< Nehemia 7 >
1 Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
After the wall had been finished and we had put the gates in their places, we assigned to the temple guards and to the members of the [sacred] choir and the other descendants of Levi the work that they were to do.
2 nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
I appointed two men to [help me to] govern Jerusalem, my brother Hanani and Hananiah who was the commander of the fortress [in Jerusalem]. Hananiah always did his work reliably, and he revered God more than most other people do.
3 Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
I said to them, “Do not open the gates of Jerusalem until late each morning. And close the gates and put the bars across the doors [(late in each afternoon/before sunset)] while the gatekeepers are still guarding the gates.” I also told them to appoint some people who lived in Jerusalem to be guards [on the wall], and to assign some of them to be guards at certain other places and to assign others to guard the area close to their own houses.
4 Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
The city [of Jerusalem] covered a large area, but [at that time] not many people lived in the city, and they had not built many new houses yet [HYP].
5 Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
[To defend the city, we needed more people there.] Then God gave me the idea to summon the leaders and officials and [other] people, and to look in the books [in which were written the names] of all the people and their clans. So I found the records of the people who had first returned from Babylonia. This is what I found written in those records:
6 Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
(This is a list/Here are the names) of the people who returned to Jerusalem and to other places in Judea. They had been living in Babylonia since King Nebuchadnezzar’s army had captured their relatives/ancestors and took them to Babylonia. But they had returned to Judea and were living in the towns [where their ancestors had lived].
7 Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
Their leaders were Zerubbabel, Joshua, Azariah, Raamiah, Nahamani, Mordecai, Bilshan, Mispereth, Bigvai, Nehum, Baanah, and me. This is a list of the number of men in each clan who returned:
8 Wana wa Paroshi, 2, 172.
2,172 men from the clan of Parosh;
372 men from the clan of Shephatiah;
652 men from the clan of Arah;
2,818 men from the clan of Pahath-Moab, who are descendants of Jeshua and Joab;
12 kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
1,254 men from the clan of Elam;
13 Wana wa Elamu, 1, 254.
845 men from the clan of Zattu;
14 Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
760 men from the clan of Zaccai;
648 men from the clan of Bani (OR, Binnui);
628 men from the clan of Bebai;
17 Wana wa Azgadi, 2, 322.
2,322 men from the clan of Azgad;
18 Wana wa Adonikamu, 667.
667 men from the clan of Adonikam;
19 Wana wa Bigwai, 2, 067.
2,067 men from the clan of Bigvai;
655 men from the clan of Adin;
21 Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
98 men from the clan of Ater, whose other name is Hezekiah;
328 men from the clan of Hashum;
324 men from the clan of Bezai;
112 men from the clan of Hariph, [whose other name is Jorah];
95 men from the clan of Gibeon, [whose other name is Gibbar].
26 Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
Men whose ancestors had lived in these towns also returned: 188 men from Bethlehem and Netophah
27 Watu wa Anathothi, 128.
128 men from Anathoth;
28 Watu wa Beth Azmaweth, 42.
42 men from Beth-Azmaveth
29 Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
743 men from Kiriath-Jearim, Kephirah and Beeroth;
30 Watu wa Rama na Geba, 621.
621 men from Ramah and Geba;
32 Watu wa Betheli na Ai, 123.
123 men from Bethel and Ai;
34 Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
1,254 from Elam;
37 Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
721 from Lod, Hadid, and Ono;
38 Watu wa Senaa, 3, 930.
3,930 from Senaah. The following priests also returned:
39 makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
973 from the clan of Jedaiah who are descendants of Jeshua;
40 Wana wa Imeri, 1, 052.
1,052 from the clan of Immer;
41 Wana wa Pashuri, 1, 247.
1,247 from the clan of Pashhur;
42 Wana wa Harimu, 1, 017.
1,017 from the clan of Harim.
43 Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
[Other] descendants of Levi who returned were: 74 from the clan of Jeshua and Kadmiel, who are descendants of Hodevah [who is also known as Hodaviah];
44 Waimbaji wana wa Asafu; 148.
148 singers who are descendants of Asaph.
45 Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
Also 138 temple gatekeepers from the clans of Shallum, Ater, Talmon, Akkub, Hatita, and Shobai returned.
46 Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
Temple workers who returned were descendants of these men: Ziha, Hasupha, Tabbaoth,
47 wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
Keros, Sia [who is also known as Siaha], Padon,
48 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
Lebanah, Hagabah, Shalmai,
49 wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
Hanan, Giddel, Gahar,
50 Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
Reaiah, Rezin, Nekoda,
51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
Gazzam, Uzza, Paseah,
52 wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
Besai, Meunim, Ephusesim [who is also called Nephusim],
53 Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
Bakbuk, Hakupha, Harhur,
54 wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
Bazlith [who is also called Bazluth], Mehida, Harsha,
55 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
Barkos, Sisera, Temah,
56 wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
Neziah, and Hatipha.
57 Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
Descendants of the servants of King Solomon who returned were: Sotai, Sophereth [who is also called Hassophereth], Perida [who is also known as Peruda],
58 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
Jaalah, Darkon, Giddel,
59 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
Shephatiah, Hattil, Pokereth-hazzebaim, and Amon.
60 Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
Altogether, there were 392 temple workers and descendants of Solomon’s servants who returned.
61 Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
Another group of 642 people from the clans of Delaiah, Tobiah, and Nekoda also returned. They came from the towns of Tel-Melah, Tel-Harsha, Kerub, Addan ([which is also known as Addon]), and Immer [in Babylonia]. But they could not prove that they were descendants of Israelis.
62 wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
63 Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
Priests from the clans of Hobaiah, Hakkoz, and Barzillai also returned. Barzillai had married a woman who is a descendant of [a man named] Barzillai from [the] Gilead [region], and he had taken his wife’s family name.
64 Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
They searched in the records that contained the names of people’s ancestors, but they could not find the names of those clans, so they were not allowed to have the rights and duties that priests have right away.
65 Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
The governor told them that before they could eat the food offered as sacrifices, a priest should use the marked stones [to find out what God said about their being priests].
66 Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
Altogether, there were 42,360 people who returned to Judea.
67 isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
There were also 7,337 of their servants, and 245 singers, which included men and women.
68 Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
The Israelis also brought back [from Babylonia] 736 horses, 245 mules,
69 ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
435 camels, and 6,720 donkeys.
70 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
Some of the leaders of the clans gave gifts for the work [of rebuilding the temple]. I, being the governor, gave (17 pounds/8.6 kg.) of gold, 50 bowls [to be used in the temple], and 530 robes for the priests.
71 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
Some of the leaders of the clans gave a total of (337 pounds/153 kg.) of gold, and (3,215 pounds/1,460 kg.) of silver.
72 Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
The rest of the people gave a total of (337 pounds/153 kg.) of gold, (2,923 pounds/1,330 kg.) of silver, and 67 robes for the priests.
73 Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”
So the priests, the [other] descendants of Levi [who helped the priests], the temple guards, the musicians, the temple workers, and many ordinary people, who were all Israelis, started to live in the towns and cities of Judea [where their ancestors had lived].