< Nehemia 7 >

1 Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
Now when the building of the wall was complete and I had put up the doors, and the door-keepers and the music-makers and the Levites had been given their places,
2 nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
I made my brother Hanani, and Hananiah, the ruler of the tower, responsible for the government of Jerusalem: for he was a man of good faith, fearing God more than most.
3 Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
And I said to them, Do not let the doors of Jerusalem be open till the sun is high; and while the watchmen are in their places, let the doors be shut and locked: and let the people of Jerusalem be put on watch, every one in his watch, opposite his house.
4 Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
Now the town was wide and great: but the people in it were only a small number, and the houses had not been put up.
5 Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
And my God put it into my heart to get together the rulers and the chiefs and the people so that they might be listed by families. And I came across a record of the names of those who came up at the first, and in it I saw these words:
6 Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
These are the people of the divisions of the kingdom, among those who had been made prisoners by Nebuchadnezzar, the king of Babylon, and taken away by him, who went back to Jerusalem and Judah, every one to his town;
7 Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
Who came with Zerubbabel, Jeshua, Nehemiah, Azariah, Raamiah, Nahamani, Mordecai, Bilshan, Mispereth, Bigvai, Nehum, Baanah. The number of the men of the people of Israel:
8 Wana wa Paroshi, 2, 172.
The children of Parosh, two thousand, one hundred and seventy-two.
9 Wana wa Shefatia, 372.
The children of Shephatiah, three hundred and seventy-two.
10 Wana wa Ara, 652.
The children of Arah, six hundred and fifty-two.
11 Wana wa Pahath Moabu,
The children of Pahath-moab, of the children of Jeshua and Joab, two thousand, eight hundred and eighteen.
12 kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
The children of Elam, a thousand, two hundred and fifty-four.
13 Wana wa Elamu, 1, 254.
The children of Zattu, eight hundred and forty-five.
14 Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
The children of Zaccai, seven hundred and sixty.
15 Wana wa Binnui, 648.
The children of Binnui, six hundred and forty-eight.
16 Wana wa Bebai, 628.
The children of Bebai, six hundred and twenty-eight.
17 Wana wa Azgadi, 2, 322.
The children of Azgad, two thousand, three hundred and twenty-two.
18 Wana wa Adonikamu, 667.
The children of Adonikam, six hundred and sixty-seven.
19 Wana wa Bigwai, 2, 067.
The children of Bigvai, two thousand and sixty-seven.
20 Wana wa Adini, 655.
The children of Adin, six hundred and fifty-five.
21 Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
The children of Ater, of Hezekiah, ninety-eight.
22 Wana wa Hashumu, 328.
The children of Hashum, three hundred and twenty-eight.
23 Wana wa Besai, 324.
The children of Bezai, three hundred and twenty-four.
24 Wana wa Harifu, 112.
The children of Hariph, a hundred and twelve.
25 Wana wa Gibeoni, 95.
The children of Gibeon, ninety-five.
26 Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
The men of Beth-lehem and Netophah, a hundred and eighty-eight.
27 Watu wa Anathothi, 128.
The men of Anathoth, a hundred and twenty-eight.
28 Watu wa Beth Azmaweth, 42.
The men of Beth-azmaveth, forty-two.
29 Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
The men of Kiriath-jearim, Chephirah, and Beeroth, seven hundred and forty-three.
30 Watu wa Rama na Geba, 621.
The men of Ramah and Geba, six hundred and twenty-one.
31 Watu wa Mikmasi, 122.
The men of Michmas, a hundred and twenty-two.
32 Watu wa Betheli na Ai, 123.
The men of Beth-el and Ai, a hundred and twenty-three.
33 Watu wa Nebo, 52.
The men of the other Nebo, fifty-two.
34 Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
The children of the other Elam, a thousand, two hundred and fifty-four.
35 Watu wa Harimu, 320.
The children of Harim, three hundred and twenty.
36 Watu wa Yeriko, 345.
The children of Jericho, three hundred and forty-five.
37 Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
The children of Lod, Hadid, and Ono, seven hundred and twenty-one.
38 Watu wa Senaa, 3, 930.
The children of Senaah, three thousand, nine hundred and thirty.
39 makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
The priests: the children of Jedaiah, of the family of Jeshua, nine hundred and seventy-three.
40 Wana wa Imeri, 1, 052.
The children of Immer, a thousand and fifty-two.
41 Wana wa Pashuri, 1, 247.
The children of Pashhur, a thousand, two hundred and forty-seven.
42 Wana wa Harimu, 1, 017.
The children of Harim, a thousand and seventeen.
43 Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
The Levites: the children of Jeshua, of Kadmiel, of the children of Hodevah, seventy-four.
44 Waimbaji wana wa Asafu; 148.
The music-makers: the children of Asaph, a hundred and forty-eight.
45 Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
The door-keepers: the children of Shallum, the children of Ater, the children of Talmon, the children of Akkub, the children of Hatita, the children of Shobai, a hundred and thirty-eight.
46 Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
The Nethinim: the children of Ziha, the children of Hasupha, the children of Tabbaoth,
47 wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
The children of Keros, the children of Sia, the children of Padon,
48 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
The children of Lebana, the children of Hagaba, the children of Salmai,
49 wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
The children of Hanan, the children of Giddel, the children of Gahar,
50 Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
The children of Reaiah, the children of Rezin, the children of Nekoda,
51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
The children of Gazzam, the children of Uzza, the children of Paseah,
52 wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
The children of Besai, the children of Meunim, the children of Nephushesim,
53 Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
The children of Bakbuk, the children of Hakupha, the children of Harhur,
54 wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
The children of Bazlith, the children of Mehida, the children of Harsha,
55 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
The children of Barkos, the children of Sisera, the children of Temah,
56 wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
The children of Neziah, the children of Hatipha.
57 Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
The children of Solomon's servants: the children of Sotai, the children of Sophereth, the children of Perida,
58 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
The children of Jaala, the children of Darkon, the children of Giddel,
59 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
The children of Shephatiah, the children of Hattil, the children of Pochereth-hazzebaim, the children of Amon.
60 Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
All the Nethinim and the children of Solomon's servants were three hundred and ninety-two.
61 Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
All these were the people who went up from Tel-melah, Tel-harsha, Cherub, Addon, and Immer; but because they had no knowledge of their fathers' families or offspring, it was not certain if they were Israelites:
62 wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
The children of Delaiah, the children of Tobiah, the children of Nekoda, six hundred and forty-two.
63 Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
And of the priests: the children of Hobaiah, the children of Hakkoz, the children of Barzillai, who was married to one of the daughters of Barzillai the Gileadite, and took their name.
64 Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
They made search for their record among the lists of families, but their names were nowhere to be seen, so they were looked on as unclean and no longer priests.
65 Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
And the Tirshatha said that they were not to have the most holy things for their food, till a priest came to give decision by the Urim and Thummim.
66 Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
The number of all the people together was forty-two thousand, three hundred and sixty;
67 isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
As well as their men-servants and their women-servants, of whom there were seven thousand, three hundred and thirty-seven; and they had two hundred and forty-five men and women to make music.
68 Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
They had seven hundred and thirty-six horses, two hundred and forty-five transport beasts;
69 ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
Four hundred and thirty-five camels, six thousand, seven hundred and twenty asses.
70 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
And some of the heads of families gave money for the work. The Tirshatha gave into the store a thousand darics of gold, fifty basins, five hundred and thirty priests' robes.
71 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
And some of the heads of families gave into the store for the work twenty thousand darics of gold, and two thousand, two hundred pounds of silver.
72 Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
And that which the rest of the people gave was twenty thousand darics of gold, and two thousand pounds of silver, and sixty-seven priests' robes.
73 Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”
So the priests and the Levites and the door-keepers and the music-makers and some of the people and the Nethinim, and all Israel, were living in their towns.

< Nehemia 7 >