< Nehemia 6 >
1 Wakati Sanbalati, Tobia, Geshemu Mwarabu na adui zetu wengine waliposikia kwamba nilijenga upya ukuta na kwamba hakuna sehemu yoyote iliyoachwa ya wazi, ingawa sijawaweka milango katika malango,
and to be like/as as which to hear: hear to/for Sanballat and Tobiah and to/for Geshem [the] Arabian and to/for remainder enemy our for to build [obj] [the] wall and not to remain in/on/with her breach also till [the] time [the] he/she/it door not to stand: stand in/on/with gate
2 Sanbalati na Geshemu akatuma wajumbe akasema, “Njoni, tukutane pamoja mahali fulani katika tambarare ya Ono.” Lakini walitaka kunidhuru.
and to send: depart Sanballat and Geshem to(wards) me to/for to say to go: come! [emph?] and to appoint together in/on/with Hakkephirim in/on/with valley Ono and they(masc.) to devise: devise to/for to make: do to/for me distress: harm
3 Niliwatuma wajumbe kwao, nikasema, “Ninafanya kazi kubwa na siwezi kushuka. Kwa nini kazi isimame wakati nitakapoondoka na kuja kwako?”
and to send: depart [emph?] upon them messenger to/for to say work great: large I to make: do and not be able to/for to go down to/for what? to cease [the] work like/as as which to slacken her and to go down to(wards) you
4 Walituma ujumbe huo huo mara nne, na mimi niliwajibu vile vile kila wakati.
and to send: depart to(wards) me like/as Chronicles [the] this four beat and to return: reply [obj] them like/as Chronicles [the] this
5 Sanbalati alimtuma mtumishi wake kwangu kwa njia ile ile mara ya tano, na barua iliyo wazi mkononi mwake.
and to send: depart to(wards) me Sanballat like/as Chronicles [the] this beat fifth [obj] youth his and letter to open in/on/with hand his
6 Imeandikwa, “Inaripotiwa kati ya mataifa, na Geshemu pia anasema, kwamba wewe na Wayahudi mna mpango wa kuasi, kwa sababu hiyo ndio mnajenga ukuta. Kutokana na taarifa hizi, unakaribia kuwa mfalme wao.
to write in/on/with her in/on/with nation to hear: proclaim and Geshem to say you(m. s.) and [the] Jew to devise: devise to/for to rebel upon so you(m. s.) to build [the] wall and you(m. s.) to be to/for them to/for king like/as word [the] these
7 Nawe umewachagua manabii kutangaza habari zako juu ya Yerusalemu, wakisema, “Kuna mfalme huko Yuda!” Unaweza kuwa na hakika mfalme atasikia ripoti hizi. Basi, hebu njoo tuzungumze.
and also prophet to stand: stand to/for to call: call out upon you in/on/with Jerusalem to/for to say king in/on/with Judah and now to hear: hear to/for king like/as word [the] these and now to go: come! [emph?] and to advise together
8 Kisha nikamtuma neno nikisema, “mambo kama hayo hayajafanyika kama unavyosema, kwa maana ndani ya moyo wako umeyabuni.”
and to send: depart [emph?] to(wards) him to/for to say not to be like/as word: thing [the] these which you(m. s.) to say for from heart your you(m. s.) to devise them
9 Kwa maana wote walitaka kututisha, wakifikiri, “Wataacha mikono yao kufanya kazi hiyo, na haitafanyika.” Lakini sasa, Mungu, tafadhali imarisha mikono yangu.
for all their to fear [obj] us to/for to say to slacken hand their from [the] work and not to make: do and now to strengthen: strengthen [obj] hand my
10 Nikaenda nyumbani kwa Shemaya mwana wa Delaya, mwana wa Mehetabeli, aliyefungwa nyumbani mwake. Akasema, “Hebu tukutane pamoja katika nyumba ya Mungu, ndani ya hekalu, na tufunge milango ya hekalu, kwa maana wanakuja kukuua. Usiku wanakuja kukuua.”
and I to come (in): come house: home Shemaiah son: child Delaiah son: child Mehetabel and he/she/it to restrain and to say to appoint to(wards) house: temple [the] God to(wards) midst [the] temple and to shut door [the] temple for to come (in): come to/for to kill you and night to come (in): come to/for to kill you
11 Nikajibu, “Je! Mtu kama mimi ninaweza kukimbia? Na mtu kama mimi ninaweza kuingia hekaluni ili nipate kuishi? Sitaingia.”
and to say [emph?] man like me to flee and who? like me which to come (in): come to(wards) [the] temple and to live not to come (in): come
12 Niligundua kwamba sio Mungu aliyemtuma, lakini alikuwa amefanya unabii dhidi yangu. Tobia na Sanbalati walimwajiri.
and to recognize [emph?] and behold not God to send: depart him for [the] prophecy to speak: promise upon me and Tobiah and Sanballat to hire him
13 Walimpa kazi kunifanya niwe na hofu, ili nifanye kile alichosema na kutenda dhambi, hivyo wangeweza kunipa jina baya ili kuniaibisha.
because to hire he/she/it because to fear and to make: do so and to sin and to be to/for them to/for name bad: harmful because to taunt me
14 Mungu wangu, wakumbuke Tobia na Sanbalati, na yote waliyofanya. Pia mkumbuke nabii Noadia na manabii wengine ambao walijaribu kunifanya niogope.
to remember [emph?] God my to/for Tobiah and to/for Sanballat like/as deed his these and also to/for Noadiah [the] prophetess and to/for remainder [the] prophet which to be to fear [obj] me
15 Kwa hiyo ukuta ukamalizika siku ya ishirini na tano ya mwezi wa Eluli, baada ya siku hamsini na mbili.
and to complete [the] wall in/on/with twenty and five to/for Elul to/for fifty and two day
16 Adui zetu wote waliposikia hayo, mataifa yote yaliyotuzunguka, waliogopa na wakakata tamaa sana machoni pao wenyewe. Kwa maana walijua kazi hiyo ilifanyika kwa msaada wa Mungu wetu.
and to be like/as as which to hear: hear all enemy our and to fear all [the] nation which around us and to fall: fall much in/on/with eye: appearance their and to know for from with God our to make: do [the] work [the] this
17 Wakati huu wakuu wa Yuda walituma barua nyingi kwa Tobia, na barua za Tobia zikawajia.
also in/on/with day [the] they(masc.) to multiply noble Judah letter their to go: send upon Tobiah and which to/for Tobiah to come (in): come to(wards) them
18 Kwa maana walikuwa wengi huko Yuda waliofungwa kwa kiapo chake, kwa sababu alikuwa mkwewe Shekania, mwana wa Ara. Mwanawe Yehohanani alikuwa amekuwa mkewe Meshulamu mwana wa Berekia.
for many in/on/with Judah master: owning oath to/for him for son-in-law he/she/it to/for Shecaniah son: child Arah and Jehohanan son: child his to take: marry [obj] daughter Meshullam son: child Berechiah
19 Pia walizungumza nami kuhusu matendo yake mema na kumwambia maneno yangu. Barua zililetwa kwangu kutoka kwa Tobia kunitisha.
also welfare his to be to say to/for face: before my and word my to be to come out: speak to/for him letter to send: depart Tobiah to/for to fear me