< Nehemia 10 >
1 Wale ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa walikuwa Nehemia mwana wa Hakalia gavana, na makuhani waliowekwa walikuwa Sedekia,
And the subscribers were Nehemias, Athersatha the son of Hachelai, and Sedecias,
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
Saraias, Azarias, Jeremias,
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Pheshur, Amarias, Melchias,
4 Hamshi, Shekania, Maluki,
Hattus, Sebenia, Melluch,
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Harem, Merimuth, Obdias,
6 Danieli, Ginethoni, Baruki,
Daniel, Genthon, Baruch,
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Mosollam, Abia, Miamin,
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa walikuwa makuhani.
Maazia, Belgia, Semeia: these were priests.
9 Walawi walikuwa Yeshua mwana wa Azania, Binui wa jamaa ya Henadadi, Kadmieli,
And the Levites, Josue the son of Azanias, Bennui of the sons of Henadad. Cedmihel,
10 na Walawi wenzake, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
And their brethren, Sebenia, Oduia, Celita, Phalaia, Hanan,
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Micha, Rohob, Hasebia,
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Zachur, Serebia, Sabania,
13 Hodiya, Bani na Beninu.
Odaia, Bani, Baninu.
14 Viongozi wa watu walikuwa Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
The heads of the people, Pharos, Phahath Moab, Elam, Zethu, Bani,
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Adonia, Begoai, Adin,
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Ater, Hezecia, Azur,
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Odaia, Hasum, Besai,
19 Harifu, Anathothi, Nobai,
Hareph, Anathoth, Nebai,
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Megphias, Mosollam, Hazir,
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Mesizabel, Sadoc, Jeddua,
22 Pelatia, Hanani, AnaYA,
Pheltia, Hanan, Anaia,
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Osee, Hanania, Hasub,
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Alohes, Phalea, Sobec,
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Rehum, Hasebna, Maasia,
27 Maluki, Harimu na Baana.
Melluch, Haran, Baana:
28 Na watu wengine waliokuwa makuhani, na Walawi, na walinzi wa malango, na waimbaji, na watumishi wa hekalu, na wote waliokuwa wamejitenga wenyewe na watu wa nchi za jirani, kwa sheria ya Mungu, na wanawake zao, na wana wao, na Binti zao, wote walio na ujuzi na ufahamu,
And the rest of the people, priests, Levites, porters, and singing men, Nathinites, and all that had separated themselves from the people of the lands to the law of God, their wives, their sons, and their daughters.
29 walijiunga na ndugu zao, wakuu wao, na kujifunga katika laana na kiapo cha kutembea katika sheria ya Mungu, iliyotolewa na Musa mtumishi wa Mungu, na kuzingatia na kutii amri zote za Bwana Mungu wetu na hukumu zake na sheria zake.
All that could understand promising for their brethren, with their chief men, and they came to promise, and swear that they would walk in the law of God, which he gave in the hand of Moses the servant of God, that they would do and keep all the commandments of the Lord our God, and his judgments and his ceremonies.
30 Tuliahidi kuwa hatuwezi kuwapa binti zetu watu wa nchi au kuchukua binti zao kwa wana wetu.
And that we would not give our daughters to the people of the land, not take their daughters for our sons.
31 Pia tuliahidi kwamba ikiwa watu wa nchi wataleta bidhaa au nafaka yoyote ya kuuza siku ya Sabato, hatuwezi kununua kutoka kwao siku ya Sabato au siku yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba tutaacha mashamba yetu kupumzika, na tutafuta madeni yote yaliyotokana na Wayahudi wengine.
And if the people of the land bring in things to sell, or any things for use, to sell them on the sabbath day, that we would not buy them of them on the sabbath, or on the holy day. And that we would leave the seventh year, and the exaction of every hand.
32 Tulikubali amri za kutoa shilingi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu wetu,
And we made ordinances for ourselves, to give the third part of a side every year for the work of the house of our God,
33 kutoa mkate wa uwepo, na sadaka ya nafaka ya kawaida, sadaka za kuteketezwa siku za Sabato, sikukuu mpya za mwezi na sikukuu za kuteketezwa, na sadaka takatifu, na sadaka za dhambi za kufanya upatanisho kwa Israeli, pamoja na kazi yote ya nyumba ya Mungu wetu.
For the leaves of proposition, and for the continual sacrifice, and for a continual holocaust on the sabbaths, on the new moons, on the set feasts, and for the holy things, and for the sin offering: that atonement might be made for Israel, and for every use of the house of our God.
34 Na makuhani, Walawi, na watu wakapiga kura kwa ajili ya sadaka ya kuni. Kura ilichagua ni nani wa familia zetu ataleta kuni ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati zilizowekwa kila mwaka. Kuni hizo zilichomwa juu ya madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika sheria.
And we cast lots among the priests, and the Levites, and the people for the offering of wood, that it might be brought into the house of our God by the houses of our fathers at set times, from year to year: to burn upon the altar of the Lord our God, as it is written in the law of Moses:
35 Tuliahidi kuleta nyumbani kwa Bwana matunda ya kwanza yaliyotokana na udongo wetu, na matunda ya kwanza ya mti kila mwaka.
And that we would bring the first fruits of our land, and the firstfruits of all fruit of every tree, from year to year, in the house of our Lord.
36 Na kama ilivyoandikwa katika sheria, tuliahidi kuleta nyumbani kwa Mungu na kwa makuhani watumikao hapo wazaliwa wa kwanza wa wana wetu ma wanyama wetu.
And the firstborn of our sons, and of our cattle, as it is written in the law, and the firstlings of our oxen, and of our sheep, to be offered in the house of our God, to the priests who minister in the house of our God.
37 Tutaleta unga wa kwanza na sadaka zetu za nafaka, na matunda ya kila mti, na divai mpya na mafuta tutaleta kwa makuhani, kwenye vyumba vya kuhifadhi vya nyumba ya Mungu wetu. Tutawaletea Walawi sehemu ya kumi kutoka kwenye udongo wetu kwa sababu Walawi hukusanya zaka katika miji yote tunayofanya kazi.
And that we would bring the firstfruits of our meats, and of our libations, and the fruit of every tree, of the vintage also and of oil to the priests, to the storehouse of our God, and the tithes of our ground to the Levites. The Levites also shall receive the tithes of our works out of all the cities.
38 Kuhani, mzao wa Haruni, lazima awe na Walawi wakati wanapopokea zaka. Walawi wanapaswa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu kwenye vyumba vya kuhifadhi hazima.
And the priest the son of Aaron shall be with the Levites in the tithes of the Levites, and the Levites shall offer the tithe of their tithes in the house of our God, to the storeroom into the treasure house.
39 Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Lawi, wataleta sadaka za nafaka, divai mpya, na mafuta katika vyumba vya kuhifadhi ambapo vitu vya patakatifu vinasimamishwa, na mahali pa makuhani watumishi, na walinzi wa mlango, na waimbaji. Hatuwezi kuacha nyumba ya Mungu wetu.
For the children of Israel and the children of Levi shall carry to the treasury the firstfruits of corn, of wine, and of oil: and the sanctified vessels shall be there, and the priests, and the singing men, and the porters, and ministers, and we will not forsake the house of our God.