< Nehemia 2 >
1 Katika mwezi wa Nisani, katika mwaka wa ishirini wa mfalme Artashasta, alichagua divai, na nikachukua divai na kumpa mfalme. Sasa sikuwahi kusikitikaa mbele yake.
Siangpahrang Artaxerxes bawi kum 20, Nisan thapa nah misurtui ka la teh, siangpahrang hah ka poe. Ha hoehnahlan teh, a hmalah ka minhmai mathout boihoeh.
2 Lakini mfalme akaniambia, “Kwa nini uso wako una huzuni? Hauonekani kuwa mgonjwa. Hii lazima iwe huzuni ya moyo.” Kisha nikaogopa sana.
Siangpahrang ni bangkongmaw na minhmai a mathoe. Patawnae hai na tawn hoeh. Alouke bang mahoeh, na lungthung hoi lungmathoe e doeh kaawm telah na ti pouh.
3 Nikamwambia mfalme, “Mfalme aishi milele! Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni? ikiwa mji, mahali pa makaburi ya baba yangu, uko katika magofu, na malango yake yameharibiwa kwa moto.”
Kai ni hai siangpahrang na hringsaw seh. Ka mintoenaw onae khopui a rawk teh longkhanaw hmai koung a kak navah, minhmai mathout laipalah bangtelamaw ka o thai han telah ka ti pouh.
4 Ndipo mfalme akaniambia, “Unataka nini nifanye?” Kwa hiyo nikamwomba Mungu wa mbinguni.
Siangpahrang ni bangmaw hei han na ngai telah na pacei. Hahoi, kalvan kaawm e Cathut koe ka ratoum.
5 Nikamwambia mfalme, “Mfalme akiona vema, na ikiwa mtumishi wako amefanya vizuri machoni pako, unaweza kunituma Yuda, mji wa kaburi za baba zangu, ili nipate kuujenga tena.”
Siangpahrang koevah, siangpahrang na lungkuep boilah, na san ni minhmai kahawi kahmawt pawiteh, ka mintoenaw onae khopui bout ka pathout thai nahanelah, Judah kho ka cei thai nahanlah ka kâhei telah ka ti pouh.
6 Mfalme akanijibu (na malkia pia alikuwa amekaa karibu naye), “Utakaa kawa muda gani mpaka urudi?” Mfalme akaona vema kunipeleka nami nikampka muda.
Siangpahrangnu hai ateng vah a tahung teh, siangpahrang ni nâyittouh maw na ro han. Nâtuek maw bout na ban han telah na pacei. Hahoi kai ni atueng ka khoe teh, siangpahrang ni lunghawicalah na cei sak.
7 Ndipo nikamwambia mfalme, “Ikiwa itampendeza mfalme, nipe barua kwa ajili ya wakuu ng'ambo ya Mto, ili wapate kuniruhusu nipite katika maeneo yao njiani kwenda Yuda.
Hahoi siangpahrang koevah, siangpahrang na lungkuep pawiteh tui namran lah kaawm e lawkcengkungnaw ka kâhmo nah Judah ram totouh ka cei thai nahanlah ca na thun pouh haw.
8 Pia iwepo barua kwa Asafu, mlinzi wa msitu wa mfalme, ili anipe miti ya kufanya mihimili ya malango ya ngome karibu na hekalu, na kwa ukuta wa mji, na kwa nyumba ambayo Nitaishi.” Kwa hiyo kwa sababu mkono mzuri wa Mungu ulikuwa juu yangu, mfalme alinipa hitaji langu.
Siangpahrang e ratu ka ring e Asaph koe, Bawkim longkha hoi longkha khomnaw hane, khorapan hoi ka o nahane im han lah thing na poe nahane hoi kâpoenae ca hai na poe nahanelah ka hei e patetlah, Cathut pahren lahoi Siangpahrang ni kai koe na poe.
9 Nilifika kwa wakuu ng'ambo ya Mto, na kuwapa barua za mfalme. Basi mfalme alikuwa amepeleka maofisa wa jeshi na wapanda farasi pamoja nami.
Hahoi tui namran lah kaawm e khobawinaw koe ka pha teh siangpahrang koe e ca hah ka poe. Hahoi siangpahrang ni kai koevah ransabawi hoi marangransanaw hah a tha.
10 Sanbalati Mhoroni na Tobbia mtumishi wa Amoni waliposikia jambo hili, walipendezwa sana kwa kuwa mtu alikuja ambaye alikuwa akijaribu kuwasaidia watu wa Israeli.
Isarel miphunnaw hanlah hnokahawi ka sak hane tami buet touh a tho tie Horon tami Sanballat hoi Ammon tami san lah kaawm e Tobiahnaw ni a thai awh navah puenghoi a lungkhuek awh.
11 Basi, nikarudi Yerusalemu, na nilikuwa huko siku tatu.
Hahoi Jerusalem vah ka pha teh hnin thum touh hawvah ka o.
12 Niliamka usiku, mimi na watu wachache pamoja nami. Sikumwambia mtu yeyote kile Mungu wangu alichoweka ndani ya moyo wangu kufanya Yerusalemu. Hakukuwa na mnyama pamoja nami, isipokuwa yule niliyekuwa nimempanda.
Tangmin vah ka thaw teh kama koe ka hrawi e tami tangawn hoi Jerusalem hanelah Cathut ni ka lungthin dawk na poe e hah alouke tami api koehai ka dei pouh hoeh. Ka kâcuie marang hloilah saring alouke banghai ka sin hoeh.
13 Niliondoka usiku kwa njia ya lango la bondeni, kuelekea kisima cha joka na kwenye mlango wa jaa, na kukagua kuta za Yerusalemu, ambazo zimebomolewa, na milango ya mbao iliharibiwa na moto.
Hat hnin tangmin vah, ayawn longkha koehoi ka tâco teh khorui longkha hoi vaipuen longkha koe lah ka cei. Jerusalem rapan ka rawk e hoi longkha ka kang e naw hah ka khet.
14 Kisha nikaenda kwenye lango na Chemchemi ya Mfalme. Nafasi ilikuwa nyembamba sana kwa mnyama niliyekuwa nimempanda kupita.
Tuikhu longkha koehoi siangpahrang tuiim totouh ka cei hatei, ka kâcuie marang a cei nahan lamthung awmhoeh.
15 Kwa hiyo nilikwenda usiku huo kando ya bonde na kuchunguza ukuta, nikarudi nyuma na kuingia kwa lango la bondeni, na hivyo nikarudi.
Hahoi tangmin vah palang kahrawng teh rapannaw ka khet. Hahoi bout ka ban teh ayawn longkha dawk hoi bout ka kâen.
16 Watawala hawakujua nilipokwenda au kile nilichofanya, na sikuwaambia Wayahudi, wala makuhani, wala wakuu, wala watawala, wala wengine waliofanya kazi hiyo.
Ka lawkcengkungnaw ni nâmaw ka cei tie hoi bangmaw ka sak tie panuek awh hoeh. Judahnaw, vaihmabawinaw, lawkcengkungnaw, hoi alouke thaw katawkkungnaw koe banghai ka dei pouh hoeh rah.
17 Nikawaambia, “Unaona shida tuliyo nayo, jinsi Yerusalemu iko katika magofu na milango yake imeharibiwa kwa moto. Njoni, tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, ili tusiwe na aibu tena.”
Hahoi teh ahnimouh koevah maimouh ni khang e roedengnae Jerusalem a rawk e, kho longkha hmai kakangnaw hai na hmu awh toe tho awh haw pathoenae dawk hoi hlout nahanelah Jerusalem khopui teh bout sak lei sei telah ka dei pouh.
18 Niliwaambia kuwa mkono mzuri wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu na pia kuhusu maneno ya mfalme ambayo aliniambia. Wakasema, “Hebu tuondoke na kujenga.” Kwa hiyo wakaimarisha mikono yao kwa ajili ya kazi nzuri.
Hahoi lathueng Cathut ahawinae hoi siangpahrang ni ca a thut e naw hah ka dei pouh teh, ahnimouh ni thâw awh vaiteh sak awh leih sei telah ati awh. Hahoi teh hote thaw kahawi tawk hanelah a kuttha ao sak awh.
19 Lakini Sanbalati Mhoroni, na Tobia mtumishi wake Mwamoni, na Geshemu, Mwarabu, waliposikia habari hiyo, wakatucheka na kututukana; wakasema, “Unafanya nini? Je, unamgombana na mfalme?”
Hatnavah, Horon tami Sanballat san lah kaawm e Ammon miphun Tobiah, Arab tami Geshem tinaw ni a thai awh toteh na panuikhai awh teh na hnephnap awh. Hno na sak e naw heh bangmaw. Siangpahrang na taran awh e doeh khe telah na ti pouh awh.
20 Ndipo nikawajibu, “Mungu wa mbinguni atatupa ufanisi. Sisi ni watumishi wake na tutaondoka na kujenga. Lakini huna sehemu, hakuna haki, na hakuna dai la kihistoria huko Yerusalemu.”
Hatnavah ahnimae lawk teh ka pathung; kalvan e Cathut ni kaimouh hanelah a kuep sak han. Hatdawkvah, Cathut e san lah kaawm e kaimouh ni ka thaw awh vaiteh ka sak awh han. Hatei, nangmouh teh Jerusalem e coe hane thoseh, kâtawn hane hai thoseh, pâkuem hane hai thoseh na tawn awh hoeh telah ka ti pouh.