< Nehemia 2 >

1 Katika mwezi wa Nisani, katika mwaka wa ishirini wa mfalme Artashasta, alichagua divai, na nikachukua divai na kumpa mfalme. Sasa sikuwahi kusikitikaa mbele yake.
Pripetilo se je v mesecu nisánu, v dvanajstem letu kralja Artakserksa, da je bilo pred njim vino. Vzel sem vino in ga izročil kralju. Torej poprej v njegovi prisotnosti nisem bil žalosten.
2 Lakini mfalme akaniambia, “Kwa nini uso wako una huzuni? Hauonekani kuwa mgonjwa. Hii lazima iwe huzuni ya moyo.” Kisha nikaogopa sana.
Zato mi je kralj rekel: »Zakaj je tvoje obličje žalostno, ker vidim, da nisi bolan? To ni nič drugega kakor bridkost srca.« Potem sem bil zelo boleče prestrašen
3 Nikamwambia mfalme, “Mfalme aishi milele! Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni? ikiwa mji, mahali pa makaburi ya baba yangu, uko katika magofu, na malango yake yameharibiwa kwa moto.”
in rekel kralju: »Naj kralj živi na veke. Zakaj naj bi moje obličje ne bilo žalostno, ko [pa] mesto, kraj mavzolejev mojih očetov, leži opustošeno in so njegova velika vrata použita z ognjem?«
4 Ndipo mfalme akaniambia, “Unataka nini nifanye?” Kwa hiyo nikamwomba Mungu wa mbinguni.
Potem mi je kralj odgovoril: »Za kaj delaš zahtevo?« Tako sem molil k Bogu nebes.
5 Nikamwambia mfalme, “Mfalme akiona vema, na ikiwa mtumishi wako amefanya vizuri machoni pako, unaweza kunituma Yuda, mji wa kaburi za baba zangu, ili nipate kuujenga tena.”
Kralju sem rekel: »Če kralju ugaja in je tvoj služabnik našel naklonjenost v tvojem pogledu, da bi me hotel poslati v Judejo, v mesto mavzolejev mojih očetov, da ga lahko zgradim.«
6 Mfalme akanijibu (na malkia pia alikuwa amekaa karibu naye), “Utakaa kawa muda gani mpaka urudi?” Mfalme akaona vema kunipeleka nami nikampka muda.
Kralj mi je rekel (tudi kraljica je sedela ob njem): »Kako dolgo bo trajalo tvoje potovanje? In kdaj se boš vrnil?« Tako je kralju ugajalo, da me pošlje, in določil sem mu čas.
7 Ndipo nikamwambia mfalme, “Ikiwa itampendeza mfalme, nipe barua kwa ajili ya wakuu ng'ambo ya Mto, ili wapate kuniruhusu nipite katika maeneo yao njiani kwenda Yuda.
Poleg tega sem kralju rekel: »Če to ugaja kralju, naj mi bodo dana pisma, za voditelje onkraj reke, da me lahko pošljejo preko, dokler ne pridem v Judejo,
8 Pia iwepo barua kwa Asafu, mlinzi wa msitu wa mfalme, ili anipe miti ya kufanya mihimili ya malango ya ngome karibu na hekalu, na kwa ukuta wa mji, na kwa nyumba ambayo Nitaishi.” Kwa hiyo kwa sababu mkono mzuri wa Mungu ulikuwa juu yangu, mfalme alinipa hitaji langu.
in pismo Asáfu, čuvaju kraljevega gozda, da mi bo lahko dal les, da naredim bruna za velika vrata palače, ki so spadala k hiši in za mestno obzidje in za hišo, v katero bom vstopil.« In kralj mi je zagotovil, glede na dobro roko mojega Boga nad menoj.
9 Nilifika kwa wakuu ng'ambo ya Mto, na kuwapa barua za mfalme. Basi mfalme alikuwa amepeleka maofisa wa jeshi na wapanda farasi pamoja nami.
Potem sem prišel k voditeljem preko reke in jim dal kraljeva pisma. Torej kralj je z menoj poslal vojne poveljnike in konjenike.
10 Sanbalati Mhoroni na Tobbia mtumishi wa Amoni waliposikia jambo hili, walipendezwa sana kwa kuwa mtu alikuja ambaye alikuwa akijaribu kuwasaidia watu wa Israeli.
Ko sta Sanbalát Horónčan in služabnik Tobija, Amónec, slišala o tem, ju je to silno užalostilo, da je tja prišel človek, da išče blaginjo Izraelovih otrok.
11 Basi, nikarudi Yerusalemu, na nilikuwa huko siku tatu.
Tako sem prišel v Jeruzalem in bil tam tri dni.
12 Niliamka usiku, mimi na watu wachache pamoja nami. Sikumwambia mtu yeyote kile Mungu wangu alichoweka ndani ya moyo wangu kufanya Yerusalemu. Hakukuwa na mnyama pamoja nami, isipokuwa yule niliyekuwa nimempanda.
Vstal sem ponoči, jaz in nekaj malega mož z menoj. Niti nisem nobenemu možu povedal, kaj je Bog položil na moje srce, da storim pri Jeruzalemu. Niti ni bila z menoj nobena žival, razen živali, na kateri sem jahal.
13 Niliondoka usiku kwa njia ya lango la bondeni, kuelekea kisima cha joka na kwenye mlango wa jaa, na kukagua kuta za Yerusalemu, ambazo zimebomolewa, na milango ya mbao iliharibiwa na moto.
Ponoči sem odšel ven pri Dolinskih velikih vratih, celo pred zmajevim vodnjakom in do gnojne odprtine in ogledal sem si jeruzalemske zidove, ki so bili porušeni in njegova velika vrata, ki so bila použita z ognjem.
14 Kisha nikaenda kwenye lango na Chemchemi ya Mfalme. Nafasi ilikuwa nyembamba sana kwa mnyama niliyekuwa nimempanda kupita.
Potem sem odšel naprej do velikih studenčnih vrat in do kraljevega ribnika, toda tam ni bilo prostora za žival, ki je bila pod menoj, da gre mimo.
15 Kwa hiyo nilikwenda usiku huo kando ya bonde na kuchunguza ukuta, nikarudi nyuma na kuingia kwa lango la bondeni, na hivyo nikarudi.
Potem sem ponoči odšel gor, poleg potoka in gledal obzidje in se obrnil nazaj in vstopil pri velikih dolinskih vratih in tako sem se vrnil.
16 Watawala hawakujua nilipokwenda au kile nilichofanya, na sikuwaambia Wayahudi, wala makuhani, wala wakuu, wala watawala, wala wengine waliofanya kazi hiyo.
Vladarji niso vedeli, kam sem odšel ali kaj sem storil, niti do tega trenutka tega še nisem povedal Judom, niti duhovnikom, niti plemičem, niti vladarjem, niti preostalim, ki so opravljali delo.
17 Nikawaambia, “Unaona shida tuliyo nayo, jinsi Yerusalemu iko katika magofu na milango yake imeharibiwa kwa moto. Njoni, tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, ili tusiwe na aibu tena.”
Potem sem jim rekel: »Vi vidite stisko, v kateri smo, kako Jeruzalem leži opustošen in so njegova velika vrata požgana z ognjem. Pridite in gradimo jeruzalemsko obzidje, da ne bomo več v grajo.«
18 Niliwaambia kuwa mkono mzuri wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu na pia kuhusu maneno ya mfalme ambayo aliniambia. Wakasema, “Hebu tuondoke na kujenga.” Kwa hiyo wakaimarisha mikono yao kwa ajili ya kazi nzuri.
Potem sem jim povedal o roki svojega Boga, ki je bila dobra nad menoj, kot tudi kraljeve besede, ki mi jih je govoril. Rekli so: »Vzdignimo se in gradimo.« Tako so okrepili svoje roke za to dobro delo.
19 Lakini Sanbalati Mhoroni, na Tobia mtumishi wake Mwamoni, na Geshemu, Mwarabu, waliposikia habari hiyo, wakatucheka na kututukana; wakasema, “Unafanya nini? Je, unamgombana na mfalme?”
Toda ko so Sanbalát Horónčan in služabnik Tobija, Amónec in Arabec Gešem to slišali, so se smejali do norčevanja, nas prezirali in rekli: »Kaj je ta stvar, ki jo počnete. Ali se hočete upreti zoper kralja?«
20 Ndipo nikawajibu, “Mungu wa mbinguni atatupa ufanisi. Sisi ni watumishi wake na tutaondoka na kujenga. Lakini huna sehemu, hakuna haki, na hakuna dai la kihistoria huko Yerusalemu.”
Potem sem jim odgovoril in jim rekel: »Bog nebes, on nas bo naredil uspešne, zato bomo mi, njegovi služabniki, vstali in gradili. Toda vi nimate deleža niti pravice niti spomina v Jeruzalemu.«

< Nehemia 2 >