< Nehemia 10 >

1 Wale ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa walikuwa Nehemia mwana wa Hakalia gavana, na makuhani waliowekwa walikuwa Sedekia,
Ja ne, jotka sinettinsä painoivat, olivat Nehemia Tirsata Hakalian poika, ja Zidkia,
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
Seraja, Asaria, Jeremia,
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Pashur, Amaria, Malkia,
4 Hamshi, Shekania, Maluki,
Hattus, Sebania, Malluk,
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Harim, Meremot, Obadia,
6 Danieli, Ginethoni, Baruki,
Daniel, Ginnetun, Baruk,
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Mesullam, Abia, Mijamin,
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa walikuwa makuhani.
Maasia, Bilgai ja Semaja: ne olivat papit.
9 Walawi walikuwa Yeshua mwana wa Azania, Binui wa jamaa ya Henadadi, Kadmieli,
Mutta Leviläiset olivat: Jesua Asanian poika, Binnui, Henadadin lapsista, Kadmiel,
10 na Walawi wenzake, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
Ja heidän veljensä: Sebania, Hodia, Kelita, Pelaja, Hanan,
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Miika, Rehob, Hasabia,
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Sakkur, Serebia, Sebania,
13 Hodiya, Bani na Beninu.
Hodia, Bani ja Beninu,
14 Viongozi wa watu walikuwa Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
Kansan päämiehet olivat: Paros, Pahatmoab, Elam, Sattu, Bani,
15 Buni, Azgadi, Bebai,
Bunni, Asgad, Bebai,
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Adonia, Bigvai, Adin,
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Ater, Hiskia, Assur,
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Hodia, Hasum, Betsai,
19 Harifu, Anathothi, Nobai,
Hariph, Anatot, Neubai,
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Magpias, Mesullam, Hesir,
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Mesesabel, Zadok, Jaddua,
22 Pelatia, Hanani, AnaYA,
Pelatia, Hanan, Anaja,
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Hosea, Hanania, Hasub,
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Halohes, Pilha, Sobek,
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Rehum, Hasabna, Maeseja,
26 Ahia, Hanani, Anani,
Ahia, Hanan, Anan,
27 Maluki, Harimu na Baana.
Malluk, Harim ja Baena;
28 Na watu wengine waliokuwa makuhani, na Walawi, na walinzi wa malango, na waimbaji, na watumishi wa hekalu, na wote waliokuwa wamejitenga wenyewe na watu wa nchi za jirani, kwa sheria ya Mungu, na wanawake zao, na wana wao, na Binti zao, wote walio na ujuzi na ufahamu,
Ja muu kansa, papit, Leviläiset, ovenvartiat, veisaajat, Netinimit ja kaikki, jotka olivat erinneet maan kansoista Jumalan lain tykö vaimoinsa, poikainsa ja tytärtensä kanssa, ja kaikki, jotka sen ymmärtää taisivat.
29 walijiunga na ndugu zao, wakuu wao, na kujifunga katika laana na kiapo cha kutembea katika sheria ya Mungu, iliyotolewa na Musa mtumishi wa Mungu, na kuzingatia na kutii amri zote za Bwana Mungu wetu na hukumu zake na sheria zake.
Ja heidän voimallisensa ottivat veljeinsä puolesta sen vastaan. Ja he tulivat vannomaan ja lupaamaan valallansa, vaeltaaksensa Jumalan laissa, joka heille oli annettu Moseksen Jumalan palvelian kautta, pitääksensä ja tehdäksensä kaikki Herran meidän Jumalamme käskyt, tuomiot ja säädyt;
30 Tuliahidi kuwa hatuwezi kuwapa binti zetu watu wa nchi au kuchukua binti zao kwa wana wetu.
Ja ettei meidän pidä antaman maan kansoille tyttäriämme, emmekä myös ota pojillemme heidän tyttäriänsä.
31 Pia tuliahidi kwamba ikiwa watu wa nchi wataleta bidhaa au nafaka yoyote ya kuuza siku ya Sabato, hatuwezi kununua kutoka kwao siku ya Sabato au siku yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba tutaacha mashamba yetu kupumzika, na tutafuta madeni yote yaliyotokana na Wayahudi wengine.
Ja jos maan kansa tuo sabbatina kauppakalua ja kaikkinaista vuoden tuloa myytäväksi, niin emme ota heiltä sabbatina ja pyhäpäivänä; ja että me seitsemännen vuoden annamme olla vapaana kaikista rasituksista;
32 Tulikubali amri za kutoa shilingi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu wetu,
Ja panemme käskyn itse päällemme, että annamme kolmannen osan yhdestä siklistä ajastajasta Jumalamme huoneen palvelukseen:
33 kutoa mkate wa uwepo, na sadaka ya nafaka ya kawaida, sadaka za kuteketezwa siku za Sabato, sikukuu mpya za mwezi na sikukuu za kuteketezwa, na sadaka takatifu, na sadaka za dhambi za kufanya upatanisho kwa Israeli, pamoja na kazi yote ya nyumba ya Mungu wetu.
Näkyleiväksi, alinomaiseksi ruokauhriksi, alinomaiseksi polttouhriksi, sabbatina, uusilla kuilla ja juhlapäivinä, ja pyhitetyille, ja syntiuhriksi, jolla Israel sovitetaan, ja kaikkinaiseksi tarpeeksi Jumalamme huoneessa.
34 Na makuhani, Walawi, na watu wakapiga kura kwa ajili ya sadaka ya kuni. Kura ilichagua ni nani wa familia zetu ataleta kuni ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati zilizowekwa kila mwaka. Kuni hizo zilichomwa juu ya madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika sheria.
Ja me heitimme arpaa pappein, Leviläisten ja kansan välillä halkouhrista, joita joka vuosi piti vietämän meidän Jumalamme huoneesen, isäimme huonetten jälkeen, määrätyillä ajoilla poltettaa Herran meidän Jumalamme alttarilla, niinkuin laissa kirjoitettu on;
35 Tuliahidi kuleta nyumbani kwa Bwana matunda ya kwanza yaliyotokana na udongo wetu, na matunda ya kwanza ya mti kila mwaka.
Ja että me joka vuosi tuomme maamme esikoisia ja kaikkinaisten puiden ensimäisiä hedelmiä Herran huoneesen;
36 Na kama ilivyoandikwa katika sheria, tuliahidi kuleta nyumbani kwa Mungu na kwa makuhani watumikao hapo wazaliwa wa kwanza wa wana wetu ma wanyama wetu.
Ja esikoiset pojistamme ja eläimistämme, niinkuin laissa kirjoitettu on; ja esikoiset härjistämme ja lampaistamme, että meidän pitää viemän meidän Jumalamme huoneesen papeille, jotka palvelevat Jumalamme huoneessa.
37 Tutaleta unga wa kwanza na sadaka zetu za nafaka, na matunda ya kila mti, na divai mpya na mafuta tutaleta kwa makuhani, kwenye vyumba vya kuhifadhi vya nyumba ya Mungu wetu. Tutawaletea Walawi sehemu ya kumi kutoka kwenye udongo wetu kwa sababu Walawi hukusanya zaka katika miji yote tunayofanya kazi.
Ja meidän pitää viemän taikinasta ensimäisen, ja ylennyksemme, ja kaikkinaisia puun hedelmiä, viinaa ja öljyä papeille, meidän Jumalamme huoneen kammioihin, ja Leviläisille kymmenykset meidän maastamme, että Leviläiset kaikissa kaupungeissa pitää saaman kymmenykset meidän työstämme.
38 Kuhani, mzao wa Haruni, lazima awe na Walawi wakati wanapopokea zaka. Walawi wanapaswa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu kwenye vyumba vya kuhifadhi hazima.
Ja papin Aaronin pojan pitää myös saaman Leviläisten kanssa heidän kymmenyksistänsä, ja Leviläisten pitää viemän kymmenyksistänsä kymmenennen osan meidän Jumalamme huoneesen, tavarahuoneen kammioihin.
39 Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Lawi, wataleta sadaka za nafaka, divai mpya, na mafuta katika vyumba vya kuhifadhi ambapo vitu vya patakatifu vinasimamishwa, na mahali pa makuhani watumishi, na walinzi wa mlango, na waimbaji. Hatuwezi kuacha nyumba ya Mungu wetu.
Sillä Israelin lapset ja Levin lapset piti myös viemän jyväin, viinan ja öljyn ylennyksen kammioihin; ja siellä pitää oleman pyhät astiat, ja papit, jotka palvelevat, ja ovenvartiat, ja veisaajat. Ja emme luovu meidän Jumalamme huoneesta.

< Nehemia 10 >