< Nehemia 11 >
1 Viongozi wa watu waliishi Yerusalemu, na watu wengine walipiga kura ili kuleta mmoja kati ya watu kumi kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, na wengine tisa walibakia katika miji mingine.
Nagnaed idiay Jerusalem dagiti pangulo dagiti tattao, ket nagbibinnunot dagiti nabati a tattao tapno pilienda ti maysa a pamilia iti tunggal sangapulo a pamilia nga agnaed idiay Jerusalem, ti nasatoan a siudad, ket nagtalinaed dagiti siam kadagiti dadduma nga ili.
2 Na watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari kuishi Yerusalemu.
Ket binendisionan dagiti tattao dagiti amin a nagdisnudo nga agnaed idiay Jerusalem.
3 Hawa ndio viongozi wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu. Hata hivyo, katika miji ya Yuda kila mtu aliishi katika nchi yake mwenyewe, ikiwa ni pamoja na Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa hekalu, na wazao wa watumishi wa Sulemani.
Dagitoy dagiti opisial ti probinsia a nagnaed idiay Jerusalem. Nupay kasta, nagnaed dagiti tattao iti bukodda a daga idiay Juda, agraman dagiti dadduma nga Israelita, dagiti papadi, dagiti Levita, dagiti agserserbi iti templo, ken dagiti kaputotan dagiti adipen ni Solomon.
4 Katika Yerusalemu waliishi baadhi ya wana wa Yuda na baadhi ya wana wa Benyamini. Watu wa Yuda walikuwa pamoja na Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Peresi.
Nagnaed idiay Jerusalem dagiti dadduma a kaputotan ni Juda ken dadduma a kaputotan ni Bejamin. Dagiti tattao manipud iti Juda agraman da: Ataias a putot ni Uzzias a putot ni Zacarias a putot ni Amarias a putot ni Sefatias a putot ni Mahalalel, a kaputotan ni Perez.
5 Na Maaseya, mwana wa Baruki, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zakaria, mwana wa Mshelani, alikuwa mwana wa Baruki.
Ken adda idiay ni Maaseias a putot ni Baruc a putot ni Colhoze a putot ni Hazaias a putot ni Adaias a putot ni Joyarib a putot ni Zacarias, a putot ti Silonita.
6 Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa.
Amin nga annak ni Perez a nagnaed idiay Jerusalem ket 468. Nalalatakda a lallaki.
7 Hao ndio wana wa Benyamini, Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yehaya.
Dagitoy ket nagtaud iti kaputotan ni Benjamin: Ni Sallu a putot ni Mesullam a putot ni Joed a putot ni Pedaias a putot ni Kolaias a putot ni Maaseias a putot ni Itiel a putot ni Jesaias.
8 Na baada yake, Gabai na Salai, watu 928.
Ken simmaruno kenkuana, da Gabbai ken Sallai, aminda ket 928 a lallaki.
9 Yoeli mwana wa Zikri alikuwa mwangalizi wao; na Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili juu ya mji.
Ni Joel a putot ni Zikri ti panguloda kadakuada, ken ni Juda a putot ni Hassenua ti maikadua a mangidadaulo iti entero a siudad.
10 Kutoka kwa makuhani Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
Manipud kadagiti padi: Ni Jedaias nga anak ni Joyarib, Jakin,
11 Seraya mwana wa Hilikia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayoti, mwana wa Ahitubu, mkuu wa nyumba ya Mungu,
ni Seraias a putot ni Hilkias a putot ni Mesullam a putot ni Zadok a putot ni Merayot a putot ni Ahitub, a mangiturturay iti balay ti Dios,
12 na wenzake waliofanya kazi ya ukoo, watu 822. na Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amzi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya.
ken dagiti katulonganda a mangar-aramid iti trabaho dagiti tribu, 822 a lallaki karaman ni Adaias a putot ni Jeroham a putot ni Pelalias a putot ni Amzi a putot ni Zecarias a putot Pashur a putot ni Malkija.
13 Nao walikuwa washirika wake waliokuwa wakuu wa jamaa, wanaume 242, na Maasai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri;
Ken adda katulonganna a 242 a lallaki a mangidadaulo kadagiti pamilia, ken ni Amasai a putot ni Azarel a putot ni Azai a putot Mesillemot a putot ni Immer,
14 na ndugu zao, 128 wapiganaji wenye ujasiri, wenye ujasiri; Waziri wao aliyeongoza alikuwa Zabdieli, mwana wa Hageoli.
ken dagiti kakabsatda a natutured a makirangranget, 128 ti bilangda; ti mangidadaulo kadakuada ket ni Zabdiel a putot ni Haggedolim.
15 Na Walawi Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni,
Ken dagiti naggapu kadagiti Levita: Ni Semaias a putot ni Hassub a putot ni Azrikam a putot ni Hasabias a putot ni Bunni,
16 na Shabethai, na Yozabadi, ambao walikuwa ni viongozi wa Walawi, waliosimamia kazi za nje ya nyumba ya Mungu.
ken da Sabbetai ken Josabad, a nagtaud kadagiti pangulo dagiti Levita a nadutokan nga agtrabaho iti ruar ti balay ti Dios.
17 Alikuwepo Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zakri, mwana wa Asafu, aliyekuwa mkurugenzi aliyeanza shukrani kwa sala, na Bakbukia, wa pili miongoni mwa ndugu zake, na Abda mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
Ni Mattanias a putot ni Mica a putot ni Zabdi, a kaputotan ni Asaf, ti nangidaulo iti panagyaman babaen iti kararag, ken ni Bakbukias, ti maikadua kadagiti katulonganna, ken ni Abda a putot ni Sammua a putot ni Galal a putot ni Jedutun.
18 Katika mji wote mtakatifu walikuwa Walawi 284.
Amin a Levita nga adda iti nasantoan a siudad ket 284.
19 Walinzi wa malango Akubu, Talmoni, na washirika wao, ambao waliolinda milango, wanaume 172.
Dagiti guardia ti ruangan: da Akkub, Talmon, ken dagiti katulonganda a mangbanbantay kadagiti ruangan, 172 a lallaki.
20 Na wale waliosalia wa Israeli, na makuhani, na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda. Kila mtu aliishi katika milki yake mwenyewe.
Ken dagiti nabati nga Israelita, dagiti padi ken dagiti Levita ket adda kadagiti amin nga il-ili ti Juda. Nagnaed ti tunggal maysa iti bukodna a tawid a daga.
21 Wafanyakazi wa hekalu waliishi Ofeli, na Siha na Gishpa walikuwa wakiwaongoza.
Nagnaed idiay Ofel dagiti trabahador ti templo, ket da Siha ken Gispa ti mangidadaulo kadakuada.
22 Mtawala mkuu juu ya Walawi waliokuwa wakitumikia Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, ambao walikuwa waimbaji wa kazi katika nyumba ya Mungu.
Ti kapitan dagiti Levita nga agserserbi idiay Jerusalem ket ni Uzzi a putot ni Bani a putot ni Hasabaias a putot ni Mattanias a putot ni Mica, a nagtaud kadagiti kaputotan ni Asaf a kumakanta a mangidadaulo iti trabaho iti balay ti Dios.
23 Walikuwa chini ya maagizo kutoka kwa mfalme na maagizo imara yalitolewa kwa waimbaji kila siku inavyohitajika.
Binilin ida ti ari ket mait-ited ti nainget a bilin kadagiti kumakanta iti inaldaw.
24 Pethahia mwana wa Meshezabeli, mwana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa upande wa mfalme kwa habari zote za watu.
Ken ni Petahias a putot ni Mesezabel, a kaputotan ni Zera a putot ni Juda, ket adda a kanayon iti abay ti ari iti amin a banag maipapan kadagiti tattao.
25 Kuhusu vijiji na mashamba yao, baadhi ya watu wa Yuda wakakaa Kiriath-arba, na vijiji vyake, na Diboni, na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake.
No maipapan kadagiti barrio ken kadagiti talonda, nagnaed dagiti dadduma a tattao ti Juda idiay Kiriat Arba ken kadagiti barrio daytoy, idiay Dibon ken kadagiti barrio daytoy, ken idiay Jekabseel ken kadagiti bario daytoy.
26 Wakaishi katika Yeshua, Molada, Beth-Peleti,
Nagnaedda pay idiay Jesua, Molada, Bet Pelet,
27 Hazar-Shuali, Beersheba na vijiji vyake.
Hazarsual, ken Beerseba ken kadagiti barrio daytoy.
28 Nao wakakaa Siklagi, na Mekona, na vijiji vyake,
Ket nagnaedda idiay Siklag, Mecona ken kadagiti bario daytoy,
29 Enrimoni, Sora, Yarmuthi,
Enrimmon, Zora, Jarmut,
30 Zanoa, Adulamu, na vijiji vyake, na Lakishi, na mashamba yake, na Azeka, na vijiji vyake. Basi wakakaa kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
Zanoa, Adullam ken kadagiti barioda, idiay Lakis kadagiti talonna ken idiay Azeka ken kadagiti bariona. Nagnaedda ngarud manipud Beerseba agingga iti tanap ti Hinnom.
31 Watu wa Benyamini pia walikuwa wakiishi kutoka Geba, kwenda Mikmashi na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake.
Nagnaed met dagiti tattao a nataud iti Benjamin idiay Geba, Mikmas, Aija, ken idiay Betel ken kadagiti bariona.
32 Waliishi Anathothi, Nobu, Anania,
Nagnaedda pay idiay Anatot, Nob, Ananias,
33 Hazori, Rama, Gitaimu,
Hasor, Rama, Gittaim,
34 Hadidi, Seboimu, Nebalati,
Hadad, Zeboim, Neballat,
35 Lodi, na Ono, bonde la wafundi.
Lod, ken Ono, ti tanap dagiti agparpartuat.
36 Walawi wengine waliishi Yuda wengine Benyamini.
Dagiti dadduma a Levita a nagnaed idiay Juda ket naibaon a makipagnaed kadagiti tattao ti Benjamin.