< Nehemia 3 >

1 Kisha Eliashibu, kuhani mkuu, akasimama pamoja na ndugu zake makuhani, wakajenga lango la kondoo. Walitakasa na kuweka milango yake. Waliweka wakfu hadi mnara wa Hamea na hadi mnara wa Hananeli.
Тогава първосвещеникът Елиасив и братята му свещениците станаха та съградиха овчата порта; те я осветиха и поставиха вратите й, дори до кулата Мея я осветиха, до кулата Ананеил.
2 Baada yao watu wa Yeriko walijenga, na baada yao Zakuri mwana wa Imri alijenga.
И до него градяха Ерихонските мъже. И до тях градеше Закхур, Имриевият син.
3 Wana wa Senaa wakajenga lango la samaki. Wanaweka mihimili yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
А рибната порта съградиха Сенаевите синове, които, като положиха гредите й, поставиха и вратите й, ключалките й и лостовете й.
4 Meremoth aliandaa sehemu inayofuata. Yeye ni mwana wa Uria mwana wa Hakosi. Na baada yao Meshulamu akatengeneza. Yeye ni mwana wa Berekia mwana wa Meshezabeli. Karibu nao Sadoki akatengeneza. Yeye ni mwana wa Baana.
До тях поправяше Меримот, син на Урия, Акосовият син. До него поправяше Месулам, син на Варахия, Месизавеиловият син. До него поправяше Садок, Ваанаевият син.
5 Baada yao Watekoi wakatengeneza, lakini viongozi wao walikataa kufanya kazi iliyoagizwa na wakuu wao.
И до него поправяха текойците; но големците им не се впрегнаха в делото на своя Господ.
6 Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya, walitengeneza lango la Kale. Wanaweka mihimili, na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
И старата порта поправиха Иодай, Фасеевият син и Месулам, Весодиевият син, който, като положиха гредите й, поставиха и вратите й, ключалките и лостовете й.
7 Nao, Melatia Mgibeoni, na Yadoni Meronothi, watu wa Gibeoni na Mispa, walifanyia matengenezo juu ya sehemu ambapo mkuu wa mkoa wa ng'ambo ya Mto aliishi.
До тях гаваонецът Мелатия и меронотецът Ядон, мъже от Гаваон и от Масфа, поправяше до седалището на областния управител отсам реката.
8 Na baada yake Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa wafua dhahabu, akatengeneza; na baada yake Hanania, mtengenezaji wa manukato. Wakajenga tena Yerusalemu mpaka Ukuta mpana.
До тях поправяше Озиил, Арахиевият син, един от златарите. До него поправяше Анания, един от аптекарите; и те укрепиха Ерусалим до широката стена.
9 Na baada yao Refaya mwana wa Huri akajenga. Alikuwa mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu.
До него поправяше Рафаия, Оровият син, началник на половината от Ерусалимския окръг.
10 Na baada yao Yedaya mwana wa Harumafu akajenga karibu na nyumba yake. Na baada yake Hatushi mwana wa Hashabneya akajenga.
До тях поправяше, срещу къщата си, Едаия, Арумафовият син. До него поправяше Хатус, Асаваниевият син.
11 Malkiya mwana wa Harimu na Hashubu mwana wa Pahat Moabu, wajenga sehemu nyingine pamoja na mnara wa tanuu.
А Мелхия, Харимовият син, и Асув, Фаат-моавовият син, поправяха друга част и кулата на пещите.
12 Baada yao Shalumu mwana wa Haloheshi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, akajenga, pamoja na binti zake.
И до тях поправяше, заедно с дъщерите си, Селум, Алоисовият син, началник на половината от Ерусалимския окръг
13 Hanuni na wenyeji wa Zanoa walijenga lango la bondeni. Walijenga tena na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake. Walijenga dhiraa elfu hadi lango la jaa.
Портата на долината поправиха Анун и жителите на Заноя, които, като я съградиха, поставиха и вратите й, ключалките й и лостовете й; поправиха и хиляда лакти от стената до портата на бунището.
14 Malkiya, mwana wa Rekabu, mkuu wa wilaya ya Beth-Hakeremu, akajenga lango la jaa. Alijenga na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake.
А портата на бунището поправи Мелхия, Рихавовият син, началник на Вет-акаремския окръг; и той, като я съгради, постави и вратите й, ключалките й и лостовете й.
15 Shalumu mwana wa Kolhoze, mkuu wa wilaya ya Mispa, akajenga lango la Chemchemi. Alijenga, na kuweka kifuniko juu yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake. Alijenga upya ukuta wa Pwani wa Silowamu kwa bustani ya mfalme, hadi ngazi ya kuongoza kutoka mji wa Daudi.
А портата на извора поправи Селун, Холозеевият син, началник на Масафския окръг, който като я съгради и покри, постави и вратите й, ключалките й и лостовете й; поправи и стената на силоамския водоем при царската градина, дори до стъпалата, които слизат от Давидовия град.
16 Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-suri, akajenga mahali hapo, toka maburini ya Daudi, mpaka birika lililojengwa na watu, na nyumba ya watu wenye nguvu.
След него поправяше Неемия Азвуковият син, началник на половината от Вет-сурския окръг, до мястото срещу Давидовите гробища, и до направения водоем, и до къщата на силните мъже.
17 Baada yake, Walawi walijenga, pamoja na Rehumi mwana wa Bani na baada yake, Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, kwa wilaya yake.
След него поправяха левитите начело с Реума, Ваниевият син. До него поправяше Асавия, началник на половината от Кеилския окръг, за своя окръг.
18 Baada yake watu wa nchi zao walijenga, ikiwa ni pamoja na Binui mwana wa Henadadi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Keila.
След него поправяха братята им, начело с Вавая, Инададовият син, началник на другата половина от Кеилския окръг.
19 Baada yake alijenga Ezeri, mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alijenga sehemu nyingine kuelekea ghala ya silaha, kwenye kona ya ukuta.
До него, Есер, Исусовият син, началник на Масфа, поправяше друга част, срещу нагорнището към оръжейницата при ъгъла на стената.
20 Baada yake Baruki, mwana wa Zakai, akajenga kwa hiari sehemu nyingine, toka kona ya ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.
След него Варух, Заваевият син, поправяше ревностно друга част, от ъгъла до вратата на къщата на първосвещеник Елиасива.
21 Baada yake Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, akajenga sehemu nyingine, toka mlango wa nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wa nyumba ya Eliashibu.
След него, Меримот, син на Урия, Акосовия син, поправяше друга част, от вратата на Елиасивовата къща.
22 Kisha baada yake makuhani, watu wa eneo hilo karibu na Yerusalemu, walijenga.
След него поправяха свещениците, които живееха в тая околност.
23 Baada yao Benyamini na Hashubu walijenga kuielekea nyumba yao. Baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania, alijenga karibu na nyumba yake.
След тях поправяха Вениамин и Асув срещу къщата си. След тях поправяше поправяше Азария, син на Маасия, Ананиевият син, при къщата си.
24 Baada yake Binui mwana wa Henadadi akajenga sehemu nyingine, kutoka nyumba ya Azaria hadi kona ya ukuta.
След него, Вануй, Инададовият син, поправяше друга част, от къщата на Азария до къта, дори до ъгъла на стената.
25 Palali, mwana wa Uzai, akajenga juu ya kona ya ukuta na mnara unaoenea juu kutoka nyumba ya juu ya mfalme katika uwanda wa walinzi. Baada yake Pedaya mwana wa Paroshi akajenga.
Фалал Узаевият син поправяше срещу ъгъла и кулата, която се издава от горната царска къща, която бе при двора на стражата; и след него поправяше Фадаия, Фаросовият син.
26 Sasa watumishi wa hekalu waliokaa Ofeli walijenga mpaka upande wa Hifadhi ya Maji upande wa mashariki wa mnara unaojitokeza.
(А нетинимите живееха в Офил до мястото срещу портата на водата на изток, и до издадената кула).
27 Baada yake, Watekoi walijenga sehemu nyingine, kuelekea mnara mkubwa ulio nje, mpaka ukuta wa Ofeli.
След него текойците поправяха друга част срещу голямата издадена кула и до стената на Офил.
28 Makuhani wakajenga juu ya lango la farasi, kila mmoja kuelekea nyumba yake.
Над конската порта поправяха свещениците, всеки срещу къщата си.
29 Baada yao Sadoki, mwana wa Imeri, alijenga sehemu hiyo kuelekea nyumba yake. Na baada yake Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki, akajenga.
След тях поправяше Садок, Емировият син, срещу къщата си. След него поправяше вратарят на източната порта Семаия, Сеханиевият син.
30 Baada yake Hanania, mwana wa Shelemia, na Hanuni, mwana wa sita wa Salafu, wakajenga sehemu nyingine. Meshulamu mwana wa Berekia akajenga kuelekea kwenye vyumba vyake.
След него, Анания, Селемиевият син и Анун, шестият син на Салафа, поправяха друга част. След тях поправяше Масулам, Варахиевият син, срещу стаята си.
31 Baada yake Malkiya, mmoja wa wafua dhahabu, akajenga mpaka nyumba ya watumishi wa hekalu na wafanyabiashara waliokuwa wakielekea lango la gereza na mpaka chumba cha juu cha pembeni.
След него поправяше Мелхия, син на златаря, до къщата на нетинимите и на търговците, срещу вратата на Мифкада и до нагорнището при ъгъла.
32 Wafanyabiashara wa dhahabu na wafanyabiashara walijenga kati ya chumba cha juu cha kona na Lango la Kondoo.
А между нагорнището, при ъгъла и овчата порта, поправяха златарите и търговците.

< Nehemia 3 >