< Nehemia 10 >
1 Wale ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa walikuwa Nehemia mwana wa Hakalia gavana, na makuhani waliowekwa walikuwa Sedekia,
И в печатлеющих быша сии: Неемиа Артасаста сын Ахалиев и Седекиа
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
сын Араиев, и Азариа и Иеремиа,
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Фасур, Амариа, Мелхиа,
4 Hamshi, Shekania, Maluki,
Аттус, Севаниа, Маллух,
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Ирам, Мерамоф, Авдиа,
6 Danieli, Ginethoni, Baruki,
Даниил, Ганафон, Варух,
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Месуллам, Авиа, Миамин,
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa walikuwa makuhani.
Маазиа, Велгаи, Самаиа: сии священницы.
9 Walawi walikuwa Yeshua mwana wa Azania, Binui wa jamaa ya Henadadi, Kadmieli,
Левити же: Иисус сын Азариин, Ваней от сынов Инададовых, Кадмиил
10 na Walawi wenzake, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
и братия его Саваниа, Одуиа, Калитан, Фелиа, Анан,
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Миха, Роов, Асевиа,
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Закхор, Саравиа, Севаниа,
13 Hodiya, Bani na Beninu.
Одуа, сынове Вануини.
14 Viongozi wa watu walikuwa Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
Началницы людий: Форос, Фааф-Моав, Илам, Зафуиа,
сынове Ванниины Азгад, Вивай,
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Ананиа, Вагой, Идин,
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Атир, Езекиа, Азур,
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Одувиа, Исам, Висий,
19 Harifu, Anathothi, Nobai,
Ариф, Анафоф, Новай,
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Мегафис, Месуллам, Изир,
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Месозевил, Садук, Иеддуа,
22 Pelatia, Hanani, AnaYA,
Фалтиа, Анан, Анаиа,
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Осиа, Ананиа, Асув,
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Адой, Фалаа, Совик,
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Раум, Ессавана, Маасиа
27 Maluki, Harimu na Baana.
Малух, Ирам, Ваана.
28 Na watu wengine waliokuwa makuhani, na Walawi, na walinzi wa malango, na waimbaji, na watumishi wa hekalu, na wote waliokuwa wamejitenga wenyewe na watu wa nchi za jirani, kwa sheria ya Mungu, na wanawake zao, na wana wao, na Binti zao, wote walio na ujuzi na ufahamu,
И прочии от людий, священницы, левити, дверницы, певцы, нафиними и всяк приходяй от людий земских ко закону Божию, жены их, сынове их, дщери их, всяк ведяй и разумеяй,
29 walijiunga na ndugu zao, wakuu wao, na kujifunga katika laana na kiapo cha kutembea katika sheria ya Mungu, iliyotolewa na Musa mtumishi wa Mungu, na kuzingatia na kutii amri zote za Bwana Mungu wetu na hukumu zake na sheria zake.
укрепляхуся над братиею своею, и заклинаша их, и внидоша в клятву и в роту, еже ходити в законе Божии, иже дан есть рукою Моисеа раба Божия, да сотворят и сохранят вся заповеди Господни и судбы Его и повеления Его,
30 Tuliahidi kuwa hatuwezi kuwapa binti zetu watu wa nchi au kuchukua binti zao kwa wana wetu.
и еже не дати дщерей наших людем земским, и дщерей их не возмем сыновом нашым:
31 Pia tuliahidi kwamba ikiwa watu wa nchi wataleta bidhaa au nafaka yoyote ya kuuza siku ya Sabato, hatuwezi kununua kutoka kwao siku ya Sabato au siku yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba tutaacha mashamba yetu kupumzika, na tutafuta madeni yote yaliyotokana na Wayahudi wengine.
людие же земли носящии продаемая и вся купуемая во дни субботы продавати, не купим от них в субботы, ни в день святый: и оставим лето седмое, и даяние всех рук.
32 Tulikubali amri za kutoa shilingi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu wetu,
И поставим над нами заповедь даяти нам третию часть дидрахмы на лето, на дело дому Бога нашего,
33 kutoa mkate wa uwepo, na sadaka ya nafaka ya kawaida, sadaka za kuteketezwa siku za Sabato, sikukuu mpya za mwezi na sikukuu za kuteketezwa, na sadaka takatifu, na sadaka za dhambi za kufanya upatanisho kwa Israeli, pamoja na kazi yote ya nyumba ya Mungu wetu.
на хлебы предложения и на жертвы повседневныя, и во всесожжение присное суббот, новомесячий, в праздники и во святая, и яже о гресех, помолитися за Израиля, и на дела дому Бога нашего.
34 Na makuhani, Walawi, na watu wakapiga kura kwa ajili ya sadaka ya kuni. Kura ilichagua ni nani wa familia zetu ataleta kuni ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati zilizowekwa kila mwaka. Kuni hizo zilichomwa juu ya madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika sheria.
И жребий метнухом о ношении древес, священницы и левити и людие, носити в дом Бога нашего, по домом отечеств наших, от времене до времене, от лета до лета возжигати на олтари Господу Богу нашему, якоже писано есть в законе,
35 Tuliahidi kuleta nyumbani kwa Bwana matunda ya kwanza yaliyotokana na udongo wetu, na matunda ya kwanza ya mti kila mwaka.
и приносити первородная земли нашея и первородная плода всякаго древа, от лета до лета, в дом Господень,
36 Na kama ilivyoandikwa katika sheria, tuliahidi kuleta nyumbani kwa Mungu na kwa makuhani watumikao hapo wazaliwa wa kwanza wa wana wetu ma wanyama wetu.
и первенцы сынов наших и скотов наших, якоже писано есть в законе, и первенцы волов наших и стад наших приносити в дом Бога нашего, священником служащым в дому Бога нашего:
37 Tutaleta unga wa kwanza na sadaka zetu za nafaka, na matunda ya kila mti, na divai mpya na mafuta tutaleta kwa makuhani, kwenye vyumba vya kuhifadhi vya nyumba ya Mungu wetu. Tutawaletea Walawi sehemu ya kumi kutoka kwenye udongo wetu kwa sababu Walawi hukusanya zaka katika miji yote tunayofanya kazi.
и начатки жит наших и плод всякаго древа, вина и елеа, приносити будем священником в сокровище дому Божия, и десятину земли нашея левитом, и тии левити десятину приемлют во всех градех дел наших.
38 Kuhani, mzao wa Haruni, lazima awe na Walawi wakati wanapopokea zaka. Walawi wanapaswa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu kwenye vyumba vya kuhifadhi hazima.
Будет же священник сын Ааронов с левиты в десятинах левитов, и левити имут приносити десятую часть десятины в дом Бога нашего в сокровище дому Божия,
39 Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Lawi, wataleta sadaka za nafaka, divai mpya, na mafuta katika vyumba vya kuhifadhi ambapo vitu vya patakatifu vinasimamishwa, na mahali pa makuhani watumishi, na walinzi wa mlango, na waimbaji. Hatuwezi kuacha nyumba ya Mungu wetu.
яко в сокровища принесут сынове Израилевы и сынове левитстии начатки пшеницы и вина и елеа, и тамо (будут) сосуди святии, и священницы и служителие и дверницы и певцы, и не оставим дому Бога нашего.