< Nehemia 3 >
1 Kisha Eliashibu, kuhani mkuu, akasimama pamoja na ndugu zake makuhani, wakajenga lango la kondoo. Walitakasa na kuweka milango yake. Waliweka wakfu hadi mnara wa Hamea na hadi mnara wa Hananeli.
І встав Еліяші́в, первосвященик, та брати його священики, і збудували Овечу браму. Вони освятили її, і повставля́ли її двері, й аж до башти Меа освятили її, аж до башти Ханан'їла.
2 Baada yao watu wa Yeriko walijenga, na baada yao Zakuri mwana wa Imri alijenga.
А поруч нього будували єрихо́няни, а поруч них будував Заккур, син Імріїв.
3 Wana wa Senaa wakajenga lango la samaki. Wanaweka mihimili yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
А браму Рибну збудували сини Сенаїні, і вони покрили її бру́ссями, і повставляли двері її, замки́ її та за́суви її.
4 Meremoth aliandaa sehemu inayofuata. Yeye ni mwana wa Uria mwana wa Hakosi. Na baada yao Meshulamu akatengeneza. Yeye ni mwana wa Berekia mwana wa Meshezabeli. Karibu nao Sadoki akatengeneza. Yeye ni mwana wa Baana.
А поруч них направляв Меремот, син Урії, Коцового сина, а поруч них направляв Мешуллам, син Берехії, Мешав'їлового сина, а поруч них направляв Садок, Баанин син.
5 Baada yao Watekoi wakatengeneza, lakini viongozi wao walikataa kufanya kazi iliyoagizwa na wakuu wao.
А поруч них направляли текояни, але́ їхні вельмо́жі не схилили своєї шиї в службу свого Господа.
6 Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya, walitengeneza lango la Kale. Wanaweka mihimili, na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
А браму Стару направляли Йояда, син Пасеахів, та Мешуллам, син Бесодеїн, — вони покрива́ли бру́ссями, і вставляли двері її, і замки́ її та за́суви її.
7 Nao, Melatia Mgibeoni, na Yadoni Meronothi, watu wa Gibeoni na Mispa, walifanyia matengenezo juu ya sehemu ambapo mkuu wa mkoa wa ng'ambo ya Mto aliishi.
А поруч них направляв ґів'онеянин Мелатія та меронотеянин Ядон, люди Ґів'ону та Міцпи, що належали до володі́ння намісника Заріччя.
8 Na baada yake Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa wafua dhahabu, akatengeneza; na baada yake Hanania, mtengenezaji wa manukato. Wakajenga tena Yerusalemu mpaka Ukuta mpana.
Поруч нього направляв Уззіїл, син Хархаїн, з золотарів, а поруч нього направляв Хананія, син Раккахімів, — і вони віднови́ли Єрусалима аж до Широкого муру.
9 Na baada yao Refaya mwana wa Huri akajenga. Alikuwa mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu.
А поруч нього направляв Рефая, син Хурів, зверхник половини єрусалимської округи.
10 Na baada yao Yedaya mwana wa Harumafu akajenga karibu na nyumba yake. Na baada yake Hatushi mwana wa Hashabneya akajenga.
А поруч нього направляв Єдая, син Харумафів, а то навпроти дому свого, а при його руці направляв Хаттуш, син Хашавнеїн.
11 Malkiya mwana wa Harimu na Hashubu mwana wa Pahat Moabu, wajenga sehemu nyingine pamoja na mnara wa tanuu.
Другу міру направляв Малкійя, син Харімів, та Хашшув, син Пахат-Моавів, та башту Печей.
12 Baada yao Shalumu mwana wa Haloheshi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, akajenga, pamoja na binti zake.
А поруч нього направляв Шаллум, син Лохеша, зверхник половини єрусалимської окру́ги, він та дочка́ його.
13 Hanuni na wenyeji wa Zanoa walijenga lango la bondeni. Walijenga tena na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake. Walijenga dhiraa elfu hadi lango la jaa.
Браму Долинну направляв Ханун та ме́шканці Заноаху, — вони збудували її, і повставляли двері її, замки́ її та за́суви її, і тисячу ліктів у мурі аж до Смітнико́вої брами.
14 Malkiya, mwana wa Rekabu, mkuu wa wilaya ya Beth-Hakeremu, akajenga lango la jaa. Alijenga na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake.
А Смітнико́ву браму направив Малкійя, син Рехавів, зверхник бет-керемської округи, — він збудував її, і повставля́в її двері, замки́ її та за́суви її.
15 Shalumu mwana wa Kolhoze, mkuu wa wilaya ya Mispa, akajenga lango la Chemchemi. Alijenga, na kuweka kifuniko juu yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake. Alijenga upya ukuta wa Pwani wa Silowamu kwa bustani ya mfalme, hadi ngazi ya kuongoza kutoka mji wa Daudi.
А Джерельну браму направив Шаллум, син Кол-Хезеїв, зверхник округи Міцпи, — він збудував її, і покри́в її, і повставля́в її двері, замки́ її та за́суви її, і направив мура ставу Шелах до царсько́го садка́, і аж до ступені́в, що спускаються з Давидового Міста.
16 Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-suri, akajenga mahali hapo, toka maburini ya Daudi, mpaka birika lililojengwa na watu, na nyumba ya watu wenye nguvu.
За ним направляв Неемія, син Азбуків, зверхник половини бетцурської окру́ги аж до місця навпроти Давидових гробі́в і аж до зробленого ста́ву, і аж до дому Лицарів.
17 Baada yake, Walawi walijenga, pamoja na Rehumi mwana wa Bani na baada yake, Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, kwa wilaya yake.
За ним направляли Левити: Рехум, син Баніїв, поруч нього направляв зверхник половини округи Кеїла, для своєї окру́ги.
18 Baada yake watu wa nchi zao walijenga, ikiwa ni pamoja na Binui mwana wa Henadadi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Keila.
За ним направляли їхні брати: Баввай, син Хенададів, зверхник половини окру́ги Кеїла.
19 Baada yake alijenga Ezeri, mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alijenga sehemu nyingine kuelekea ghala ya silaha, kwenye kona ya ukuta.
І направляв поруч нього Езер, син Єшуїн, зверхник округи, міру другу, від місця навпроти виходу до зброя́рні наріжника.
20 Baada yake Baruki, mwana wa Zakai, akajenga kwa hiari sehemu nyingine, toka kona ya ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.
За ним ревно направляв Барух, Заббаїв син, міру другу, від наріжника аж до входу до дому первосвященика Еліяшіва.
21 Baada yake Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, akajenga sehemu nyingine, toka mlango wa nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wa nyumba ya Eliashibu.
За ним направляв Меремот, син Урійї, сина Коцового, міру другу, від входу до Еліяшівового дому й аж до кінця Еліяшівового дому.
22 Kisha baada yake makuhani, watu wa eneo hilo karibu na Yerusalemu, walijenga.
А за ним направляли священики, люди йорданської окру́ги.
23 Baada yao Benyamini na Hashubu walijenga kuielekea nyumba yao. Baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania, alijenga karibu na nyumba yake.
За ним направляв Веніямин, син Хашшувів, навпроти свого дому; за ним направляв Азарія, син Маасеї, сина Ананіїного, при своєму домі.
24 Baada yake Binui mwana wa Henadadi akajenga sehemu nyingine, kutoka nyumba ya Azaria hadi kona ya ukuta.
За ним направляв Біннуй, син Хенададів, міру другу, від Азаріїного дому аж до нарі́жника й аж до ро́гу.
25 Palali, mwana wa Uzai, akajenga juu ya kona ya ukuta na mnara unaoenea juu kutoka nyumba ya juu ya mfalme katika uwanda wa walinzi. Baada yake Pedaya mwana wa Paroshi akajenga.
Палал, син Узаїв, — від місця навпроти наріжника та в горі́шній башті, що вихо́дить із царсько́го дому, що при в'язни́чному подві́р'ї. За ним Педая, син Пар'ошів.
26 Sasa watumishi wa hekalu waliokaa Ofeli walijenga mpaka upande wa Hifadhi ya Maji upande wa mashariki wa mnara unaojitokeza.
А підда́нці храму сиділи в Офелі аж до місця навпроти Водної брами на схід та навпро́ти виступа́ючої башти.
27 Baada yake, Watekoi walijenga sehemu nyingine, kuelekea mnara mkubwa ulio nje, mpaka ukuta wa Ofeli.
За ним направляли техояни, міру другу, від місця навпроти великої виступаючої башти й аж до офельського му́ру.
28 Makuhani wakajenga juu ya lango la farasi, kila mmoja kuelekea nyumba yake.
З-над Кінської брами направляли священики, кожен навпроти дому свого́.
29 Baada yao Sadoki, mwana wa Imeri, alijenga sehemu hiyo kuelekea nyumba yake. Na baada yake Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki, akajenga.
За ним и направляв Садо́к, син Іммерів, навпроти свого дому, а за ним направляв Шемая, син Шеханіїн, сторож Схі́дньої брами.
30 Baada yake Hanania, mwana wa Shelemia, na Hanuni, mwana wa sita wa Salafu, wakajenga sehemu nyingine. Meshulamu mwana wa Berekia akajenga kuelekea kwenye vyumba vyake.
За ним направляв Хананія, син Шелеміїн, та Ханун, шо́стий син Цалафів, міру другу; за ним направляв Мешуллам, син Берехіїн, навпроти своєї кімна́ти.
31 Baada yake Malkiya, mmoja wa wafua dhahabu, akajenga mpaka nyumba ya watumishi wa hekalu na wafanyabiashara waliokuwa wakielekea lango la gereza na mpaka chumba cha juu cha pembeni.
За ним направляв Малкійя, син золотаря́, аж до дому храмови́х підда́нців та крамарі́в, навпроти брами Міфкад і аж до наріжної го́рниці.
32 Wafanyabiashara wa dhahabu na wafanyabiashara walijenga kati ya chumba cha juu cha kona na Lango la Kondoo.
А між наріжною го́рницею до Овечої брами направляли золотарі́ та крамарі́.