< Nehemia 4 >

1 Sanbalati alipoposikia tulikuwa tukijenga ukuta, akaghadhabika ndani yake, naye akakasirika sana, akawacheka Wayahudi.
And it was just when he heard Sanballat that we [were] rebuilding the wall and it burned to him and he was angry greatly and he mocked the Jews.
2 Mbele ya ndugu zake na jeshi la Samaria, akasema, “Wayahudi dhaifu hawa wanafanya nini? Je, watajifanyia mji wenyewe? Je, watatoa dhabihu? Je, wataimaliza kazi siku moja? Je! Watawaletea mawe kutoka kwenye kifusi baada ya kuchomwa moto?
And he said - before brothers his and [the] army of Samaria and he said what? [are] the Jews feeble doing ¿ will they restore for themselves ¿ will they offer sacrifices ¿ will they finish in the day ¿ will they restore the stones from [the] heaps of debris and they [are] burned.
3 Tobia Mwamoni alikuwa pamoja naye, naye akasema, 'Ikiwa tu mbweha angepanda juu ya hichi wanachokijenga, angeubomoa ukuta huo wa mawe.”
And Tobiah the Ammonite [was] beside him and he said also [that] which they [are] building if it will go up a fox and it will break down [the] wall of stones their.
4 Tusikilize, Mungu wetu, kwa maana sisi tunatukanwa. Rudisha malalamiko yao juu ya vichwa vyao wenyewe na kuwapa wapate kutekwa katika nchi ambapo wao ni wafungwa.
Hear O God our for we are contempt and return reproach their to own head their and give them to plunder in a land of captivity.
5 Usiufunike uovu wao, wala usiondoe dhambi zao mbele yako; kwa sababu wamewachukiza wanaojenga.
And may not you cover over iniquity their and sin their from to before you may not it be wiped out for they have provoked to anger to before the builders.
6 Kwa hiyo tulijenga ukuta na ukuta wote uliunganishwa kwa nusu ya urefu wake, kwa kuwa watu walikuwa na hamu ya kufanya kazi
And we rebuilt the wall and it was joined together all the wall to middle its and it belonged a heart to the people to work.
7 Lakini Sanbalati, Tobia, Waarabu, Waamoni, na Waashdodi waliposikia kwamba kazi ya ukarabati wa kuta za Yerusalemu ilikuwa ikiendelea, na kwamba sehemu zilizovunjika katika ukuta zilikuwa zimefungwa, ghadhabu kubwa ikawaka ndani yao.
And it was just when he heard Sanballat and Tobiah and the Arabs and the Ammonites and the Ashdodites that it had gone up [the] repair of [the] walls of Jerusalem that they had begun the broken down [parts] to be closed and it burned to them exceedingly.
8 Wote walifanya shauri pamoja, na walikuja kupigana dhidi ya Yerusalemu na kusababisha machafuko ndani yake.
And they conspired all of them together to come to wage war against Jerusalem and to make for it confusion.
9 Lakini tuliomba kwa Mungu wetu na kuweka walinzi kama ulinzi dhidi yao mchana na usiku kwa sababu ya tishio lao.
And we prayed to God our and we stationed a guard on them by day and night because of them.
10 Kisha watu wa Yuda wakasema, “Nguvu ya wale wanaobeba mizigo inashindwa. Kuna kifusi kikubwa, na hatuwezi kujenga ukuta.”
And it said Judah it has failed [the] strength of the burden-bearer[s] and the debris [is] much and we not we will be able to rebuild the wall.
11 Na adui zetu wakasema,” Wala hawatajua au kuona mpaka tutakapokuja kati yao na kuwaua, na kuisimamisha kazi.”
And they said opponents our not they will know and not they will see until that we will come into [the] midst of them and we will kill them and we will put an end to the work.
12 Wakati huo Wayahudi waliokuwa wakiishi karibu nao walitoka pande zote na kuzungumza nasi mara kumi, wakituonya juu ya mipango waliyofanya dhidi yetu.
And it was just when they came the Jews who were dwelling beside them and they said to us ten times from all the places which you will turn to us.
13 Kwa hiyo nikaweka watu katika sehemu za chini za ukuta katika sehemu zilizo wazi. Niliweka kila familia wenye upanga, mikuki, na upinde.
And I stationed from [the] lower parts of the place from behind of the wall (in the open places *Q(K)*) and I stationed the people to clans with swords their spears their and bows their.
14 Nikatazama, nikasimama, nikawaambia wakuu, na watawala, na watu wengine, “Msiogope. mkumbukeni Bwana, ambaye ni mkuu na wa kushangaza. Wapiganie ndugu zenu, wana zenu, binti zenu, wake zenu na nyumba zenu.
And I saw and I arose and I said to the nobles and to the officials and to [the] rest of the people may not you be afraid of them [the] Lord great and awesome remember and fight on brothers your sons your and daughters your wives your and houses your.
15 Ilipokuwa wakati adui zetu waliposikia kwamba mipango yao ilikuwa inayojulikana kwetu, na Mungu alikuwa amebatilisha mipango yao, sote tulirudi ukutani, kila mmoja kwa kazi yake.
And it was just when they heard enemies our that it was known to us and he had frustrated God purpose their (and we returned *Q(k)*) all of us to the wall each one to work his.
16 Kwa hiyo tangu wakati huo nusu ya watumishi wangu walifanya kazi tu juu ya kujenga ukuta, na nusu yao wakaishika mikuki, ngao, pinde, na kuvaa silaha, wakati viongozi walisimama nyuma ya watu wote wa Yuda.
And it was - from the day that half of young men my [were] doing the work and half of them [were] holding and the spears the shields and the bows and the body armor and the commanders [were] behind all [the] house of Judah.
17 Na hivyo wafanyakazi haohao ambao walikuwa wakijenga ukuta na kubeba mizigo walikuwa pia wakilinda nafasi zao. Kila mtu alifanya kazi kwa mkono mmoja, na kwa mkono mwingine alikuwa na silaha yake.
Who were rebuilding the wall and the [ones who] were carrying in burden [were] carrying [it] with [the] one hand his doing the work and one [hand] [was] holding the weapon.
18 Kila mjenzi alivaa upanga wake ubavuni mwake na ndivyo alivyojenga. Yule aliyepiga tarumbeta akakaa karibu nami.
And the builders each one sword his [were] girded on hips his and [were] building and the [one who] gave a blast on the ram's horn [was] beside me.
19 Niliwaambia wakuu na viongozi na watu wengine, “Kazi ni nzuri na ya kina, na tumejitenga kwenye ukuta, mbali na mtu mwingine.
And I said to the nobles and to the officials and to [the] rest of the people the work [is] much and extensive and we [are] separate on the wall distant each from brother his.
20 Lazima mkimbilie mahali ambapo mtasikia sauti ya tarumbeta na kusanyika huko. Mungu wetu atatupigania.”
In [the] place where you will hear [the] sound of the ram's horn there towards you will assemble to us God our he will fight for us.
21 Kwa hiyo tulifanya kazi hiyo. Nusu yao walikuwa wakichukua mikuki kutoka kupambazuka asubuhi hadi kutokea kwa nyota.
And we [were] doing the work and half of them [were] keeping hold on spears from when came up the dawn until came out the stars.
22 Nikawaambia watu wakati huo, “Kila mtu na mtumishi wake waende usiku katikati ya Yerusalemu, ili wawe walinzi wakati wa usiku na mfanyakazi wakati huo.”
Also at the time that I said to the people each one and servant his let them spend [the] night in [the] midst of Jerusalem and they will be for us the night a guard and the day work.
23 Basi si mimi, wala ndugu zangu, wala watumishi wangu, wala watu wa walinzi waliokuwa wananifuata, hakuna hata mmoja wetu aliyebadili nguo zake, na kila mmoja wetu alichukua silaha yake, hata kama angeenda kwa ajili ya kuteka maji.
And not I and brothers my and servants my and [the] men of the guard who [were] behind me not we [were] stripping off clothes our each one weapon his the water.

< Nehemia 4 >