< Nehemia 11 >

1 Viongozi wa watu waliishi Yerusalemu, na watu wengine walipiga kura ili kuleta mmoja kati ya watu kumi kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, na wengine tisa walibakia katika miji mingine.
Hatnavah taminaw koe bawi thaw katawknaw teh Jerusalem vah ao awh. Alouke taminaw teh kathounge hmuen, Jerusalem vah hra touh dawk buet touh, hahoi alouke khonaw dawk tako touh o hanelah cungpam a rayu awh.
2 Na watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari kuishi Yerusalemu.
Hahoi Jerusalem kaawm hane naw hah taminaw ni yawhawi a poe awh.
3 Hawa ndio viongozi wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu. Hata hivyo, katika miji ya Yuda kila mtu aliishi katika nchi yake mwenyewe, ikiwa ni pamoja na Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa hekalu, na wazao wa watumishi wa Sulemani.
Hetnaw teh, ram uk hanelah Jerusalem vah kaawm e naw doeh. (Hateiteh Judah kho e naw teh a hnopai onae kho dawk ao awh. Ahnimanaw teh Isarel tami vaihma Levih tami hoi Nethinim tami hoi Solomon e a sannaw doeh).
4 Katika Yerusalemu waliishi baadhi ya wana wa Yuda na baadhi ya wana wa Benyamini. Watu wa Yuda walikuwa pamoja na Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Peresi.
Jerusalem vah Judah catounnaw hoi Benjamin catounnaw ao awh. Judah catounnaw teh: Uzziah capa Athaiah, Zekhariah capa, Amariah capa, Shephatiah, capa Mahalalel capa, Perez capanaw hoi,
5 Na Maaseya, mwana wa Baruki, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zakaria, mwana wa Mshelani, alikuwa mwana wa Baruki.
Baruk capa Maaseiah, Kolhozeh capa, Hazaiah capa, Adaiah capa, Joiarib capa, Zekhariah capa, Shilon capanaw doeh.
6 Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa.
Perez canaw Jerusalem kaawm e abuemlah 468 touh a pha.
7 Hao ndio wana wa Benyamini, Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yehaya.
Benjamin canaw teh hetnaw doeh: Meshullam capa Sallu, Joed capa, Pedaiah capa, Kolaiah capa, Maaseiah capa, Ithiel capa, Jeshaiah capa,
8 Na baada yake, Gabai na Salai, watu 928.
hahoi Gabbai hoi Sallai abuemlahoi 928 touh a pha awh.
9 Yoeli mwana wa Zikri alikuwa mwangalizi wao; na Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili juu ya mji.
Zikhri capa Joel teh ahnimouh kahrawikung lah ao. Hassenuah capa Judah teh kho ukkung lah ao.
10 Kutoka kwa makuhani Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
Vaihmanaw thung hoi Joiarib capa Jedaiah hoi Jakhin,
11 Seraya mwana wa Hilikia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayoti, mwana wa Ahitubu, mkuu wa nyumba ya Mungu,
Hilkiah capa Seraiah, Meshullam capa, Zadok capa Meraioth capa, Ahitub capanaw teh Cathut e imthung kahrawikung lah ao awh.
12 na wenzake waliofanya kazi ya ukoo, watu 822. na Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amzi, ​​mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya.
Im dawk thaw ka tawk e hmaunawngha abuemlah 822 touh a pha. Hahoi Jeroham capa Adaiah, Pelaliah capa, Amzi capa, Zekhariah capa, Pashhur capa, Malkhijah capa hoi,
13 Nao walikuwa washirika wake waliokuwa wakuu wa jamaa, wanaume 242, na Maasai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri;
A hmaunawngha kahrawikungnaw teh 242 touh a pha. Hahoi Azarel capa Amashai, Ahzai ca catoun Meshillemoth capa Immer capanaw hoi,
14 na ndugu zao, 128 wapiganaji wenye ujasiri, wenye ujasiri; Waziri wao aliyeongoza alikuwa Zabdieli, mwana wa Hageoli.
A hmaunawnghanaw tarankahawi ni teh athakaawme taminaw 128 touh a pha awh. Ahnimouh kahrawikung teh Haggedolim capa Zabdiel doeh.
15 Na Walawi Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni,
Hahoi Levih imthungnaw teh: Hasshub capa Shemaiah, Azrikam capa, Hashabiah capa, Bunni capa,
16 na Shabethai, na Yozabadi, ambao walikuwa ni viongozi wa Walawi, waliosimamia kazi za nje ya nyumba ya Mungu.
Levih tami kahrawikungnaw thung dawk hoi Cathut im alawilae thaw kakhenkung teh Shabbethai hoi Jozabad doeh.
17 Alikuwepo Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zakri, mwana wa Asafu, aliyekuwa mkurugenzi aliyeanza shukrani kwa sala, na Bakbukia, wa pili miongoni mwa ndugu zake, na Abda mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
Mikha capa Mattaniah, Zabdi capa, Asaph capa ratoumnae dawk lunghawilawkdeinae ka dei e Mattaniah. Hahoi, a hmaunawngha thung hoi Bakbukiah hoi Jeduthun capa Galal, Galal capa Shammua, Shammua capa Abda tinaw doeh.
18 Katika mji wote mtakatifu walikuwa Walawi 284.
Kathounge kho dawk kaawm e Levih miphun abuemlah 284 a pha.
19 Walinzi wa malango Akubu, Talmoni, na washirika wao, ambao waliolinda milango, wanaume 172.
Hathloilah, longkha karingkung Akub, hoi Talmon hoi hmaunawngha rapan longkha karingkungnaw 172 touh a pha awh.
20 Na wale waliosalia wa Israeli, na makuhani, na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda. Kila mtu aliishi katika milki yake mwenyewe.
Kacawie Isarelnaw, vaihmanaw hoi Levihnaw teh, Judah ram kho tangkuem amamae thaw dawk lengkaleng ao awh.
21 Wafanyakazi wa hekalu waliishi Ofeli, na Siha na Gishpa walikuwa wakiwaongoza.
Hatei, Nethinim taminaw teh Ophel vah ao awh. Ziha hoi Gispha teh Nethinim taminaw kahrawikung lah ao roi.
22 Mtawala mkuu juu ya Walawi waliokuwa wakitumikia Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, ambao walikuwa waimbaji wa kazi katika nyumba ya Mungu.
Jerusalem kaawm e Levihnaw kahrawikung Asaph capa, la kasaknaw thung dawk hoi Mika, Mika capa Mattaniah, Mattaniah capa Hasabiah, Hasabiah capa Bani, Bani capa Uzziah tinaw doeh. Cathut e im e thaw tawknae dawk lawk katâtuengkung lah ao awh.
23 Walikuwa chini ya maagizo kutoka kwa mfalme na maagizo imara yalitolewa kwa waimbaji kila siku inavyohitajika.
Bangkongtetpawiteh, ahnimouh dawk siangpahrang ni kâlawk poe e ao. Lakasaknaw hnintangkuem rawca poe han telah atipouh.
24 Pethahia mwana wa Meshezabeli, mwana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa upande wa mfalme kwa habari zote za watu.
Judah ca catoun hoi Zerah ca catoun thung hoi Meshezabel capa Pethahiah teh, taminaw hoi hno puengpa e lathueng vah siangpahrang e a yueng lah ukkung lah ao.
25 Kuhusu vijiji na mashamba yao, baadhi ya watu wa Yuda wakakaa Kiriath-arba, na vijiji vyake, na Diboni, na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake.
Hahoi kho hoi ram dawkvah, Judah ca catoun tangawn teh, Kiriath Arba khote hoi Didon khote, Jekabzeel khote,
26 Wakaishi katika Yeshua, Molada, Beth-Peleti,
Jeshua, Moladah, Bethpelet;
27 Hazar-Shuali, Beersheba na vijiji vyake.
Hazarshual hoi Beersheba khote,
28 Nao wakakaa Siklagi, na Mekona, na vijiji vyake,
Ziklag hoi Mekonah hoi khote,
29 Enrimoni, Sora, Yarmuthi,
Enrimmon, Zorah, Jarmuth,
30 Zanoa, Adulamu, na vijiji vyake, na Lakishi, na mashamba yake, na Azeka, na vijiji vyake. Basi wakakaa kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
Zanoah, Adullam hoi khotenaw hoi Lakhish hoi ram, Azekah hoi khotenaw dawk ao awh.
31 Watu wa Benyamini pia walikuwa wakiishi kutoka Geba, kwenda Mikmashi na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake.
Benjamin ca catounnaw hoi Geba im Mikmas vah kho a sak awh. Hahoi, Ai hoi Bethel khotenaw teh,
32 Waliishi Anathothi, Nobu, Anania,
Anathoth, Nob, Ananiah,
33 Hazori, Rama, Gitaimu,
Hazar, Ramah, Gittaim,
34 Hadidi, Seboimu, Nebalati,
Hadid, Zeboiim, Neballat,
35 Lodi, na Ono, bonde la wafundi.
Lod hoi Ono hoi kutsakkathoumnaw e ayawn dawk ao awh.
36 Walawi wengine waliishi Yuda wengine Benyamini.
Hahoi Judah ram ouk kaawm e Levih tami tangawn teh, Benjamin ram dawk ao awh.

< Nehemia 11 >