< Nehemia 3 >
1 Kisha Eliashibu, kuhani mkuu, akasimama pamoja na ndugu zake makuhani, wakajenga lango la kondoo. Walitakasa na kuweka milango yake. Waliweka wakfu hadi mnara wa Hamea na hadi mnara wa Hananeli.
[(This is a list/These are the names) of the people who helped to rebuild the wall around Jerusalem]. Eliashib the Supreme Priest and the other priests began to rebuild it at the Sheep Gate. They also put the gates in their places. They built the wall as far as the Tower of 100 Soldiers and [further north] to the Tower of Hananel, and they dedicated it to God.
2 Baada yao watu wa Yeriko walijenga, na baada yao Zakuri mwana wa Imri alijenga.
Next to them, [beyond the Tower of Hananel, ] men from Jericho built [part of the wall]. Next to them, Zaccur, the son of Imri, built [part of the wall].
3 Wana wa Senaa wakajenga lango la samaki. Wanaweka mihimili yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
The sons of Hassenaah built the Fish Gate. The put in their places the wooden beams above the gates, and also the doors, the bolts, and the bars [for locking the gate].
4 Meremoth aliandaa sehemu inayofuata. Yeye ni mwana wa Uria mwana wa Hakosi. Na baada yao Meshulamu akatengeneza. Yeye ni mwana wa Berekia mwana wa Meshezabeli. Karibu nao Sadoki akatengeneza. Yeye ni mwana wa Baana.
Next to them, Meremoth, the son of Uriah and grandson of Hakkoz, repaired [the next part of the wall]. Next to him, Meshullam, the son of Berekiah and grandson of Meshezabel, repaired [the next part of the wall]. Next to him, Zadok the son of Baana repaired the next part of the wall.
5 Baada yao Watekoi wakatengeneza, lakini viongozi wao walikataa kufanya kazi iliyoagizwa na wakuu wao.
Next to him, the men from Tekoa [town] repaired [part of the wall], but the leaders of Tekoa refused to do the work that their boss/supervisor assigned to them.
6 Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya, walitengeneza lango la Kale. Wanaweka mihimili, na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
Joiada the son of Paseah, and Meshullam the son of Besodeiah, repaired the Old Gate. They also put in their places the beams above the gate and put in the bolts and the bars [for locking the gate].
7 Nao, Melatia Mgibeoni, na Yadoni Meronothi, watu wa Gibeoni na Mispa, walifanyia matengenezo juu ya sehemu ambapo mkuu wa mkoa wa ng'ambo ya Mto aliishi.
Next to them, Melatiah from Gibeon [city], Jadon from Meronoth [town], and other men from Gibeon and from Mizpah [city], which was where the governor of the province west of the [Euphrates] River lived, repaired [part of the wall].
8 Na baada yake Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa wafua dhahabu, akatengeneza; na baada yake Hanania, mtengenezaji wa manukato. Wakajenga tena Yerusalemu mpaka Ukuta mpana.
Next to them, Uzziel, the son of Harhaiah, and Hananiah repaired the wall as far as the Broad/Wide Wall. Harhaiah made things from gold, and Hananiah made perfumes.
9 Na baada yao Refaya mwana wa Huri akajenga. Alikuwa mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu.
Next to them, Rephaiah the son of Hur, who ruled half of Jerusalem District, repaired [part of the wall].
10 Na baada yao Yedaya mwana wa Harumafu akajenga karibu na nyumba yake. Na baada yake Hatushi mwana wa Hashabneya akajenga.
Next to him, Jedaiah the son of Harumaph repaired [part of the wall] near his house. Next to him, Hattush the son of Hashabneiah repaired [part of the wall].
11 Malkiya mwana wa Harimu na Hashubu mwana wa Pahat Moabu, wajenga sehemu nyingine pamoja na mnara wa tanuu.
Malchijah the son of Harim, and Hashub the son of Pahath-Moab, repaired a section [of the wall], and also repaired the Tower of the Ovens.
12 Baada yao Shalumu mwana wa Haloheshi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, akajenga, pamoja na binti zake.
Next to them, Shallum the son of Hallohesh, who ruled the other half of Jerusalem District, repaired [part of the wall]. His daughters [helped him with the work].
13 Hanuni na wenyeji wa Zanoa walijenga lango la bondeni. Walijenga tena na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake. Walijenga dhiraa elfu hadi lango la jaa.
Hanun and people from Zanoah [city] repaired the Valley Gate. They put the gates in their places, and also put in the bolts and bars [for locking the gate]. They repaired the wall for (1,500 feet/500 meters), as far as the Dung Gate.
14 Malkiya, mwana wa Rekabu, mkuu wa wilaya ya Beth-Hakeremu, akajenga lango la jaa. Alijenga na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake.
Malchijah the son of Rechab, who ruled Beth-Haccherem District, repaired the Dung Gate. He also put in their places the bolts and bars [for locking the gate].
15 Shalumu mwana wa Kolhoze, mkuu wa wilaya ya Mispa, akajenga lango la Chemchemi. Alijenga, na kuweka kifuniko juu yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake. Alijenga upya ukuta wa Pwani wa Silowamu kwa bustani ya mfalme, hadi ngazi ya kuongoza kutoka mji wa Daudi.
Shallum the son of Colhozeh, who ruled Mizpah District, repaired the Fountain Gate. He put/built a roof over the gate, and put in their places the gates and the bolts and the bars [for locking the gate]. Near the Pool of Shelah he built the wall next to the king’s garden, as far as the steps that went down from the City of David.
16 Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-suri, akajenga mahali hapo, toka maburini ya Daudi, mpaka birika lililojengwa na watu, na nyumba ya watu wenye nguvu.
Next to him, Nehemiah the son of Azbuk, who ruled half of the Beth-Zur District, repaired [the wall] as far as the tombs [in the City] of David, to the reservoir that the people had made and the army barracks.
17 Baada yake, Walawi walijenga, pamoja na Rehumi mwana wa Bani na baada yake, Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, kwa wilaya yake.
Next to him, several descendants of Levi [who helped the priests] repaired [parts of the wall]. Rehum the son of Bani repaired one section. Hashabiah, who ruled half of the Keilah District, repaired the next section on behalf of the people of his district.
18 Baada yake watu wa nchi zao walijenga, ikiwa ni pamoja na Binui mwana wa Henadadi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Keila.
Bavvai the son of Henadad, who ruled the other half of the Keilah District, repaired [the next section] along with other descendants of Levi.
19 Baada yake alijenga Ezeri, mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alijenga sehemu nyingine kuelekea ghala ya silaha, kwenye kona ya ukuta.
Next to him, Ezer the son of Jeshua, who ruled Mizpah [city], repaired another section in front of the [steps which] went up to the (armory/building where the weapons are kept), as far as where the wall turns [a bit to the right].
20 Baada yake Baruki, mwana wa Zakai, akajenga kwa hiari sehemu nyingine, toka kona ya ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.
Next to him, Baruch the son of Zabbai repaired a section, as far as the door of the house of Eliashib the Supreme Priest.
21 Baada yake Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, akajenga sehemu nyingine, toka mlango wa nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wa nyumba ya Eliashibu.
Next to him, Meremoth the son of Uriah and grandson of Hakkoz, repaired a section from the door of Eliashib’s house to the end of Eliahib’s house.
22 Kisha baada yake makuhani, watu wa eneo hilo karibu na Yerusalemu, walijenga.
Next to him, [several priests repaired parts of the wall]. Priests from the area near Jerusalem repaired [one section].
23 Baada yao Benyamini na Hashubu walijenga kuielekea nyumba yao. Baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania, alijenga karibu na nyumba yake.
Next to them, Benjamin and Hasshub repaired [a section] in front of their house. Azariah, the son of Maaseiah and grandson of Ananiah, repaired the next [section] in front of his house.
24 Baada yake Binui mwana wa Henadadi akajenga sehemu nyingine, kutoka nyumba ya Azaria hadi kona ya ukuta.
Next to him, Binnui the son of Henadad repaired a section, from Azariah’s house to where the wall turns a bit.
25 Palali, mwana wa Uzai, akajenga juu ya kona ya ukuta na mnara unaoenea juu kutoka nyumba ya juu ya mfalme katika uwanda wa walinzi. Baada yake Pedaya mwana wa Paroshi akajenga.
[Next to him], Palal the son of Uzai repaired [a section], from where the wall turns and from where the watchtower is taller than the upper palace, the one where King [Solomon] had lived. The watchtower is near the courtyard where the guards [live].
26 Sasa watumishi wa hekalu waliokaa Ofeli walijenga mpaka upande wa Hifadhi ya Maji upande wa mashariki wa mnara unaojitokeza.
Next to him, Pedaiah the son of Parosh repaired [a section] toward the east to a place near the Water Gate and near the tall tower. That part of the wall is near Ophel [Hill], where the temple servants lived.
27 Baada yake, Watekoi walijenga sehemu nyingine, kuelekea mnara mkubwa ulio nje, mpaka ukuta wa Ofeli.
Next to him, men from Tekoa [town] repaired another section, from near the tall tower as far as the wall near Ophel [Hill]. [That was the second section that they repaired].
28 Makuhani wakajenga juu ya lango la farasi, kila mmoja kuelekea nyumba yake.
A group of priests repaired [the wall] north from the Horse Gate. Each one repaired the section near his own house.
29 Baada yao Sadoki, mwana wa Imeri, alijenga sehemu hiyo kuelekea nyumba yake. Na baada yake Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki, akajenga.
Next to them, Zadok the son of Immer repaired [the section] in front of his house. Next to him, Shemaiah the son of Shecaniah, who (was the gatekeeper at/opened and closed) the East Gate, repaired [the next section].
30 Baada yake Hanania, mwana wa Shelemia, na Hanuni, mwana wa sita wa Salafu, wakajenga sehemu nyingine. Meshulamu mwana wa Berekia akajenga kuelekea kwenye vyumba vyake.
Next to him, Hananiah the son of Shelemiah, and Hanun the sixth son of Zalaph, repaired a section. That was the second [section that they repaired]. Next to them, Meshullam the son of Berekiah, made repairs across from where he lived.
31 Baada yake Malkiya, mmoja wa wafua dhahabu, akajenga mpaka nyumba ya watumishi wa hekalu na wafanyabiashara waliokuwa wakielekea lango la gereza na mpaka chumba cha juu cha pembeni.
Next to them, Malchijah, who also made things from gold, repaired [a section] as far as the building used by the temple servants and merchants, which was close to the Inspection Gate. This was the gate into the temple that was near the room on top of the northeast corner of the wall.
32 Wafanyabiashara wa dhahabu na wafanyabiashara walijenga kati ya chumba cha juu cha kona na Lango la Kondoo.
Other men who made things from gold, along with merchants, repaired [the last section of the wall], as far as the Sheep Gate.