< Nahumu 3 >
1 Ole kwa mji uliojaa damu! Wote umejaa uongo na mali za wizi; wahanga wapo kwake daima.
Qanliq sheherge way! U yalghanchiliq, zulum-zorawanliq bilen tolghan, U olja élishtin héch qol üzgen emes!
2 Lakini sasa kunasauti ya mijeledi na sauti za kugongesha matairi, farasi wakicheza, na magari ya vita yanaruka ruka.
Ah, qamchining qarsildashliri! Chaqlirining daqangshiwatqan, Atlarning chapchiwatqan, Pingildap kétiwatqan jeng harwilirining sadaliri!
3 Kuna wapanda farasi wanashambulia, Upanga unang'ara, mikuki inametameta, marundo ya maiti, mafungu makubwa ya miili; hakuna ukomo wa miili, washambuliaji wanajikwaa juu yake.
Qara, atliq leshkerlerning qangqishliri, Qilichlarning walildashliri, Neyzilerning palildashliri, Öltürülgenlerning köplüki, Ölükler döwe-döwe! Jesetlerning sani yoqtur; Ular jesetlerge putlishidu.
4 Hii inatokea kwa sababu ya matendo ya tamaa ya kahaba mzuri, mzoefu wa uchawi, mwenye kuuza taifa kwa umalaya wake, na watu kwa njia ya matendo yake ya kichawi.
— Séhirlerning piri u, — Ellerni pahishiwazliqi, Jemetlerni séhirliri bilen sétiwétidu; Sen shérinsuxen pahishining nurghun pahishilikliri tüpeylidin,
5 “Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi- sketi yako nitaiinua juu ya uso wako na kuzionyesha sehemu zako za siri kwa mataifa, aibu yako kwa falme.
Mana, Men sanga qarshiliship chiqqanmen, — — deydu samawiy qoshunlarning Serdari bolghan Perwerdigar, Könglikingning étikini qayrip yüzüngge yépip, séni ashkarilaymen, Ellerge uyat yerliringni, Padishahliqlargha nomusungni körsitimen.
6 Nitarusha uchafu wa kuchukiza na kukufanya uwe mbaya sana; nitakufanya uwe mtu wa kutazamwa na kila mmoja.
Üstüngge nijasetni tashlaymen, Séni shermendichilikte qaldurimen, Séni reswa qilimen.
7 Itakuwa kwamba kila mmoja anayekutazama atakukimbia na kusema, “Ninawi ameharibika; ni nani ataomboleza kwa ajili yake?' Ni wapi nitampata mtu anayeweza kukufariji?”
We shundaq boliduki, Séni körgenlerning hemmisi sendin qéchip: — «Ninewe weyran qilindi! Uning üchün kim haza tutidu?» — deydu; Men sanga teselli bergüchilerni nedin tépip bérimen?
8 Ninawi, je wewe ni bora kuliko Noamoni, uliojengwa juu ya Mto Naili, uliokuwa umezungukwa na maji, ambao ulinzi wake ilikuwa bahari, ambao ukuta wake ilikuwa bahari yenyewe?
Sen deryalarning otturisida turghan, Etrapida sular bolghan, Istihkami déngiz bolghan, Sépili déngiz bolghan No-Amon shehiridin ewzelmusen?
9 Ethiopia na Misri zilikuwa nguvu zake, na mwisho wake haukuwepo; Putu na Libya walikuwa rafiki zake.
Éfiopiyemu, Misirmu uning küch-qudriti idi, Ularning küchi cheksiz idi; Put hem Liwiyelikler uninggha yardemchi idi;
10 Lakini Noamoni alichukuliwa; alikwenda kwenye mateka; watoto wake wadogo walivunjwa vipande vipande katika kila makao makuu ya mtaa; adui zake walipiga kura kwa watu wake wenye heshima na wakuu wake wote walifungwa minyororo.
Umu élip kétilip, esirlikke chüshken; Barliq kocha béshida bowaqliri chörüp tashliwétildi; Ular uning mötiwerliri üchün chek tashlidi, Uning barliq erbabliri zenjirde baghlan’ghanidi.
11 Wewe pia utalewa; utajaribu kujificha, na utatafuta makimbilio kutoka kwa adui yako.
Senmu mest bolisen; Sen mökünüwalisen; Sen düshmendin himaye izdep yürisen;
12 Ngome zako zote zitakuwa kama mitini yenye tini zilizoiva mapema: kama zikitikiswa, zitaangukia kwenye kimywa cha mlaji.
Séning barliq istihkamliring xuddi tunji méwige kirgen enjür derixining enjürlirige oxshaydu; Birla silkise, ular yégüchining aghzigha chüshidu.
13 Tazama, watu miongoni mwenu ni wanawake; malango ya nchi yako yamefunguliwa sana kwa ajili ya adui zako; moto umeharibu bawaba zake.
Mana, xelqing shehiringde qiz-ayallardek bolup qaldi; Zéminingning qowuqliri düshmenliringge keng ichilidu; Ot tömür taqaqliringni yep kétidu.
14 Nenda ukachote maji kwenye boma iliyozingirwa; ziimarishe ngome zako; nenda kwenye udongo na kandamiza matope; finyanga kwa ajili ya matofali.
Emdi muhasirige teyyarliq qilip su tartip qoy! Qorghanliringni mustehkemle! Séghiz topidin lay étip, Hak layni cheylep qoy! Xumdanni raslap qoy!
15 Moto utakuteketeza pale, na upanga utakuangamiza. Utateketezwa kama nzige wachanga wanavyoteketeza kila kitu. Ninyi wenyewe mjitengeneze kuwa wengi kama nzige wachanga, na wengi kama nzinge waliopevuka.
Ot séni shu yerde yep kétidu; Qilich séni üzüp tashlaydu; U séni chéketke lichinkisidek yewatidu; Emdi özüngni chéketke lichinkiliridek köp qil, Chéketkidek özüngni zor köp qil!
16 Umezidisha wafanyabiashara wako zaidi kuliko nyota mbinguni; lakini wapo kama tunutu: wanapora nchi na kisha kuruka kwenda mbali.
Sen sodigerliringni asmandiki yultuzlardin köp qilding; Mana, chéketke lichinkisi qanat chiqirip, uchup kétidu!
17 Wafalme wenu wapo wengi kama zinge, na wakuu wenu wa majeshi ni kama kundi la wadudu wenye kuweka kambi katika ukuta wakati wa baridi. Lakini jua linapowaka wanaruka kwenda mbali ambako hakuna anayepajua.
Séning erbabliring chéketkilerdek, Serdarliring mijir-mijir chaqchiqizlardek bolidu; Mana ular soghuq künide chitlar ichige kiriwélip makan qilidu; Quyash chiqqanda, ular qéchip kétidu, Barghan yérini tapqili bolmaydu.
18 Mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wamelala; watawala wako wamejilaza chini kupumzika. Watu wako wametawanyika juu ya milima, na hakuna hata mmoja wa kuwakusanya.
Chopanliring mügdep qaldi, i Asuriyening padishahi; Séning aqsöngekliring jim yatidu; Xelqing taghlar üstige tarqilip ketti, Héchkim ularni yighmaydu;
19 Hakuna uponyaji unaowezekana kwa ajili ya vidonda vyako. Vidonda vyako ni vikubwa. Wanaosikia habari juu yako watapiga makofi kwa furaha juu yako. Ni nani aliyejiepusha kwa uovu wako wa daima?
Séning yarang dawasiz, Séning zexming éghirdur; Xewiringni anglighanlarning hemmisi üstüngdin chawak chalidu; Chünki toxtawsiz rezilliking kimning béshigha kelmigendu?