< Nehemia 3 >
1 Kisha Eliashibu, kuhani mkuu, akasimama pamoja na ndugu zake makuhani, wakajenga lango la kondoo. Walitakasa na kuweka milango yake. Waliweka wakfu hadi mnara wa Hamea na hadi mnara wa Hananeli.
Entonces Eliasib, el principal sacerdote, se levantó con sus hermanos, los sacerdotes, y tomó en sus manos la reconstrucción de la puerta de Las Ovejas; la consagraron y pusieron sus puertas en posición; hasta la torre del norte de Jerusalén la consagraron, incluso la torre de Hananeel.
2 Baada yao watu wa Yeriko walijenga, na baada yao Zakuri mwana wa Imri alijenga.
Y a su lado estaban construyendo los hombres de Jericó. Y después de ellos, Zacur, hijo de Imri.
3 Wana wa Senaa wakajenga lango la samaki. Wanaweka mihimili yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
Los hijos de Senaa fueron los constructores de la puerta de Los Peces; Pusieron sus vigas y levantaron sus puertas, con sus cerrojos y barras.
4 Meremoth aliandaa sehemu inayofuata. Yeye ni mwana wa Uria mwana wa Hakosi. Na baada yao Meshulamu akatengeneza. Yeye ni mwana wa Berekia mwana wa Meshezabeli. Karibu nao Sadoki akatengeneza. Yeye ni mwana wa Baana.
A su lado, Meremot, el hijo de Urías, el hijo de Cos, estaba arreglando los muros. Entonces Mesulam, el hijo de Berequías, el hijo de Mesezabeel; y el siguiente, Sadoc, el hijo de Baana.
5 Baada yao Watekoi wakatengeneza, lakini viongozi wao walikataa kufanya kazi iliyoagizwa na wakuu wao.
Cerca de ellos, los tecoítas estaban trabajando; pero sus jefes no pusieron sus cuellos a la obra de su Señor.
6 Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya, walitengeneza lango la Kale. Wanaweka mihimili, na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
Joiada, el hijo de Paseah, y Mesulam, el hijo de Besodeias, enmendaron la vieja puerta; Pusieron sus tablas y levantaron sus puertas, con sus cerrojos y barras.
7 Nao, Melatia Mgibeoni, na Yadoni Meronothi, watu wa Gibeoni na Mispa, walifanyia matengenezo juu ya sehemu ambapo mkuu wa mkoa wa ng'ambo ya Mto aliishi.
A su lado estaban trabajando Melatias el Gabaonita y Jadon de Meronot, los hombres de Gabaón y Mizpa bajo la autoridad del gobernante al otro lado del río.
8 Na baada yake Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa wafua dhahabu, akatengeneza; na baada yake Hanania, mtengenezaji wa manukato. Wakajenga tena Yerusalemu mpaka Ukuta mpana.
Cerca de ellos trabajaba Uziel, el hijo de Harhaia, él platero. Y junto a él estaba Hananías, uno de los productores de perfumes, que estaba construyendo Jerusalén hasta la pared ancha.
9 Na baada yao Refaya mwana wa Huri akajenga. Alikuwa mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu.
Cerca de ellos trabajaba Refaias, el hijo de Hur, el gobernante de la mitad de Jerusalén.
10 Na baada yao Yedaya mwana wa Harumafu akajenga karibu na nyumba yake. Na baada yake Hatushi mwana wa Hashabneya akajenga.
A su lado estaba Jedaías, el hijo de Harumaf, frente a su casa. Y junto a él estaba Hatus, el hijo de Hasabnias.
11 Malkiya mwana wa Harimu na Hashubu mwana wa Pahat Moabu, wajenga sehemu nyingine pamoja na mnara wa tanuu.
Malquias, el hijo de Harim, y Hasub, el hijo de Pahat-moab, estaban trabajando en otra parte, y la torre de los hornos.
12 Baada yao Shalumu mwana wa Haloheshi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, akajenga, pamoja na binti zake.
Cerca de ellos estaba Salum, el hijo de Halohes, el gobernante de media Jerusalén, con sus hijas.
13 Hanuni na wenyeji wa Zanoa walijenga lango la bondeni. Walijenga tena na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake. Walijenga dhiraa elfu hadi lango la jaa.
Hanun y la gente de Zanoa estaban trabajando en la entrada del valle; lo levantaron y levantaron sus puertas, con sus cerrojos y varas, y mil codos de pared hasta la entrada donde se colocaba el material de desecho.
14 Malkiya, mwana wa Rekabu, mkuu wa wilaya ya Beth-Hakeremu, akajenga lango la jaa. Alijenga na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake.
Y Malquias, hijo de Recab, gobernador de la división de Bet-haquerem, arregló la entrada de los desechos, la construyó y levantó sus puertas, con sus cerraduras y barras.
15 Shalumu mwana wa Kolhoze, mkuu wa wilaya ya Mispa, akajenga lango la Chemchemi. Alijenga, na kuweka kifuniko juu yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake. Alijenga upya ukuta wa Pwani wa Silowamu kwa bustani ya mfalme, hadi ngazi ya kuongoza kutoka mji wa Daudi.
Y Salum, el hijo de Col-hoze, el gobernante de la división de Mizpa, reparó la entrada de la fuente, la construyó y la cubrió, y puso sus puertas, con sus cerraduras y varillas, también reparó la pared del estanque de Siloé junto al jardín del rey, hasta los escalones que bajan del pueblo de David.
16 Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-suri, akajenga mahali hapo, toka maburini ya Daudi, mpaka birika lililojengwa na watu, na nyumba ya watu wenye nguvu.
A su lado estaba trabajando Nehemías, el hijo de Azbuk, gobernante de la mitad de la división de Beth-zur, hasta el lugar opuesto a los últimos lugares de descanso de la familia de David, y el estanque que se hizo y la casa y hasta el cuartel de los hombres de guerra.
17 Baada yake, Walawi walijenga, pamoja na Rehumi mwana wa Bani na baada yake, Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, kwa wilaya yake.
Luego vinieron los levitas, Rehum, el hijo de Bani. A su lado trabajaba Hasabias, gobernante de la mitad de la división de Keila, para su división.
18 Baada yake watu wa nchi zao walijenga, ikiwa ni pamoja na Binui mwana wa Henadadi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Keila.
Después de él trabajaban sus hermanos, Bavai, el hijo de Henadad, gobernante de la mitad de la división de Keilah.
19 Baada yake alijenga Ezeri, mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alijenga sehemu nyingine kuelekea ghala ya silaha, kwenye kona ya ukuta.
Y a su lado estaba trabajando Ezer, el hijo de Josué, el gobernante de Mizpa, haciendo otra parte opuesta en el camino hacia el depósito de armas al girar la pared.
20 Baada yake Baruki, mwana wa Zakai, akajenga kwa hiari sehemu nyingine, toka kona ya ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.
Después de él, Baruc, el hijo de Zabai, estaba trabajando arduamente en otra parte, desde el giro del muro hasta la puerta de la casa de Eliasib, el principal sacerdote.
21 Baada yake Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, akajenga sehemu nyingine, toka mlango wa nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wa nyumba ya Eliashibu.
Después de él, Meremot, el hijo de Urías, el hijo de Coz, estaba trabajando en otra parte, desde la puerta de la casa de Eliasib hasta el final de su casa.
22 Kisha baada yake makuhani, watu wa eneo hilo karibu na Yerusalemu, walijenga.
Después de él trabajaban los sacerdotes, los hombres del valle del Jordán.
23 Baada yao Benyamini na Hashubu walijenga kuielekea nyumba yao. Baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania, alijenga karibu na nyumba yake.
Después de ellos llegaron Benjamín y Hasub, repararon frente a su casa. Después de ellos, Azarías, hijo de Maasías, hijo de Ananías, restauró el muro junto a la casa donde él mismo vivía.
24 Baada yake Binui mwana wa Henadadi akajenga sehemu nyingine, kutoka nyumba ya Azaria hadi kona ya ukuta.
Después de él, Binuy, el hijo de Henadad, estaba trabajando en otra parte, desde la casa de Azarías hasta el ángulo de la esquina.
25 Palali, mwana wa Uzai, akajenga juu ya kona ya ukuta na mnara unaoenea juu kutoka nyumba ya juu ya mfalme katika uwanda wa walinzi. Baada yake Pedaya mwana wa Paroshi akajenga.
Palal, el hijo de Uzai, arregló la pared opuesta al ángulo y la torre que sale de la parte más alta de la casa del rey, por el patio abierto de la guardia. Después de él fue Pedaias, el hijo de Faros.
26 Sasa watumishi wa hekalu waliokaa Ofeli walijenga mpaka upande wa Hifadhi ya Maji upande wa mashariki wa mnara unaojitokeza.
Ahora los sirvientes del templo vivían en Ofel, hasta el lugar que daba a la entrada de agua hacia el este, y la torre que sobresale.
27 Baada yake, Watekoi walijenga sehemu nyingine, kuelekea mnara mkubwa ulio nje, mpaka ukuta wa Ofeli.
Después de él, los tecoítas estaban haciendo otra parte, frente a la gran torre que sale, y hasta la pared de Ofel.
28 Makuhani wakajenga juu ya lango la farasi, kila mmoja kuelekea nyumba yake.
Más adelante, más allá de la entrada de los Caballos, los sacerdotes estaban trabajando, cada uno frente a su casa.
29 Baada yao Sadoki, mwana wa Imeri, alijenga sehemu hiyo kuelekea nyumba yake. Na baada yake Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki, akajenga.
Después de ellos, Sadoc, el hijo de Imer, estaba trabajando frente a su casa. Y después de él, reparó, Semaías, hijo de Secanías, el guardián de la puerta oriental.
30 Baada yake Hanania, mwana wa Shelemia, na Hanuni, mwana wa sita wa Salafu, wakajenga sehemu nyingine. Meshulamu mwana wa Berekia akajenga kuelekea kwenye vyumba vyake.
Después de él, Hananías, el hijo de Selemías, y Hanún, el sexto hijo de Salaf, estaban haciendo otra parte. Después de él, Mesulam, el hijo de Berequías, arregló la pared frente a su habitación.
31 Baada yake Malkiya, mmoja wa wafua dhahabu, akajenga mpaka nyumba ya watumishi wa hekalu na wafanyabiashara waliokuwa wakielekea lango la gereza na mpaka chumba cha juu cha pembeni.
Después de él, Malquias, él platero, reparó el siguiente tramo de la muralla hasta la casa de los servidores del templo, y la de los los comerciantes, arregló el muro frente a la puerta de inspección y hasta el puesto de vigilancia de la esquina.
32 Wafanyabiashara wa dhahabu na wafanyabiashara walijenga kati ya chumba cha juu cha kona na Lango la Kondoo.
Y desde él puesto de vigilancia hasta la esquina y la puerta de las Ovejas, los plateros y los comerciantes repararon el muro.