< Nahumu 3 >
1 Ole kwa mji uliojaa damu! Wote umejaa uongo na mali za wizi; wahanga wapo kwake daima.
Woe to! [the] city of blood all of it lying plunder [is] full not it will depart prey.
2 Lakini sasa kunasauti ya mijeledi na sauti za kugongesha matairi, farasi wakicheza, na magari ya vita yanaruka ruka.
[the] sound of A whip and [the] sound of [the] rattling of a wheel and a horse galloping and a chariot jolting.
3 Kuna wapanda farasi wanashambulia, Upanga unang'ara, mikuki inametameta, marundo ya maiti, mafungu makubwa ya miili; hakuna ukomo wa miili, washambuliaji wanajikwaa juu yake.
A horseman bringing up and [the] blade of a sword and [the] flash of a spear and [the] multitude of [the] slain and [the] weight of corpse[s] and there not [is] an end to the bodi[es] (and people will stumble *Q(K)*) over bodi[es] their.
4 Hii inatokea kwa sababu ya matendo ya tamaa ya kahaba mzuri, mzoefu wa uchawi, mwenye kuuza taifa kwa umalaya wake, na watu kwa njia ya matendo yake ya kichawi.
From [the] abundance of [the] prostitution of a prostitute good of grace a mistress of sorceries who sells nations by prostitution her and clans by sorceries her.
5 “Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi- sketi yako nitaiinua juu ya uso wako na kuzionyesha sehemu zako za siri kwa mataifa, aibu yako kwa falme.
Here I [am] against you [the] utterance of Yahweh of hosts and I will uncover skirts your on face your and I will show nations nakedness your and kingdoms shame your.
6 Nitarusha uchafu wa kuchukiza na kukufanya uwe mbaya sana; nitakufanya uwe mtu wa kutazamwa na kila mmoja.
And I will throw on you detestable things and I will treat with contempt you and I will make you like a spectacle.
7 Itakuwa kwamba kila mmoja anayekutazama atakukimbia na kusema, “Ninawi ameharibika; ni nani ataomboleza kwa ajili yake?' Ni wapi nitampata mtu anayeweza kukufariji?”
And it will be all [those who] see you he will flee from you and he will say it is devastated Nineveh who? will he show sympathy to it from where? will I seek comforters for you.
8 Ninawi, je wewe ni bora kuliko Noamoni, uliojengwa juu ya Mto Naili, uliokuwa umezungukwa na maji, ambao ulinzi wake ilikuwa bahari, ambao ukuta wake ilikuwa bahari yenyewe?
¿ Have you been made good more than No Amon that was dwelling among the canals water [was] all around it which rampart [was the] sea [was] from sea wall its.
9 Ethiopia na Misri zilikuwa nguvu zake, na mwisho wake haukuwepo; Putu na Libya walikuwa rafiki zake.
Cush [was] strength its and Egypt and there not [was] an end Put and [the] Libyans they were help your.
10 Lakini Noamoni alichukuliwa; alikwenda kwenye mateka; watoto wake wadogo walivunjwa vipande vipande katika kila makao makuu ya mtaa; adui zake walipiga kura kwa watu wake wenye heshima na wakuu wake wote walifungwa minyororo.
Also it to exile it went in captivity also children its they were dashed in pieces at [the] head of all [the] streets and on honored [people] its they cast a lot and all great [people] its they were bound with fetters.
11 Wewe pia utalewa; utajaribu kujificha, na utatafuta makimbilio kutoka kwa adui yako.
Also you you will become drunk it will be hidden also you you will seek a refuge from [the] enemy.
12 Ngome zako zote zitakuwa kama mitini yenye tini zilizoiva mapema: kama zikitikiswa, zitaangukia kwenye kimywa cha mlaji.
All fortifications your [are] fig trees with first-fruits if they will be shaken and they will fall on [the] mouth of an eater.
13 Tazama, watu miongoni mwenu ni wanawake; malango ya nchi yako yamefunguliwa sana kwa ajili ya adui zako; moto umeharibu bawaba zake.
There! people your [are] women in midst your to enemies your certainly they will be opened [the] gates of land your it will consume fire bars your.
14 Nenda ukachote maji kwenye boma iliyozingirwa; ziimarishe ngome zako; nenda kwenye udongo na kandamiza matope; finyanga kwa ajili ya matofali.
Water of siege draw for yourself strengthen fortifications your go in the clay and trample on the mortar take hold of a brick mold.
15 Moto utakuteketeza pale, na upanga utakuangamiza. Utateketezwa kama nzige wachanga wanavyoteketeza kila kitu. Ninyi wenyewe mjitengeneze kuwa wengi kama nzige wachanga, na wengi kama nzinge waliopevuka.
There it will consume you fire it will cut off you [the] sword it will consume you like the locust make yourself numerous like the locust make yourself numerous like the locust.
16 Umezidisha wafanyabiashara wako zaidi kuliko nyota mbinguni; lakini wapo kama tunutu: wanapora nchi na kisha kuruka kwenda mbali.
You have increased traders your more than [the] stars of the heavens a locust it strips off and it flew away.
17 Wafalme wenu wapo wengi kama zinge, na wakuu wenu wa majeshi ni kama kundi la wadudu wenye kuweka kambi katika ukuta wakati wa baridi. Lakini jua linapowaka wanaruka kwenda mbali ambako hakuna anayepajua.
Courtiers your [are] like the locust and officials your [are] like a locust of locusts which encamp in the walls on a day of coldness [the] sun it rises and it flees and not it is known place its where [are]? they.
18 Mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wamelala; watawala wako wamejilaza chini kupumzika. Watu wako wametawanyika juu ya milima, na hakuna hata mmoja wa kuwakusanya.
They are slumbering shepherds your O king of Assyria they settle down nobles your they are scattered people your on the mountains and there not [is one who] gathers [them].
19 Hakuna uponyaji unaowezekana kwa ajili ya vidonda vyako. Vidonda vyako ni vikubwa. Wanaosikia habari juu yako watapiga makofi kwa furaha juu yako. Ni nani aliyejiepusha kwa uovu wako wa daima?
There not [is] relief for fracture your [is] severe wound your all - [those who] hear report your they strike a palm on you for over whom? not has it passed evil your continually.