< Nehemia 11 >
1 Viongozi wa watu waliishi Yerusalemu, na watu wengine walipiga kura ili kuleta mmoja kati ya watu kumi kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, na wengine tisa walibakia katika miji mingine.
And they dwelt [the] leaders of the people in Jerusalem and [the] rest of the people they cast lots to bring - one of the ten to dwell in Jerusalem [the] city of holiness and nine the hands [were] in the cities.
2 Na watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari kuishi Yerusalemu.
And they blessed the people all the men who volunteered to dwell in Jerusalem.
3 Hawa ndio viongozi wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu. Hata hivyo, katika miji ya Yuda kila mtu aliishi katika nchi yake mwenyewe, ikiwa ni pamoja na Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa hekalu, na wazao wa watumishi wa Sulemani.
And these [are] [the] leaders of the province who they dwelt in Jerusalem and in [the] cities of Judah they dwelt each one on own property his in own cities their Israel the priests and the Levites and the temple servants and [the] descendants of [the] servants of Solomon.
4 Katika Yerusalemu waliishi baadhi ya wana wa Yuda na baadhi ya wana wa Benyamini. Watu wa Yuda walikuwa pamoja na Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Peresi.
And in Jerusalem they dwelt some of [the] descendants of Judah and some of [the] descendants of Benjamin of [the] descendants of Judah Athaiah [the] son of Uzziah [the] son of Zechariah [the] son of Amariah [the] son of Shephatiah [the] son of Mahalalel of [the] descendants of Perez.
5 Na Maaseya, mwana wa Baruki, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zakaria, mwana wa Mshelani, alikuwa mwana wa Baruki.
And Maaseiah [the] son of Baruch [the] son of Col-Hozeh [the] son of Hazaiah [the] son of Adaiah [the] son of Joiarib [the] son of Zechariah [the] son of the Shilonite.
6 Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa.
All [the] descendants of Perez who were dwelling in Jerusalem four hundred sixty and eight men of strength.
7 Hao ndio wana wa Benyamini, Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yehaya.
And these [are] [the] descendants of Benjamin Sallu [the] son of Meshullam [the] son of Joed [the] son of Pedaiah [the] son of Kolaiah [the] son of Maaseiah [the] son of Ithiel [the] son of Jeshaiah.
8 Na baada yake, Gabai na Salai, watu 928.
And after him Gabbai Sallai nine hundred twenty and eight.
9 Yoeli mwana wa Zikri alikuwa mwangalizi wao; na Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili juu ya mji.
And Joel [the] son of Zikri [was] overseer over them and Judah [the] son of Senaah over the city [was] second in command.
10 Kutoka kwa makuhani Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
Of the priests Jedaiah [the] son of Joiarib Jakin.
11 Seraya mwana wa Hilikia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayoti, mwana wa Ahitubu, mkuu wa nyumba ya Mungu,
Seraiah [the] son of Hilkiah [the] son of Meshullam [the] son of Zadok [the] son of Meraioth [the] son of Ahitub [the] supervisor of [the] house of God.
12 na wenzake waliofanya kazi ya ukoo, watu 822. na Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amzi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya.
And brothers their [who] did the work of the house eight hundred twenty and two and Adaiah [the] son of Jeroham [the] son of Pelaliah [the] son of Amzi [the] son of Zechariah [the] son of Pashhur [the] son of Malkijah.
13 Nao walikuwa washirika wake waliokuwa wakuu wa jamaa, wanaume 242, na Maasai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri;
And brothers his leaders of fathers two hundred forty and two and Amashsai [the] son of Azarel [the] son of Ahzai [the] son of Meshillemoth [the] son of Immer.
14 na ndugu zao, 128 wapiganaji wenye ujasiri, wenye ujasiri; Waziri wao aliyeongoza alikuwa Zabdieli, mwana wa Hageoli.
And brothers their mighty [men] of strength one hundred twenty and eight and [was] overseer over them Zabdiel [the] son of (Haggedolim. *L(F)*)
15 Na Walawi Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni,
And of the Levites Shemaiah [the] son of Hasshub [the] son of Azrikam [the] son of Hashabiah [the] son of Bunni.
16 na Shabethai, na Yozabadi, ambao walikuwa ni viongozi wa Walawi, waliosimamia kazi za nje ya nyumba ya Mungu.
And Shabbethai and Jozabad over the work external of [the] house of God [were] of [the] leaders of the Levites.
17 Alikuwepo Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zakri, mwana wa Asafu, aliyekuwa mkurugenzi aliyeanza shukrani kwa sala, na Bakbukia, wa pili miongoni mwa ndugu zake, na Abda mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
And Mattaniah [the] son of Micah [the] son of Zabdi [the] son of Asaph [the] leader of the beginning he gave thanks to the prayer and Bakbukiah [the] second from brothers his and Abda [the] son of Shammua [the] son of Galal [the] son of (Jeduthun. *Q(K)*)
18 Katika mji wote mtakatifu walikuwa Walawi 284.
All the Levites in [the] city of holiness two hundred eighty and four.
19 Walinzi wa malango Akubu, Talmoni, na washirika wao, ambao waliolinda milango, wanaume 172.
And the gatekeepers Akkub Talmon and brothers their who kept watch at the gates one hundred seventy and two.
20 Na wale waliosalia wa Israeli, na makuhani, na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda. Kila mtu aliishi katika milki yake mwenyewe.
And [the] rest of Israel the priests the Levites [were] in all [the] cities of Judah each one on own inheritance his.
21 Wafanyakazi wa hekalu waliishi Ofeli, na Siha na Gishpa walikuwa wakiwaongoza.
And the temple servants [were] dwelling on Ophel and Ziha and Gishpa [were] over the temple servants.
22 Mtawala mkuu juu ya Walawi waliokuwa wakitumikia Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, ambao walikuwa waimbaji wa kazi katika nyumba ya Mungu.
And [the] overseer of the Levites in Jerusalem [was] Uzzi [the] son of Bani [the] son of Hashabiah [the] son of Mattaniah [the] son of Mica one of [the] descendants of Asaph the singers to before [the] work of [the] house of God.
23 Walikuwa chini ya maagizo kutoka kwa mfalme na maagizo imara yalitolewa kwa waimbaji kila siku inavyohitajika.
For [the] commandment of the king [was] on them and a firm ordinance [was] on the singers [the] matter of a day in day its.
24 Pethahia mwana wa Meshezabeli, mwana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa upande wa mfalme kwa habari zote za watu.
And Pethahiah [the] son of Meshezabel one of [the] descendants of Zerah [the] son of Judah [was] to [the] side of the king to every matter of the people.
25 Kuhusu vijiji na mashamba yao, baadhi ya watu wa Yuda wakakaa Kiriath-arba, na vijiji vyake, na Diboni, na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake.
And to the villages with fields their some of [the] people of Judah they dwelt in Kiriath Arba and daughters its and in Dibon and daughters its and in Jekabzeel and villages its.
26 Wakaishi katika Yeshua, Molada, Beth-Peleti,
And in Jeshua and in Moladah and in Beth Pelet.
27 Hazar-Shuali, Beersheba na vijiji vyake.
And in Hazar Shual and in Beer Sheba and daughters its.
28 Nao wakakaa Siklagi, na Mekona, na vijiji vyake,
And in Ziklag and in Meconah and in daughters its.
29 Enrimoni, Sora, Yarmuthi,
And in En Rimmon and in Zorah and in Jarmuth.
30 Zanoa, Adulamu, na vijiji vyake, na Lakishi, na mashamba yake, na Azeka, na vijiji vyake. Basi wakakaa kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
Zanoah Adullam and villages their Lachish and fields its Azekah and daughters its and they encamped from Beer Sheba to [the] valley of [Ben] Hinnom.
31 Watu wa Benyamini pia walikuwa wakiishi kutoka Geba, kwenda Mikmashi na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake.
And [the] descendants of Benjamin [were] from Geba Micmash and Aija and Beth-el and daughters its.
32 Waliishi Anathothi, Nobu, Anania,
Anathoth Nob Ananiah.
33 Hazori, Rama, Gitaimu,
Hazor - Ramah Gittaim.
34 Hadidi, Seboimu, Nebalati,
Hadid Zeboim Neballat.
35 Lodi, na Ono, bonde la wafundi.
Lod and Ono valley of the craftsmen.
36 Walawi wengine waliishi Yuda wengine Benyamini.
And some of the Levites [the] divisions of Judah [belonged] to Benjamin.