< Nehemia 7 >

1 Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
Or, après que le mur fut bâti, les battants des portes placés, les portiers, les chantres et les lévites abrités,
2 nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
Je donnai des ordres à mon frère Annulas, et à Ananias, gouverneur du palais de Jerusalem; car celui-ci était un homme sincère, et craignant Dieu plus que beaucoup d'autres.
3 Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
Et je leur dis: Que les portes de Jérusalem ne soient point ouvertes avant le lever du soleil, et que, pendant que tout le monde est encore éveillé, on les ferme et les verrouille; instituez aussi des gardes parmi les habitants de Jérusalem, chacun à son poste, chacun dans le quartier où est sa maison.
4 Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
Or, la ville était grande et vaste, et le peuple en elle était peu nombreux; et les maisons n'étaient pas réédifiées.
5 Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
Et Dieu me mit au cœur de réunir les nobles, les chefs et le peuple, pour le recensement, et je trouvai le livre du recensement des premiers arrivés, et j'y vis écrit:
6 Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
Voici les fils de la terre promise, délivrés de la captivité où les avait emmenés Nabuchodonosor, roi de Babylone; chacun d'eux est de retour en sa ville: à Jérusalem et en Juda,
7 Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
Avec Zorobabel, Josué, Néhémias, Azarias, Reelma, Naémani, Mardochée, Balsan, Maspharath, Esdras, Boguïas, Inaum, Baana et Masphar; hommes du peuple d'Israël:
8 Wana wa Paroshi, 2, 172.
Fils de Phoros: deux mille cent soixante-douze.
9 Wana wa Shefatia, 372.
Fils de Saphatia: trois cent soixante-douze.
10 Wana wa Ara, 652.
Fils d'Era: six cent cinquante-deux.
11 Wana wa Pahath Moabu,
Fils de Phaath-Moab, avec les fils de Josué et de Joab: deux mille six cent dix-huit.
12 kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
Fils d'Elam: douze cent cinquante-quatre.
13 Wana wa Elamu, 1, 254.
Fils de Zathuïa: huit cent quarante-cinq.
14 Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
Fils de Zacchu: sept cent soixante.
15 Wana wa Binnui, 648.
Fils de Banni: six cent quarante-huit.
16 Wana wa Bebai, 628.
Fils de Bébi: six cent vingt- huit.
17 Wana wa Azgadi, 2, 322.
Fils d'Asgad: deux mille trois cent vingt-deux.
18 Wana wa Adonikamu, 667.
Fils d'Adonicam: six cent soixante-sept.
19 Wana wa Bigwai, 2, 067.
Fils de Bagoï, deux mille soixante-sept.
20 Wana wa Adini, 655.
Fils d'Edin: six cent cinquante-cinq.
21 Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
Fils d'Ater, issu d'Ezéchias: quatre-vingt-dix-huit.
22 Wana wa Hashumu, 328.
Fils d'Esam: trois cent vingt-huit.
23 Wana wa Besai, 324.
Fils de Béseï: trois cent vingt-quatre.
24 Wana wa Harifu, 112.
Fils d'Ariph: cent douze. Fils d'Asen: deux cent vingt-trois.
25 Wana wa Gibeoni, 95.
Fils de Gabaon: quatre-vingt-quinze.
26 Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
Fils de Béthalem: cent vingt-trois. Fils d'Atopha: cinquante-six.
27 Watu wa Anathothi, 128.
Fils d'Anathoth: cent vingt-huit.
28 Watu wa Beth Azmaweth, 42.
Hommes de Béthasmoth: quarante-deux.
29 Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
Hommes de Cariatharim, Caphira et Beroth: sept cent quarante-trois.
30 Watu wa Rama na Geba, 621.
Hommes d'Arama et de Gabaa: six cent vingt.
31 Watu wa Mikmasi, 122.
Hommes de Machemas: cent vingt-deux.
32 Watu wa Betheli na Ai, 123.
Hommes de Béthel et d'Haï: cent vingt-trois.
33 Watu wa Nebo, 52.
Hommes de Nabia: cent cinquante-deux.
34 Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
Hommes d'Elamaar: douze cent cinquante-deux.
35 Watu wa Harimu, 320.
Fils d'Eram: trois cent vingt.
36 Watu wa Yeriko, 345.
Fils de Jéricho: trois cent quarante-cinq.
37 Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
Fils de Lodadid et d'Ono, sept cent vingt et un.
38 Watu wa Senaa, 3, 930.
Fils de Sanana: trois mille neuf cent trente.
39 makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
Prêtres, fils de Joad, appartenant à la maison de Jésus: neuf cent soixante-treize.
40 Wana wa Imeri, 1, 052.
Fils d'Emmer: mille cinquante-deux.
41 Wana wa Pashuri, 1, 247.
Fils de Phaseür: douze cent quarante-sept.
42 Wana wa Harimu, 1, 017.
Fils d'Eram: mille dix-sept.
43 Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
Lévites, fils de Jésus, fils de Cadmiel, avec les fils d'Uduïa: soixante-quatorze.
44 Waimbaji wana wa Asafu; 148.
Chantres, fils d'Asaph: cent quarante-huit.
45 Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
Portiers, fils de Salum, fils d'Ater, fils de Telmon, fils d'Acub, fils d'Atita, fils de Sabi: cent trente-huit.
46 Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
Nathinéens: fils de Seha, fils d'Aspha, fils de Labaoth,
47 wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
Fils de Ciras, fils d'Asuïa, fils de Phadon,
48 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
Fils de Labana, fils d'Agaba, fils de Selmeï,
49 wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
Fils d'Anan, fils de Gadel, fils de Gaar,
50 Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
Fils de Rahaïa, fils de Basson, fils de Necoda,
51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
Fils de Gézam, fils d'Ozi, fils de Phesé,
52 wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
Fils de Bési, fils de Meïnon, fils de Nephosasi,
53 Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
Fils de Bacbuc, fils d'Achipha, fils d'Arur,
54 wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
Fils de Basaloth, fils de Mida, fils d'Adasan,
55 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
Fils de Barcué, fils de Sisarath, fils de Théma,
56 wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
Fils de Nisia, fils d'Atipha,
57 Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
Fils des serviteurs de Salomon, fils de Suteï, fils de Sapharat, fils de Phérida,
58 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
Fils de Jelel, fils de Dorcon, fils de Gadahel,
59 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
Fils de Saphatias, fils d'Ettel, fils de Phacarath, fils de Sabaïm, fils d'Emim.
60 Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
Total des Nathinéens et des fils des serviteurs de Salomon: trois cent quatre-vingt-douze.
61 Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
Et voici ceux qui partirent de Thelméleth, Thélarésa, Charub, Eron, Jemer, et ils n'étaient point capables de déclarer leurs familles paternelles ni leur race; à savoir s'ils étaient nés d'Israël.
62 wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
Fils de Dalaïa, fils de Tobias, fils de Necoda: six cent quarante-deux.
63 Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
Et, parmi les prêtres, les fils d'Ebia, les fils d'Acos, les fils de Berzelli qui portaient ce nom, parce qu'ils avaient épousé des filles issues de Berzelli le Galaadite,
64 Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
Cherchèrent leur inscription sur le rôle de ceux qui étaient revenus, et ils ne le trouvèrent pas, et ils furent rejetés du sacerdoce.
65 Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
Or, l'athersastha leur dit de ne point manger des choses les plus saintes jusqu'à ce que surgit un prêtre pour les éclairer.
66 Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
Et toute l'Église montait à environ quarante-deux mille trois cent soixante âmes.
67 isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
Sans compter leurs esclaves et leurs serviteurs, au nombre de sept mille trois cent trente-sept; et il y avait deux cent [quarante-cinq] chantres et chanteuses.
68 Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
[Sept cent trente-six chevaux, deux cent quarante-cinq mules.]
69 ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
[Quatre cent trente-cinq chameaux, ] deux-mille sept cents ânes.
70 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
Et Néhémias reçut, d'une partie des chefs des familles paternelles, pour le trésor des travaux, mille sicles d'or, cinquante fioles et trente costumes sacerdotaux.
71 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
Et une autre part des chefs des familles paternelles donna, pour le trésor des travaux, vingt mille pièces d'or et deux mille deux cents pièces d'argent.
72 Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
Et le reste du peuple donna vingt mille pièces d'or, deux mille deux cents mines d'argent et soixante-sept costumes sacerdotaux.
73 Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”
Et les prêtres, et les lévites, et les portiers et les chantres, et ceux du peuple, et les Nathinéens, et tout Israël, s'établirent dans leurs villes.

< Nehemia 7 >