< Nehemia 10 >

1 Wale ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa walikuwa Nehemia mwana wa Hakalia gavana, na makuhani waliowekwa walikuwa Sedekia,
و کسانی که آن را مهر کردند اینانند: نحمیای ترشاتا ابن حکلیا و صدقیا.۱
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
وسرایا و عزریا و ارمیا.۲
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
و فشحور و امریا و ملکیا.۳
4 Hamshi, Shekania, Maluki,
و حطوش و شبنیا و ملوک.۴
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
و حاریم ومریموت و عوبدیا.۵
6 Danieli, Ginethoni, Baruki,
و دانیال و جنتون و باروک.۶
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
و مشلام و ابیا و میامین.۷
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa walikuwa makuhani.
و معزیا و بلجای وشمعیا، اینها کاهنان بودند.۸
9 Walawi walikuwa Yeshua mwana wa Azania, Binui wa jamaa ya Henadadi, Kadmieli,
و اما لاویان: یشوع بن ازنیا و بنوی از پسران حیناداد و قدمیئیل.۹
10 na Walawi wenzake, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
وبرادران ایشان شبنیا و هودیا و قلیطا و فلایا وحانان.۱۰
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
و میخا و رحوب و حشبیا.۱۱
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
و زکور وشربیا و شبنیا.۱۲
13 Hodiya, Bani na Beninu.
و هودیا و بانی و بنینو.۱۳
14 Viongozi wa watu walikuwa Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
وسروران قوم فرعوش و فحت موآب و عیلام وزتو و بانی.۱۴
15 Buni, Azgadi, Bebai,
و بنی و عزجد و بابای.۱۵
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
و ادونیا وبغوای و عودین.۱۶
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
و عاطیر و حزقیا و عزور.۱۷
18 Hodia, Hashumu, Besai,
وهودیا و حاشوم و بیصای.۱۸
19 Harifu, Anathothi, Nobai,
و حاریف وعناتوت و نیبای.۱۹
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
و مجفیعاش و مشلام وحزیر.۲۰
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
و مشیزبئیل و صادوق و یدوع.۲۱
22 Pelatia, Hanani, AnaYA,
وفلطیا و حانان و عنایا.۲۲
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
و هوشع و حننیا وحشوب.۲۳
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
و هلوحیش و فلحا و شوبیق.۲۴
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
ورحوم و حشبنا و معسیا.۲۵
26 Ahia, Hanani, Anani,
و اخیا و حانان وعانان.۲۶
27 Maluki, Harimu na Baana.
و ملوک و حاریم و بعنه.۲۷
28 Na watu wengine waliokuwa makuhani, na Walawi, na walinzi wa malango, na waimbaji, na watumishi wa hekalu, na wote waliokuwa wamejitenga wenyewe na watu wa nchi za jirani, kwa sheria ya Mungu, na wanawake zao, na wana wao, na Binti zao, wote walio na ujuzi na ufahamu,
«و سایر قوم و کاهنان و لاویان و دربانان ومغنیان و نتینیم و همه کسانی که خویشتن را ازاهالی کشورها به تورات خدا جدا ساخته بودند با زنان و پسران و دختران خود و همه صاحبان معرفت و فطانت،۲۸
29 walijiunga na ndugu zao, wakuu wao, na kujifunga katika laana na kiapo cha kutembea katika sheria ya Mungu, iliyotolewa na Musa mtumishi wa Mungu, na kuzingatia na kutii amri zote za Bwana Mungu wetu na hukumu zake na sheria zake.
به برادران و بزرگان خویش ملصق شدند و لعنت و قسم بر خود نهادند که به تورات خدا که به واسطه موسی بنده خدا داده شده بود، سلوک نمایند و تمامی اوامر یهوه خداوند ما و احکام و فرایض او را نگاه دارند و به عمل آورند.۲۹
30 Tuliahidi kuwa hatuwezi kuwapa binti zetu watu wa nchi au kuchukua binti zao kwa wana wetu.
و اینکه دختران خود را به اهل زمین ندهیم و دختران ایشان را برای پسران خودنگیریم.۳۰
31 Pia tuliahidi kwamba ikiwa watu wa nchi wataleta bidhaa au nafaka yoyote ya kuuza siku ya Sabato, hatuwezi kununua kutoka kwao siku ya Sabato au siku yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba tutaacha mashamba yetu kupumzika, na tutafuta madeni yote yaliyotokana na Wayahudi wengine.
و اگر اهل زمین در روز سبت، متاع یاهر گونه آذوقه به جهت فروختن بیاورند، آنها را ازایشان در روزهای سبت و روزهای مقدس نخریم و (حاصل ) سال هفتمین و مطالبه هر قرض راترک نماییم.۳۱
32 Tulikubali amri za kutoa shilingi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu wetu,
و بر خود فرایض قرار دادیم که یک ثلث مثقال در هر سال، بر خویشتن لازم دانیم به جهت خدمت خانه خدای ما.۳۲
33 kutoa mkate wa uwepo, na sadaka ya nafaka ya kawaida, sadaka za kuteketezwa siku za Sabato, sikukuu mpya za mwezi na sikukuu za kuteketezwa, na sadaka takatifu, na sadaka za dhambi za kufanya upatanisho kwa Israeli, pamoja na kazi yote ya nyumba ya Mungu wetu.
برای نان تقدمه و هدیه آردی دایمی و قربانی سوختنی دایمی در سبت‌ها و هلالها و مواسم و به جهت موقوفات و قربانی های گناه تا کفاره به جهت اسرائیل بشود و برای تمامی کارهای خانه خدای ما.۳۳
34 Na makuhani, Walawi, na watu wakapiga kura kwa ajili ya sadaka ya kuni. Kura ilichagua ni nani wa familia zetu ataleta kuni ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati zilizowekwa kila mwaka. Kuni hizo zilichomwa juu ya madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika sheria.
و ما کاهنان و لاویان و قوم، قرعه برای هدیه هیزم انداختیم، تا آن را به خانه خدای خودبرحسب خاندانهای آبای خویش، هر سال به وقتهای معین بیاوریم تا بر مذبح یهوه خدای ماموافق آنچه در تورات نوشته است سوخته شود.۳۴
35 Tuliahidi kuleta nyumbani kwa Bwana matunda ya kwanza yaliyotokana na udongo wetu, na matunda ya kwanza ya mti kila mwaka.
و تا آنکه نوبرهای زمین خود و نوبرهای همه میوه هر گونه درخت را سال به سال به خانه خداوند بیاوریم.۳۵
36 Na kama ilivyoandikwa katika sheria, tuliahidi kuleta nyumbani kwa Mungu na kwa makuhani watumikao hapo wazaliwa wa kwanza wa wana wetu ma wanyama wetu.
و تا اینکه نخست زاده های پسران و حیوانات خود را موافق آنچه در تورات نوشته شده است و نخست زاده های گاوان و گوسفندان خود را به خانه خدای خویش، برای کاهنانی که در خانه خدای ما خدمت می‌کنندبیاوریم.۳۶
37 Tutaleta unga wa kwanza na sadaka zetu za nafaka, na matunda ya kila mti, na divai mpya na mafuta tutaleta kwa makuhani, kwenye vyumba vya kuhifadhi vya nyumba ya Mungu wetu. Tutawaletea Walawi sehemu ya kumi kutoka kwenye udongo wetu kwa sababu Walawi hukusanya zaka katika miji yote tunayofanya kazi.
و نیز نوبر خمیر خود را و هدایای افراشتنی خویش را و میوه هر گونه درخت وعصیر انگور و روغن زیتون را برای کاهنان به حجره های خانه خدای خود و عشر زمین خویش را به جهت لاویان بیاوریم، زیرا که لاویان عشر رادر جمیع شهرهای زراعتی ما می‌گیرند.۳۷
38 Kuhani, mzao wa Haruni, lazima awe na Walawi wakati wanapopokea zaka. Walawi wanapaswa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu kwenye vyumba vya kuhifadhi hazima.
وهنگامی که لاویان عشر می‌گیرند، کاهنی ازپسران هارون همراه ایشان باشد و لاویان عشرعشرها را به خانه خدای ما به حجره های بیت‌المال بیاورند.۳۸
39 Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Lawi, wataleta sadaka za nafaka, divai mpya, na mafuta katika vyumba vya kuhifadhi ambapo vitu vya patakatifu vinasimamishwa, na mahali pa makuhani watumishi, na walinzi wa mlango, na waimbaji. Hatuwezi kuacha nyumba ya Mungu wetu.
زیرا که بنی‌اسرائیل وبنی لاوی هدایای افراشتنی غله و عصیر انگور وروغن زیتون را به حجره‌ها می‌بایست بیاورند، جایی که آلات قدس و کاهنانی که خدمت می‌کنند و دربانان و مغنیان حاضر می‌باشند، پس خانه خدای خود را ترک نخواهیم کرد.»۳۹

< Nehemia 10 >