< Nehemia 10 >

1 Wale ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa walikuwa Nehemia mwana wa Hakalia gavana, na makuhani waliowekwa walikuwa Sedekia,
Or, les signataires furent Néhémias Athersatha, fils d’Hachélaï, et Sédécias,
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
Saraïas, Azarias, Jérémie,
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Pheshur, Amarias, Melchias,
4 Hamshi, Shekania, Maluki,
Hattus, Sébénia, Melluch,
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Harem, Mérimuth, Obdias,
6 Danieli, Ginethoni, Baruki,
Daniel, Genthon, Baruch,
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Mosollam, Abia, Miamin,
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa walikuwa makuhani.
Maazia, Belgaï, Séméia: ceux-là furent les prêtres.
9 Walawi walikuwa Yeshua mwana wa Azania, Binui wa jamaa ya Henadadi, Kadmieli,
Mais les Lévites: Josué, fils d’Azanias; Bennuï, des fils de Hénadad, Cedmihel,
10 na Walawi wenzake, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
Et leurs frères, Sébénia, Odaïa, Célita, Phalaïa, Hanan,
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Micha, Rohob, Hasébia,
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Zachur, Sérébia. Sabania,
13 Hodiya, Bani na Beninu.
Odaïa, Bani, Baninu.
14 Viongozi wa watu walikuwa Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
Les chefs du peuple: Pharos, Phahathmoab, Elam, Zéthu, Bani,
15 Buni, Azgadi, Bebai,
Bonni, Azgad, Bébaï,
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Adonia, Bégoaï, Adin,
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Ater, Hézécia, Azur,
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Odaïa, Hasum, Bésaï,
19 Harifu, Anathothi, Nobai,
Hareph, Anathoth, Nébaï,
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Megphias, Mosollam, Hazir,
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Mésizabel, Sadoc, Jeddua,
22 Pelatia, Hanani, AnaYA,
Pheltia, Hanan, Anaïa,
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Osée, Hanania, Hasub,
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Alohès, Phaléa, Sobec,
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Réhum, Hasebna, Maasia,
26 Ahia, Hanani, Anani,
Echaïa, Hanan, Anan,
27 Maluki, Harimu na Baana.
Melluch, Haran, Baana.
28 Na watu wengine waliokuwa makuhani, na Walawi, na walinzi wa malango, na waimbaji, na watumishi wa hekalu, na wote waliokuwa wamejitenga wenyewe na watu wa nchi za jirani, kwa sheria ya Mungu, na wanawake zao, na wana wao, na Binti zao, wote walio na ujuzi na ufahamu,
Et le reste du peuple, les prêtres, les Lévites, les portiers et les chantres, les Nathinéens, et tous ceux qui s’étaient séparés des peuples de la terre pour la loi de Dieu, leurs femmes, leurs fils et leurs filles,
29 walijiunga na ndugu zao, wakuu wao, na kujifunga katika laana na kiapo cha kutembea katika sheria ya Mungu, iliyotolewa na Musa mtumishi wa Mungu, na kuzingatia na kutii amri zote za Bwana Mungu wetu na hukumu zake na sheria zake.
Tous ceux qui pouvaient être éclairés, répondant pour leurs frères; les grands aussi; enfin tous ceux qui venaient pour promettre et jurer qu’ils marcheraient dans la loi de Dieu, qu’il avait donnée par l’entremise de Moïse, serviteur de Dieu, qu’ils accompliraient et garderaient tous les commandements du Seigneur notre Dieu, et ses ordonnances et ses cérémonies,
30 Tuliahidi kuwa hatuwezi kuwapa binti zetu watu wa nchi au kuchukua binti zao kwa wana wetu.
Que nous ne donnerions point nos filles au peuple du pays, et que nous ne prendrions point leurs filles pour nos fils.
31 Pia tuliahidi kwamba ikiwa watu wa nchi wataleta bidhaa au nafaka yoyote ya kuuza siku ya Sabato, hatuwezi kununua kutoka kwao siku ya Sabato au siku yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba tutaacha mashamba yetu kupumzika, na tutafuta madeni yote yaliyotokana na Wayahudi wengine.
De plus, quant aux peuples du pays qui importent des objets de vente de toute sorte de choses de consommation, au jour du Sabbat, pour les vendre, nous ne les accepterons pas d’eux pendant le Sabbat, et en un jour sanctifié. Nous abandonnerons aussi la septième année et l’exaction de toute main.
32 Tulikubali amri za kutoa shilingi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu wetu,
Et nous établirons pour nous comme préceptes de donner par an la troisième partie d’un sicle, pour l’œuvre de la maison de notre Dieu.
33 kutoa mkate wa uwepo, na sadaka ya nafaka ya kawaida, sadaka za kuteketezwa siku za Sabato, sikukuu mpya za mwezi na sikukuu za kuteketezwa, na sadaka takatifu, na sadaka za dhambi za kufanya upatanisho kwa Israeli, pamoja na kazi yote ya nyumba ya Mungu wetu.
Pour les pains de proposition, et pour le sacrifice perpétuel, pour l’holocauste perpétuel dans les sabbats, dans les calendes, dans les solennités, et dans les choses sanctifiées et pour le péché, afin que l’on prie pour Israël, et pour le service de la maison de notre Dieu.
34 Na makuhani, Walawi, na watu wakapiga kura kwa ajili ya sadaka ya kuni. Kura ilichagua ni nani wa familia zetu ataleta kuni ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati zilizowekwa kila mwaka. Kuni hizo zilichomwa juu ya madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika sheria.
Nous jetâmes donc les sorts, pour l’offrande des bois, entre les prêtres, les Lévites et le peuple, afin qu’ils fussent apportés dans la maison de notre Dieu, selon les maisons de nos pères, à des temps marqués, depuis les temps d’une année jusqu’à une autre année, afin qu’ils brûlassent sur l’autel du Seigneur notre Dieu, comme il est écrit dans la loi de Moïse.
35 Tuliahidi kuleta nyumbani kwa Bwana matunda ya kwanza yaliyotokana na udongo wetu, na matunda ya kwanza ya mti kila mwaka.
Nous promîmes aussi et nous jurâmes, que nous apporterions les prémices de notre terre et les prémices de tous les fruits de tout arbre, d’année en année, dans la maison du Seigneur,
36 Na kama ilivyoandikwa katika sheria, tuliahidi kuleta nyumbani kwa Mungu na kwa makuhani watumikao hapo wazaliwa wa kwanza wa wana wetu ma wanyama wetu.
Et les premiers-nés de nos fils et de nos troupeaux, comme il est écrit dans la loi, et les prémices de nos bœufs et de nos brebis, pour être offerts dans la maison de notre Dieu, aux prêtres qui servent dans la maison de notre Dieu;
37 Tutaleta unga wa kwanza na sadaka zetu za nafaka, na matunda ya kila mti, na divai mpya na mafuta tutaleta kwa makuhani, kwenye vyumba vya kuhifadhi vya nyumba ya Mungu wetu. Tutawaletea Walawi sehemu ya kumi kutoka kwenye udongo wetu kwa sababu Walawi hukusanya zaka katika miji yote tunayofanya kazi.
Les prémices aussi de nos aliments et de nos libations, et les fruits de tout arbre, de la vigne aussi bien que de l’olivier, nous les apporterons aux prêtres, pour le trésor de notre Dieu, et la dixième partie de notre terre aux Lévites. Eux-mêmes, les Lévites recevront de toutes les villes les dîmes de nos travaux.
38 Kuhani, mzao wa Haruni, lazima awe na Walawi wakati wanapopokea zaka. Walawi wanapaswa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu kwenye vyumba vya kuhifadhi hazima.
Et le prêtre, fils d’Aaron, sera avec les Lévites dans les dîmes des Lévites; et les Lévites offriront la dixième partie de leur dîme dans la maison de notre Dieu, au lieu où on garde le trésor, dans la maison du trésor.
39 Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Lawi, wataleta sadaka za nafaka, divai mpya, na mafuta katika vyumba vya kuhifadhi ambapo vitu vya patakatifu vinasimamishwa, na mahali pa makuhani watumishi, na walinzi wa mlango, na waimbaji. Hatuwezi kuacha nyumba ya Mungu wetu.
Car c’est au lieu où on garde le trésor que les enfants d’Israël et les enfants de Lévi apporteront les prémices du froment, du vin et de l’huile; et là seront les vases sanctifiés, les prêtres, les chantres, les portiers et les ministres, et nous n’abandonnerons pas la maison de notre Dieu.

< Nehemia 10 >