< Nehemia 11 >
1 Viongozi wa watu waliishi Yerusalemu, na watu wengine walipiga kura ili kuleta mmoja kati ya watu kumi kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, na wengine tisa walibakia katika miji mingine.
Przełożeni ludu zamieszkali więc w Jerozolimie, a reszta ludu rzucała losy, aby wyznaczyć jednego z dziesięciu na zamieszkanie w Jerozolimie, w świętym mieście, a dziewięciu pozostałych w [innych] miastach.
2 Na watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari kuishi Yerusalemu.
I lud błogosławił wszystkim mężczyznom, którzy dobrowolnie postanowili zamieszkać w Jerozolimie.
3 Hawa ndio viongozi wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu. Hata hivyo, katika miji ya Yuda kila mtu aliishi katika nchi yake mwenyewe, ikiwa ni pamoja na Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa hekalu, na wazao wa watumishi wa Sulemani.
Oto naczelnicy tej prowincji, którzy zamieszkali w Jerozolimie – ale w innych miastach Judy mieszkali Izraelici, kapłani, Lewici, Netinici i synowie sług Salomona, każdy w swojej posiadłości, w swoim mieście:
4 Katika Yerusalemu waliishi baadhi ya wana wa Yuda na baadhi ya wana wa Benyamini. Watu wa Yuda walikuwa pamoja na Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Peresi.
I tak w Jerozolimie mieszkali [niektórzy] z synów Judy i Beniamina. Z synów Judy: Ataja, syn Uzjasza, syna Zachariasza, syna Amarasza, syna Szefatiasza, syna Mahalaleela z synów Peresa;
5 Na Maaseya, mwana wa Baruki, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zakaria, mwana wa Mshelani, alikuwa mwana wa Baruki.
Także Maasejasz, syn Barucha, syna Kol-Chozego, syna Chasajasza, syna Chadajasza, syna Jojariba, syna Zachariasza, syna Szilonity.
6 Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa.
Wszystkich synów Peresa mieszkających w Jerozolimie było czterystu sześćdziesięciu ośmiu dzielnych mężczyzn.
7 Hao ndio wana wa Benyamini, Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yehaya.
A to są synowie Beniamina: Sallu, syn Meszullama, syna Joeda, syna Pedajasza, syna Kolajasza, syna Maasejasza, syna Itiela, syna Jesajasza;
8 Na baada yake, Gabai na Salai, watu 928.
A po nim Gabbaj, Sallaj, [razem] dziewięciuset dwudziestu ośmiu.
9 Yoeli mwana wa Zikri alikuwa mwangalizi wao; na Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili juu ya mji.
I Joel, syn Zikriego, był ich przełożonym, a Juda, syn Senua, był [postawiony jako] drugi nad miastem.
10 Kutoka kwa makuhani Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
Z kapłanów: Jedajasz, syn Jojariba, [i] Jachyn;
11 Seraya mwana wa Hilikia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayoti, mwana wa Ahitubu, mkuu wa nyumba ya Mungu,
Serajasz, syn Chilkiasza, syna Meszullama, syna Sadoka, syna Merajota, syna Achituba – był on przełożonym domu Bożego.
12 na wenzake waliofanya kazi ya ukoo, watu 822. na Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amzi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya.
I ich bracia, którzy pełnili służbę w domu – razem ośmiuset dwudziestu dwóch. Potem Adajasz, syn Jerochama, syna Pelaliasza, syna Amsiego, syna Zachariasza, syna Paszchura, syna Malkiasza.
13 Nao walikuwa washirika wake waliokuwa wakuu wa jamaa, wanaume 242, na Maasai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri;
I jego bracia, naczelnicy rodów – dwustu czterdziestu dwóch. I Amaszaj, syn Asareel, syna Achzaja, syna Meszillemota, syna Immera.
14 na ndugu zao, 128 wapiganaji wenye ujasiri, wenye ujasiri; Waziri wao aliyeongoza alikuwa Zabdieli, mwana wa Hageoli.
I ich bracia, dzielni wojownicy – stu dwudziestu ośmiu. Ich przełożonym był Zabdiel, syn Haggedolima.
15 Na Walawi Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni,
A z Lewitów: Szemejasz, syn Chaszuba, syna Azrikama, syna Chaszabiasza, syna Bunniego.
16 na Shabethai, na Yozabadi, ambao walikuwa ni viongozi wa Walawi, waliosimamia kazi za nje ya nyumba ya Mungu.
Szabbetaj i Jozabad, z przełożonych Lewitów, [byli] odpowiedzialni za służbę na zewnątrz domu Bożego.
17 Alikuwepo Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zakri, mwana wa Asafu, aliyekuwa mkurugenzi aliyeanza shukrani kwa sala, na Bakbukia, wa pili miongoni mwa ndugu zake, na Abda mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
A Mattaniasz, syn Miki, syna Zabdiego, syna Asafa, kierował pieśń dziękczynną przy modlitwie. A Bakbukiasz był drugim spośród swoich braci, potem Abda, syn Szammuy, syna Galala, syna Jedutuna.
18 Katika mji wote mtakatifu walikuwa Walawi 284.
Wszystkich Lewitów w świętym mieście [było] dwustu osiemdziesięciu czterech.
19 Walinzi wa malango Akubu, Talmoni, na washirika wao, ambao waliolinda milango, wanaume 172.
Odźwierni: Akkub, Talmon i ich bracia, którzy trzymali straż przy bramach – razem stu siedemdziesięciu dwóch.
20 Na wale waliosalia wa Israeli, na makuhani, na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda. Kila mtu aliishi katika milki yake mwenyewe.
A pozostali z Izraela, z kapłanów i z Lewitów [mieszkali] we wszystkich miastach Judy, każdy w swoim dziedzictwie.
21 Wafanyakazi wa hekalu waliishi Ofeli, na Siha na Gishpa walikuwa wakiwaongoza.
Ale Netinici mieszkali na Ofelu, a Sicha i Giszpa [stali] na czele Netinitów.
22 Mtawala mkuu juu ya Walawi waliokuwa wakitumikia Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, ambao walikuwa waimbaji wa kazi katika nyumba ya Mungu.
Przełożonym nad Lewitami w Jerozolimie [był] Uzzi, syn Baniego, syna Chaszabiasza, syna Mattaniasza, syna Miki. [Ci] z synów Asafa [byli] śpiewakami przy służbie w domu Bożym.
23 Walikuwa chini ya maagizo kutoka kwa mfalme na maagizo imara yalitolewa kwa waimbaji kila siku inavyohitajika.
[Istniał] bowiem co do nich rozkaz króla, wyznaczający śpiewakom dzienną porcję na ich utrzymanie.
24 Pethahia mwana wa Meshezabeli, mwana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa upande wa mfalme kwa habari zote za watu.
Petachiasz, syn Meszezabeela, z synów Zeracha, syna Judy, [był] przy boku króla w każdej sprawie dotyczącej ludu.
25 Kuhusu vijiji na mashamba yao, baadhi ya watu wa Yuda wakakaa Kiriath-arba, na vijiji vyake, na Diboni, na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake.
A co do wsi i ich pól, niektórzy z synów Judy mieszkali w Kiriat-Arba i przynależnych do niego wsiach, w Dibonie i przynależnych do niego wsiach oraz w Jekkabseel i przynależnych do niego wsiach;
26 Wakaishi katika Yeshua, Molada, Beth-Peleti,
W Jeszua, Moladzie i Bet-Pelet;
27 Hazar-Shuali, Beersheba na vijiji vyake.
W Chasar-Szual i w Beer-Szebie i przynależnych do niej wsiach;
28 Nao wakakaa Siklagi, na Mekona, na vijiji vyake,
W Siklag i w Mekona i przynależnych do niego wsiach;
29 Enrimoni, Sora, Yarmuthi,
W En-Rimmon, Sorea i Jarmut;
30 Zanoa, Adulamu, na vijiji vyake, na Lakishi, na mashamba yake, na Azeka, na vijiji vyake. Basi wakakaa kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
W Zanoach i w Adullam i przynależnych do nich wsiach, w Lakisz i na przynależnych do niego polach i w Azece i przynależnych do niej wsiach. Mieszkali więc od Beer-Szeby aż do doliny Hinnom.
31 Watu wa Benyamini pia walikuwa wakiishi kutoka Geba, kwenda Mikmashi na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake.
Synowie Beniamina z Geba [mieszkali] w Mikmas, Ajja i w Betel i przynależnych do niego wsiach;
32 Waliishi Anathothi, Nobu, Anania,
W Anatot, Nob i Anania;
33 Hazori, Rama, Gitaimu,
W Chasor, Rama i Gittaim;
34 Hadidi, Seboimu, Nebalati,
W Chadid, Seboim i Neballat;
35 Lodi, na Ono, bonde la wafundi.
W Lod i Ono, i w Dolinie Rzemieślników.
36 Walawi wengine waliishi Yuda wengine Benyamini.
A spośród Lewitów [mieszkali niektórzy] w działach Judy i Beniamina.