< Nahumu 3 >
1 Ole kwa mji uliojaa damu! Wote umejaa uongo na mali za wizi; wahanga wapo kwake daima.
Ve dem mordiska stadenom, den der full är med lögn och röfveri, och vill af sitt röfveri intet återvända;
2 Lakini sasa kunasauti ya mijeledi na sauti za kugongesha matairi, farasi wakicheza, na magari ya vita yanaruka ruka.
Ty der skall man höra sveper smälla, och hjul bullra, hästar skria, och vagnar rulla.
3 Kuna wapanda farasi wanashambulia, Upanga unang'ara, mikuki inametameta, marundo ya maiti, mafungu makubwa ya miili; hakuna ukomo wa miili, washambuliaji wanajikwaa juu yake.
Han förer upp resenärar med blänkande svärd och glimmande glafven; der ligga månge slagne, och store hopar med kroppar, så att på dem intet tal är, och man öfver deras kroppar falla måste;
4 Hii inatokea kwa sababu ya matendo ya tamaa ya kahaba mzuri, mzoefu wa uchawi, mwenye kuuza taifa kwa umalaya wake, na watu kwa njia ya matendo yake ya kichawi.
Allt detta för den dägeliga och lustiga skökones stora boleris skull, hvilken trolldom brukar, och med sitt boleri hafver förvärft Hedningar, och med sin trolldom land och folk.
5 “Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi- sketi yako nitaiinua juu ya uso wako na kuzionyesha sehemu zako za siri kwa mataifa, aibu yako kwa falme.
Si, jag vill till dig, säger Herren Zebaoth; jag skall uppkasta din klädefåll öfver ditt ansigte, och skall visa. Hedningomen din blotthet, och Konungariken dina skam.
6 Nitarusha uchafu wa kuchukiza na kukufanya uwe mbaya sana; nitakufanya uwe mtu wa kutazamwa na kila mmoja.
Jag skall göra dig ganska styggelig, och skämma dig, och göra dig till en vederstyggelse;
7 Itakuwa kwamba kila mmoja anayekutazama atakukimbia na kusema, “Ninawi ameharibika; ni nani ataomboleza kwa ajili yake?' Ni wapi nitampata mtu anayeweza kukufariji?”
Att alle de, som dig se, skola fly ifrå dig, och säga: Nineve är förderfvadt; ho vill ömka sig öfver dig, och hvar skall jag söka dig hugsvalare?
8 Ninawi, je wewe ni bora kuliko Noamoni, uliojengwa juu ya Mto Naili, uliokuwa umezungukwa na maji, ambao ulinzi wake ilikuwa bahari, ambao ukuta wake ilikuwa bahari yenyewe?
Menar du, att du äst bättre, än den store staden No, som låg vid floderna, och hade vatten allt omkring sig; hvilkens murar och fäste var hafvet?
9 Ethiopia na Misri zilikuwa nguvu zake, na mwisho wake haukuwepo; Putu na Libya walikuwa rafiki zake.
Ethiopien och Egypten var hans otaliga magt; Put och Libya voro dine hjelpare;
10 Lakini Noamoni alichukuliwa; alikwenda kwenye mateka; watoto wake wadogo walivunjwa vipande vipande katika kila makao makuu ya mtaa; adui zake walipiga kura kwa watu wake wenye heshima na wakuu wake wote walifungwa minyororo.
Likväl måste han fördrifven varda, och fången bortdraga, och hans barn äro på alla gator slagne, och om hans ädlingar kastade man lott, och alle hans väldige vordo satte i kedjor och bojor.
11 Wewe pia utalewa; utajaribu kujificha, na utatafuta makimbilio kutoka kwa adui yako.
Alltså måste du ock drucken varda, och bortgömma dig, och uppsöka ett fäste för fiendanom.
12 Ngome zako zote zitakuwa kama mitini yenye tini zilizoiva mapema: kama zikitikiswa, zitaangukia kwenye kimywa cha mlaji.
Alle dine faste städer äro lika som fikonaträ med mogen fikon; när man skakar dem, falla de honom i munnen, som dem äta vill.
13 Tazama, watu miongoni mwenu ni wanawake; malango ya nchi yako yamefunguliwa sana kwa ajili ya adui zako; moto umeharibu bawaba zake.
Si, ditt folk skall i dig varda till qvinnor, och dins lands portar skola dinom fiendanom öppnade varda, och elden skall upptära dina bommar.
14 Nenda ukachote maji kwenye boma iliyozingirwa; ziimarishe ngome zako; nenda kwenye udongo na kandamiza matope; finyanga kwa ajili ya matofali.
Hemta dig vatten, ty du skall belagd varda; förbättra din fäste, gack uti leret och trampa det, och gör starkt tegel.
15 Moto utakuteketeza pale, na upanga utakuangamiza. Utateketezwa kama nzige wachanga wanavyoteketeza kila kitu. Ninyi wenyewe mjitengeneze kuwa wengi kama nzige wachanga, na wengi kama nzinge waliopevuka.
Men elden skall upptära dig, och svärdet döda dig; det skall uppäta dig, lika som en flogmatk; det skall öfverfalla dig, lika som en flogmatk; det skall öfverfalla dig, såsom gräshoppor.
16 Umezidisha wafanyabiashara wako zaidi kuliko nyota mbinguni; lakini wapo kama tunutu: wanapora nchi na kisha kuruka kwenda mbali.
Du hafver flera köpmän än stjernorna äro på himmelen; men nu skola de utsprida sig, lika som flogmatk, och flyga bort.
17 Wafalme wenu wapo wengi kama zinge, na wakuu wenu wa majeshi ni kama kundi la wadudu wenye kuweka kambi katika ukuta wakati wa baridi. Lakini jua linapowaka wanaruka kwenda mbali ambako hakuna anayepajua.
Dine herrar äro så månge som gräshoppor, och dine höfvitsmän lika som flogmatkar, hvilke sig lägra uppå gårdar i de kalla dagar; men när solen uppgår, så draga de dädan, att man icke vet hvar de blifva.
18 Mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wamelala; watawala wako wamejilaza chini kupumzika. Watu wako wametawanyika juu ya milima, na hakuna hata mmoja wa kuwakusanya.
Dine herdar skola sofva, o Konung i Assur; dine mägtige skola lägga sig, och ditt folk skall uppå bergen förströdt varda, och ingen skall församla dem.
19 Hakuna uponyaji unaowezekana kwa ajili ya vidonda vyako. Vidonda vyako ni vikubwa. Wanaosikia habari juu yako watapiga makofi kwa furaha juu yako. Ni nani aliyejiepusha kwa uovu wako wa daima?
Ingen skall begråta din skada, eller bekymra sig om dina plågo, utan alle de, som detta om dig höra, skola klappa med sina händer öfver dig; ty öfver hvem är din ondska utan återvändo icke gången?