< Nehemia 7 >

1 Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
Amola gagoi amola logo ga: su huluane da gagoi dagoi ba: i. Amola ninia da Debolo sosodo aligisu dunu, Debolo gesami hea: su dunu amola Lifai dunu ilima ilia hawa: hamosu ilegei.
2 nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
Na da dunu aduna Yelusaleme moilai ouligima: ne ilegei. Amo da naeya Hana: inai amola Ha: nanaia (e da dadi gagui ouligisu dunu gasa bagade gagoi amo ouligisu). Ha: nanaia da Godema nodone beda: su. Ea hou da noga: idafa, eno dunu huluane baligisu.
3 Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
Na da elama sia: i, amo ela da Yelusaleme gagoi logo ga: su amo mae doawane, eso da heda: i dagoiba: le fawane doasima: ne sia: i. Amola logo sosodo aligisu dunu da hame helefila asili, daeya doaga: sea hedolo noga: le ga: sima: ne sia: i. Amola, na da ela da Yelusaleme esalebe dunu mogili sosodo aligimusa: ilegema: ne sia: i. Amola amo dunu ilia ouligibi sogebi noga: le olelema: ne amola mogili ilia diasudafa amo sosodo aligisa lafia: ma: ne, amo dunu ilegema: ne na da sia: i.
4 Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
Yelusaleme da moilai bai bagade galu. Be amo ganodini da dunu bagahame esalebe ba: i. Amola amo esoga diasu bagahame gagui dialebe ba: i.
5 Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
Gode da na dogoga sia: beba: le, na da dunu huluane, ilia ouligisu hina dunu amola ouligisu dunu huluane gilisima: ne sia: i. Bai ilia dio amola hou dedei, na da ba: mu hanai galu. Na da dunu ilia musa: mugululi asi fisili buhagi, amo ilia dio dedei hogolalu ba: i dagoi. Ilia sia: musa: dedei da hagudu dedei diala.
6 Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
“Mugululi asi dunu bagohame da Ba: bilone soge fisili, Yelusaleme soge amola Yuda soge, amoga buhagi. Ilia da ilia musa: moilaidafa amoga buhagi. Musa: Nebiuga: denese da amo mugululi asi dunu ilia sosogo fi lale, Ba: bilone sogega udigili se dabe hamomusa: oule asi.
7 Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
Ilia bisilua dunu da Selubabele amola Yosiua, Nihemaia, Sila: ia, Liela: iya, Modigai, Bilisia: ne, Misiba, Bigifa: i, Lihame, amola Ba: iana. Isala: ili dunu ilia da mugululi asi fisili, Isala: ili sogega buhagi, amo ilia sosogo fi amola idi amola da hagudu dedei diala. Sosogo Fi...Idi
8 Wana wa Paroshi, 2, 172.
Ba: ilose...2,172 Siefadia...372 A: ila...652 Ba: iha: de Moua: be (Yesua amola Youa: be elagaga fi) ...2,818 Ila: me...1,254 Sa: du...845 Sa: ga: iai...760 Ba: ini...648 Biba: iai...628 A: saga: de...2,322 A: dounaiga: me...667 Bigifa: i...2,067 A: idini...655 A: ida (eno dio da Hesigaia) ...98 Ha: isiame...328 Bisa: iai...324 Ha: ilife... ...112 Gibione...95
9 Wana wa Shefatia, 372.
10 Wana wa Ara, 652.
11 Wana wa Pahath Moabu,
12 kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
13 Wana wa Elamu, 1, 254.
14 Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
15 Wana wa Binnui, 648.
16 Wana wa Bebai, 628.
17 Wana wa Azgadi, 2, 322.
18 Wana wa Adonikamu, 667.
19 Wana wa Bigwai, 2, 067.
20 Wana wa Adini, 655.
21 Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
22 Wana wa Hashumu, 328.
23 Wana wa Besai, 324.
24 Wana wa Harifu, 112.
25 Wana wa Gibeoni, 95.
26 Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
Amola dunu amo ilia aowalali da hagudu dedei moilai amo ganodini esalu, amo amola da buhagi. Moilai amola dunu da buhagi ilia idi da amo, Moilai...Idi Bedeleheme amola Nidoufa...188 A: nadode...128 A: sama: ifede...42 Gilia: de Yialimi, Gifaila amola Bialode...743 La: ima amola Giba...621 Misima: si...122 Bedele amola A: iai...123 Nibou eno...52 Ila: me eno...1,254 Ha: ilime...320 Lode, Ha: ididi amola Ounou...721 Yeligou...345 Sina: ia...3,930
27 Watu wa Anathothi, 128.
28 Watu wa Beth Azmaweth, 42.
29 Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
30 Watu wa Rama na Geba, 621.
31 Watu wa Mikmasi, 122.
32 Watu wa Betheli na Ai, 123.
33 Watu wa Nebo, 52.
34 Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
35 Watu wa Harimu, 320.
36 Watu wa Yeriko, 345.
37 Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
38 Watu wa Senaa, 3, 930.
39 makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
Gobele salasu fi ilia da mugululi asi fisili buhagi amo ilia dio amola ilia idi amola da hagudu dedei amo, Gobele Salasu Fi...Idi Yeda: iya (Yesua egaga fi) ...973 Imoia...1,052 Ba: sa...1,247 Ha: ilima...1,017
40 Wana wa Imeri, 1, 052.
41 Wana wa Pashuri, 1, 247.
42 Wana wa Harimu, 1, 017.
43 Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
Lifai fi ilia da mugululi asi fisili buhagi amo ilia dio amola ilia idi da hagudu dedei amo, Yesua amola Ga: demiele (amo da Houdafia egaga fi) ...74 Debolo gesami dunu (amo da A: isa: fe egaga fi) ...148 Debolo sosodo aligisu dunu (amo da Sia: lame, A:ida, Da: lamone, A:gabe, Hadaida, Sioubai amola amo iligaga fi) ...138
44 Waimbaji wana wa Asafu; 148.
45 Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
46 Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
Amola Debolo hawa: hamosu fi da mugululi asi fisili buhagi amo ilia dio da hagudu dedei amo, Saiha, Hasuba, Da: baiode, Gilose, Saiaha, Ba: idone, Lebana, Ha: iga: ba, A:gabe, Ha: iga: be, Sia: malai, Ha: ina: ne, Gidele, Ga: iha, Lia: iya, Lisini, Nigouda, Ga: sa: me, Usa, Basia, A:sana, Miunime, Mefisime, Bagebage, Hagufa, Hahe, Ba: selude, Mihaida, Hasia, Bagose, Sisela, Dima, Nesaia amola Hadaifa.
47 wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
48 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
49 wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
50 Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
52 wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
53 Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
54 wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
55 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
56 wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
57 Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
Hina bagade Soloumane ea hawa: hamosu dunu ilia da mugululi asi fisili, buhagi amo ilia dio da hagudu dedei amo, Soudai, Ha: soufelede, Biluda, Ya: iala, Dagone, Gidele, Siefadaia, Ha: dili, Bogilede, Ha: sebaime amola A: imi.
58 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
59 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
60 Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
Debolo hawa: hamosu dunu, Soloumane ea hawa: hamosu dunu amola amo iligaga fi da mugululi asi amo fisili, buhagi amo ilia idi huluane da 392.
61 Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
Dunu idi652 agoane ilia da Isala: ili sosogo fi amo Dila: iya fi amola Doubaia fi, Nigouda fi, (ilia da musa: moilai amo Dele Mila, Dele Hasa, Sielabe, A:da: ne amola Imaia moilai amo ganodini esalu) ilia amola da mugululi asi fisili masa: ne, buhagi. Be ilia da Isala: ili dunu iligaga fidafa amo dafawaneyale dawa: mu da hamedei. Bai ilia dio dedei da fisi dagoi ba: i.
62 wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
63 Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
Amola gobele salasu fi eno da gobele salasu fidafa amo dawa: mu da gogolei. Bai ilia hou dedei amola da fisi dagoi. Ilia dio da Haba: iya, Ha: gose amola Basila: iai. (Basila: iai gobele salasu fi ilia aowalali dunu da Basila: iai Gilia: de fi uda amo lai. E da ea aowa fi dio lai dagoi). Be amo dunu da ilia aowalali noga: le olelemu da hamedeiba: le, Isala: ili dunu da ili gobele salasu hamoma: ne hame ilegei.
64 Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
65 Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
Yu eagene ouligisu dunu e da amo dunu ilia da Godema iasu ha: i manu amo hame manu sia: i. Gobele salasu dunu da Ulimi igi amola Damini igi amo ea hou bu noga: le dawa: sea fawane, amo ha: i manu da defea, e sia: i.
66 Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
Musa: mugululi asi dunu da Isala: ili sogega buhagi amo ilia idi huluane da-42,360. Amola amo dunu ilia hawa: hamosu dunu (dunu amola uda) amo ilia idi da- 7,337. Amola dunu amola uda gesami hea: su amo gesami liligi dusu idi da 245. Ohe fi ilia oule asi idi da - Hosi...736 Miule...245 Ga: mele...435 Dougi...6,720
67 isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
68 Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
69 ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
70 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
Mugululi asi dunu buhagi amo da Hina Gode Ea Debolo diasu Yelusaleme moilai amo ganodini amoga doaga: loba, fi ouligisu dunu mogili da Debolo amo ea musa: sogebiga bu gaguma: ne, liligi hahawane dogolegele iasu. Ilia iasu da hagudu dedei: - Eagene ouligisu dunu e da agoane iasu: - Gouli...8 gilougala: me Yaeya...50 Gobele salasu abula- 530 Fi ouligisu dunu da agoane sagosu: - Gouli...168 gilougala: me Silifa...1,250 gilougala: me Dunu amola uda eno da agoane iasu: - Gouli...168 gilougala: me Silifa...140 gilougala: me Gobele salasu abula...67
71 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
72 Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
73 Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”
Gobele salasu dunu, Lifai dunu, gesami hea: su dunu, Debolo sosodo aligisu dunu, Debolo hawa: hamosu dunu amola Isala: ili dunu eno huluane da ilia aowalalia moilai Yuda soge amo ganodini fi galu.

< Nehemia 7 >