< Nehemia 10 >

1 Wale ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa walikuwa Nehemia mwana wa Hakalia gavana, na makuhani waliowekwa walikuwa Sedekia,
and upon [the] to seal Nehemiah [the] governor son: child Hacaliah and Zedekiah
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
Seraiah Azariah Jeremiah
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Pashhur Amariah Malchijah
4 Hamshi, Shekania, Maluki,
Hattush Shebaniah Malluch
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Harim Meremoth Obadiah
6 Danieli, Ginethoni, Baruki,
Daniel Ginnethon Baruch
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Meshullam Abijah Mijamin
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa walikuwa makuhani.
Maaziah Bilgai Shemaiah these [the] priest
9 Walawi walikuwa Yeshua mwana wa Azania, Binui wa jamaa ya Henadadi, Kadmieli,
and [the] Levi and Jeshua son: child Azaniah Binnui from son: child Henadad Kadmiel
10 na Walawi wenzake, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
and brother: male-relative their Shebaniah Hodiah Kelita Pelaiah Hanan
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Mica Rehob Hashabiah
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Zaccur Sherebiah Shebaniah
13 Hodiya, Bani na Beninu.
Hodiah Bani Beninu
14 Viongozi wa watu walikuwa Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
head: leader [the] people Parosh Pahath-moab Pahath-moab Elam Zattu Bani
15 Buni, Azgadi, Bebai,
Bunni Azgad Bebai
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Adonijah Bigvai Adin
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Ater Hezekiah Azzur
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Hodiah Hashum Bezai
19 Harifu, Anathothi, Nobai,
Hariph Anathoth (Nebai *Q(K)*)
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Magpiash Meshullam Hezir
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Meshezabel Zadok Jaddua
22 Pelatia, Hanani, AnaYA,
Pelatiah Hanan Anaiah
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Hoshea Hananiah Hasshub
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Hallohesh Pilha Shobek
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Rehum Hashabnah Maaseiah
26 Ahia, Hanani, Anani,
and Ahiah Hanan Anan
27 Maluki, Harimu na Baana.
Malluch Harim Baanah
28 Na watu wengine waliokuwa makuhani, na Walawi, na walinzi wa malango, na waimbaji, na watumishi wa hekalu, na wote waliokuwa wamejitenga wenyewe na watu wa nchi za jirani, kwa sheria ya Mungu, na wanawake zao, na wana wao, na Binti zao, wote walio na ujuzi na ufahamu,
and remnant [the] people [the] priest [the] Levi [the] gatekeeper [the] to sing [the] temple servant and all [the] to separate from people [the] land: country/planet to(wards) instruction [the] God woman: wife their son: child their and daughter their all to know to understand
29 walijiunga na ndugu zao, wakuu wao, na kujifunga katika laana na kiapo cha kutembea katika sheria ya Mungu, iliyotolewa na Musa mtumishi wa Mungu, na kuzingatia na kutii amri zote za Bwana Mungu wetu na hukumu zake na sheria zake.
to strengthen: strengthen upon brother: male-relative their great their and to come (in): come in/on/with oath and in/on/with oath to/for to go: walk in/on/with instruction [the] God which to give: give in/on/with hand: by Moses servant/slave [the] God and to/for to keep: obey and to/for to make: do [obj] all commandment LORD lord our and justice: judgement his and statute: decree his
30 Tuliahidi kuwa hatuwezi kuwapa binti zetu watu wa nchi au kuchukua binti zao kwa wana wetu.
and which not to give: give(marriage) daughter our to/for people [the] land: country/planet and [obj] daughter their not to take: take to/for son: child our
31 Pia tuliahidi kwamba ikiwa watu wa nchi wataleta bidhaa au nafaka yoyote ya kuuza siku ya Sabato, hatuwezi kununua kutoka kwao siku ya Sabato au siku yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba tutaacha mashamba yetu kupumzika, na tutafuta madeni yote yaliyotokana na Wayahudi wengine.
and people [the] land: country/planet [the] to come (in): bring [obj] [the] ware and all grain in/on/with day [the] Sabbath to/for to sell not to take: buy from them in/on/with Sabbath and in/on/with day holiness and to leave [obj] [the] year [the] seventh and interest all hand
32 Tulikubali amri za kutoa shilingi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu wetu,
and to stand: appoint upon us commandment to/for to give: give upon us third [the] shekel in/on/with year to/for service: ministry house: temple God our
33 kutoa mkate wa uwepo, na sadaka ya nafaka ya kawaida, sadaka za kuteketezwa siku za Sabato, sikukuu mpya za mwezi na sikukuu za kuteketezwa, na sadaka takatifu, na sadaka za dhambi za kufanya upatanisho kwa Israeli, pamoja na kazi yote ya nyumba ya Mungu wetu.
to/for food: bread [the] row and offering [the] continually and to/for burnt offering [the] continually [the] Sabbath [the] month: new moon to/for meeting: festival and to/for holiness and to/for sin: sin offering to/for to atone upon Israel and all work house: temple God our
34 Na makuhani, Walawi, na watu wakapiga kura kwa ajili ya sadaka ya kuni. Kura ilichagua ni nani wa familia zetu ataleta kuni ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati zilizowekwa kila mwaka. Kuni hizo zilichomwa juu ya madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika sheria.
and [the] allotted to fall: allot upon offering [the] tree: wood [the] priest [the] Levi and [the] people to/for to come (in): bring to/for house: temple God our to/for house: household father our to/for time to appoint year in/on/with year to/for to burn: burn upon altar LORD God our like/as to write in/on/with instruction
35 Tuliahidi kuleta nyumbani kwa Bwana matunda ya kwanza yaliyotokana na udongo wetu, na matunda ya kwanza ya mti kila mwaka.
and to/for to come (in): bring [obj] firstfruit land: soil our and firstfruit all fruit all tree year in/on/with year to/for house: temple LORD
36 Na kama ilivyoandikwa katika sheria, tuliahidi kuleta nyumbani kwa Mungu na kwa makuhani watumikao hapo wazaliwa wa kwanza wa wana wetu ma wanyama wetu.
and [obj] firstborn son: child our and animal our like/as to write in/on/with instruction and [obj] firstborn cattle our and flock our to/for to come (in): bring to/for house: temple God our to/for priest [the] to minister in/on/with house: temple God our
37 Tutaleta unga wa kwanza na sadaka zetu za nafaka, na matunda ya kila mti, na divai mpya na mafuta tutaleta kwa makuhani, kwenye vyumba vya kuhifadhi vya nyumba ya Mungu wetu. Tutawaletea Walawi sehemu ya kumi kutoka kwenye udongo wetu kwa sababu Walawi hukusanya zaka katika miji yote tunayofanya kazi.
and [obj] first: beginning dough our and contribution our and fruit all tree new wine and oil to come (in): bring to/for priest to(wards) chamber house: temple God our and tithe land: soil our to/for Levi and they(masc.) [the] Levi [the] to tithe in/on/with all city service: work our
38 Kuhani, mzao wa Haruni, lazima awe na Walawi wakati wanapopokea zaka. Walawi wanapaswa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu kwenye vyumba vya kuhifadhi hazima.
and to be [the] priest son: descendant/people Aaron with [the] Levi in/on/with to tithe [the] Levi and [the] Levi to ascend: establish [obj] tithe [the] tithe to/for house: temple God our to(wards) [the] chamber to/for house: home [the] treasure
39 Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Lawi, wataleta sadaka za nafaka, divai mpya, na mafuta katika vyumba vya kuhifadhi ambapo vitu vya patakatifu vinasimamishwa, na mahali pa makuhani watumishi, na walinzi wa mlango, na waimbaji. Hatuwezi kuacha nyumba ya Mungu wetu.
for to(wards) [the] chamber to come (in): bring son: descendant/people Israel and son: descendant/people [the] Levi [obj] contribution [the] grain [the] new wine and [the] oil and there article/utensil [the] sanctuary and [the] priest [the] to minister and [the] gatekeeper and [the] to sing and not to leave: neglect [obj] house: temple God our

< Nehemia 10 >