Hananja, den Obersten der Burg; denn er war ein sehr treuer Mann und gottesfürchtig vor vielen.
3 Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
Und ich sprach zu ihnen: Die Tore Jerusalems sollen nicht eher geöffnet werden, als bis die Sonne heiß scheint; und während sie noch dastehen, soll man die Türflügel zumachen, und verschließet sie. Und ihr sollt Wachen aus den Bewohnern Jerusalems aufstellen, den einen auf seine Wache und den anderen vor sein Haus.
4 Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
Die Stadt aber war geräumig und groß, und das Volk darin spärlich, und keine Häuser waren gebaut.
5 Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
Und mein Gott gab mir ins Herz, die Edlen und die Vorsteher und das Volk zu versammeln, um sie nach den Geschlechtern zu verzeichnen. Und ich fand das Geschlechtsverzeichnis derer, die zuerst heraufgezogen waren, und fand darin geschrieben:
6 Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
Dies sind die Kinder der Landschaft Juda, welche aus der Gefangenschaft der Weggeführten, die Nebukadnezar, der König von Babel, weggeführt hatte, hinaufzogen, und die nach Jerusalem und Juda zurückkehrten, ein jeder in seine Stadt,
7 Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
welche kamen mit Serubbabel, Jeschua, Nehemia, Asarja, Raamja, Nachamani, Mordokai, Bilschan, Mispereth, Bigwai, Nechum, Baana. Zahl der Männer des Volkes Israel:
8 Wana wa Paroshi, 2, 172.
Die Söhne Parhosch', zweitausend einhundertzweiundsiebzig;
die Söhne Schephatjas, dreihundertzweiundsiebzig;
die Söhne Arachs, sechshundertzweiundfünfzig;
die Söhne Pachath-Moabs, von den Söhnen Jeschuas und Joabs, zweitausend achthundertachtzehn;
12 kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
die Söhne Elams, tausend zweihundertvierundfünfzig;
13 Wana wa Elamu, 1, 254.
die Söhne Sattus, achthundertfünfundvierzig;
14 Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
die Söhne Sakkais, siebenhundertsechzig;
die Söhne Binnuis, sechshundertachtundvierzig;
die Söhne Bebais, sechshundertachtundzwanzig;
17 Wana wa Azgadi, 2, 322.
die Söhne Asgads, zweitausend dreihundertzweiundzwanzig;
18 Wana wa Adonikamu, 667.
die Söhne Adonikams, sechshundertsiebenundsechzig;
19 Wana wa Bigwai, 2, 067.
die Söhne Bigwais, zweitausend siebenundsechzig;
die Söhne Adins, sechshundertfünfundfünfzig;
21 Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
die Söhne Aters, von Hiskia, achtundneunzig;
die Söhne Haschums, dreihundertachtundzwanzig;
die Söhne Bezais, dreihundertvierundzwanzig;
die Söhne Hariphs, hundertzwölf;
die Söhne Gibeons, fünfundneunzig;
26 Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
die Männer von Bethlehem und Netopha, hundertachtundachtzig;
27 Watu wa Anathothi, 128.
die Männer von Anathoth, hundertachtundzwanzig;
28 Watu wa Beth Azmaweth, 42.
die Männer von Beth-Asmaweth, zweiundvierzig;
29 Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
die Männer von Kirjath-Jearim, Kephira und Beeroth, siebenhundertdreiundvierzig;
30 Watu wa Rama na Geba, 621.
die Männer von Rama und Geba, sechshunderteinundzwanzig;
die Männer von Mikmas, hundertzweiundzwanzig;
32 Watu wa Betheli na Ai, 123.
die Männer von Bethel und Ai, hundertdreiundzwanzig;
die Männer von dem anderen Nebo, zweiundfünfzig;
34 Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
die Söhne des anderen Elam, tausend zweihundertvierundfünfzig;
die Söhne Harims, dreihundertzwanzig;
die Söhne Jerechos, dreihundertfünfundvierzig;
37 Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
die Söhne Lods, Hadids und Onos, siebenhunderteinundzwanzig;
38 Watu wa Senaa, 3, 930.
die Söhne Senaas, dreitausend neunhundertdreißig.
39 makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
Die Priester: die Söhne Jedajas, vom Hause Jeschuas, neunhundertdreiundsiebzig;
40 Wana wa Imeri, 1, 052.
die Söhne Immers, tausend und zweiundfünfzig;
41 Wana wa Pashuri, 1, 247.
die Söhne Paschchurs, tausend zweihundertsiebenundvierzig;
42 Wana wa Harimu, 1, 017.
die Söhne Harims, tausend und siebzehn.
43 Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
Die Leviten: die Söhne Jeschuas und Kadmiels, von den Söhnen Hodwas, vierundsiebzig. -
44 Waimbaji wana wa Asafu; 148.
Die Sänger: die Söhne Asaphs, hundertachtundvierzig. -
45 Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
Die Torhüter: die Söhne Schallums, die Söhne Aters, die Söhne Talmons, die Söhne Akkubs, die Söhne Hatitas, die Söhne Schobais, hundertachtunddreißig.
46 Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
Die Nethinim: die Söhne Zichas, die Söhne Hasuphas, die Söhne Tabbaoths,
47 wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
die Söhne Keros', die Söhne Sias, die Söhne Padons,
48 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
die Söhne Lebanas, die Söhne Hagabas, die Söhne Salmais,
49 wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
die Söhne Hanans, die Söhne Giddels, die Söhne Gachars,
50 Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
die Söhne Reajas, die Söhne Rezins, die Söhne Nekodas,
51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
die Söhne Gassams, die Söhne Ussas, die Söhne Paseachs,
52 wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
die Söhne Besais, die Söhne der Meunim, die Söhne der Nephisim,
53 Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
die Söhne Bakbuks, die Söhne Hakuphas, die Söhne Harchurs,
54 wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
die Söhne Bazluths, die Söhne Mechidas, die Söhne Harschas,
55 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
die Söhne Barkos', die Söhne Siseras, die Söhne Tamachs,
56 wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
die Söhne Neziachs, die Söhne Hatiphas.
57 Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
Die Söhne der Knechte Salomos: die Söhne Sotais, die Söhne Sophereths, die Söhne Peridas,
58 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
die Söhne Jaalas, die Söhne Darkons, die Söhne Giddels,
59 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
die Söhne Schephatjas, die Söhne Hattils, die Söhne Pokereths-Hazzebaim, die Söhne Amons.
60 Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
Alle Nethinim und Söhne der Knechte Salomos: dreihundertzweiundneunzig.
61 Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
Und diese sind es, die aus Tel-Melach, Tel-Harscha, Kerub, Addon und Immer hinaufzogen; aber sie konnten ihr Vaterhaus und ihre Abkunft nicht angeben, ob sie aus Israel wären:
62 wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
die Söhne Delajas, die Söhne Tobijas, die Söhne Nekodas, sechshundertzweiundvierzig.
63 Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
Und von den Priestern: die Söhne Habajas, die Söhne Hakkoz', die Söhne Barsillais, der ein Weib von den Töchtern Barsillais, des Gileaditers, genommen hatte und nach ihrem Namen genannt wurde.
64 Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
Diese suchten ihr Geschlechtsregisterverzeichnis, aber es wurde nicht gefunden; und sie wurden von dem Priestertum als unrein ausgeschlossen.
65 Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
Und der Tirsatha sprach zu ihnen, daß sie von dem Hochheiligen nicht essen dürften, bis ein Priester für die Urim und die Thummim aufstände.
66 Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
Die ganze Versammlung insgesamt war zweiundvierzigtausend dreihundertundsechzig,
67 isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
außer ihren Knechten und ihren Mägden; dieser waren siebentausend dreihundertsiebenunddreißig. Und sie hatten zweihundertfünfundvierzig Sänger und Sängerinnen.
68 Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
Ihrer Rosse waren siebenhundertsechsunddreißig, ihrer Maultiere zweihundertfünfundvierzig,
69 ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
der Kamele vierhundertfünfunddreißig, der Esel sechstausend siebenhundertzwanzig.
70 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
Und ein Teil der Häupter der Väter gab zum Werke. Der Tirsatha gab für den Schatz: an Gold tausend Dariken, fünfzig Sprengschalen, fünfhundertdreißig Priesterleibröcke.
71 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
Und einige von den Häuptern der Väter gaben für den Schatz des Werkes: an Gold zwanzigtausend Dariken, und an Silber zweitausend zweihundert Minen.
72 Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
Und was das übrige Volk gab, war an Gold zwanzigtausend Dariken, und an Silber zweitausend Minen, und siebenundsechzig Priesterleibröcke.
73 Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”
Und die Priester und die Leviten und die Torhüter und die Sänger und die aus dem Volke und die Nethinim und ganz Israel wohnten in ihren Städten.