< Nahumu 3 >

1 Ole kwa mji uliojaa damu! Wote umejaa uongo na mali za wizi; wahanga wapo kwake daima.
Ve den blodskyldige Stad, hel fuld af Løgn, af Vold! Rov hører ikke op.
2 Lakini sasa kunasauti ya mijeledi na sauti za kugongesha matairi, farasi wakicheza, na magari ya vita yanaruka ruka.
Knald af Piske og Lyd af Vognhjuls Raslen og Heste i jagende Fart og hoppende Vogne!
3 Kuna wapanda farasi wanashambulia, Upanga unang'ara, mikuki inametameta, marundo ya maiti, mafungu makubwa ya miili; hakuna ukomo wa miili, washambuliaji wanajikwaa juu yake.
Ryttere, som sætte af Sted, og Blinken af Sværd og Lynen af Spyd og en Mængde ihjelslagne og en svar Hob Lig; og der er ingen Ende paa døde Kroppe, man snubler over deres døde Kroppe!
4 Hii inatokea kwa sababu ya matendo ya tamaa ya kahaba mzuri, mzoefu wa uchawi, mwenye kuuza taifa kwa umalaya wake, na watu kwa njia ya matendo yake ya kichawi.
Det sker for de store Horerier af Horen, den yndige skønne, en Mesterinde i Trolddom, hun, som solgte Folkefærd ved sine Horerier og Folkeslægter ved sine Trolddomskunster.
5 “Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi- sketi yako nitaiinua juu ya uso wako na kuzionyesha sehemu zako za siri kwa mataifa, aibu yako kwa falme.
Se, jeg kommer imod dig, siger den Herre Zebaoth, og slaar dit Slæb op over dit Ansigt, og jeg vil lade Folkefærd se din Nøgenhed og Kongeriger din Skam.
6 Nitarusha uchafu wa kuchukiza na kukufanya uwe mbaya sana; nitakufanya uwe mtu wa kutazamwa na kila mmoja.
Og jeg vil kaste vederstyggelige Ting paa dig og gøre dig ringeagtet og sætte dig frem til Skue.
7 Itakuwa kwamba kila mmoja anayekutazama atakukimbia na kusema, “Ninawi ameharibika; ni nani ataomboleza kwa ajili yake?' Ni wapi nitampata mtu anayeweza kukufariji?”
Og det skal ske, at enhver, som ser dig, skal fly bort fra dig og sige: Ødelagt er Ninive! hvo vil have Medynk med den? hvorfra skal jeg opsøge dig Trøstere?
8 Ninawi, je wewe ni bora kuliko Noamoni, uliojengwa juu ya Mto Naili, uliokuwa umezungukwa na maji, ambao ulinzi wake ilikuwa bahari, ambao ukuta wake ilikuwa bahari yenyewe?
Mon du er bedre end No-Amon, som laa imellem Floderne, og som havde Vand trindt omkring sig, hvis Værn var Hav, hvis Mur var af Hav?
9 Ethiopia na Misri zilikuwa nguvu zake, na mwisho wake haukuwepo; Putu na Libya walikuwa rafiki zake.
Morianer i Mængde og Ægypter uden Tal, de af Put og Lybia vare din Hjælp.
10 Lakini Noamoni alichukuliwa; alikwenda kwenye mateka; watoto wake wadogo walivunjwa vipande vipande katika kila makao makuu ya mtaa; adui zake walipiga kura kwa watu wake wenye heshima na wakuu wake wote walifungwa minyororo.
Ogsaa denne blev bortført, den maatte gaa i Fangenskab, ogsaa dens spæde Børn bleve knuste paa alle Gadehjørner, og over dens ansete Mænd kastede man Lod, og alle dens Stormænd bleve bundne i Lænker.
11 Wewe pia utalewa; utajaribu kujificha, na utatafuta makimbilio kutoka kwa adui yako.
Ogsaa du skal blive drukken, være forsvunden; ogsaa du skal søge et Værn imod Fjenden.
12 Ngome zako zote zitakuwa kama mitini yenye tini zilizoiva mapema: kama zikitikiswa, zitaangukia kwenye kimywa cha mlaji.
Alle dine Fæstninger ere som Figentræer med tidligt modne Frugter; rystes de, da falde de i Munden paa den, som vil æde dem.
13 Tazama, watu miongoni mwenu ni wanawake; malango ya nchi yako yamefunguliwa sana kwa ajili ya adui zako; moto umeharibu bawaba zake.
Se, dit Folk er Kvinder i din Midte, dit Lands Porte ere aldeles opladte for dine Fjender; Ild har fortæret dine Portstænger.
14 Nenda ukachote maji kwenye boma iliyozingirwa; ziimarishe ngome zako; nenda kwenye udongo na kandamiza matope; finyanga kwa ajili ya matofali.
Drag dig Vand for Belejring, gør dine Befæstninger stærke; gak i Dyndet, og træd i Leret, tag fat paa Teglovnen!
15 Moto utakuteketeza pale, na upanga utakuangamiza. Utateketezwa kama nzige wachanga wanavyoteketeza kila kitu. Ninyi wenyewe mjitengeneze kuwa wengi kama nzige wachanga, na wengi kama nzinge waliopevuka.
Der skal Ild fortære dig, Sværd udrydde dig, det skal fortære dig som Høskrækker; gør dig kun mangfoldig som Høskrækker, gør dig kun mangfoldig som Græshopper!
16 Umezidisha wafanyabiashara wako zaidi kuliko nyota mbinguni; lakini wapo kama tunutu: wanapora nchi na kisha kuruka kwenda mbali.
Du har havt flere Kræmmere end Stjerner paa Himmelen; Høskrækkerne bredte sig ud og fløj bort.
17 Wafalme wenu wapo wengi kama zinge, na wakuu wenu wa majeshi ni kama kundi la wadudu wenye kuweka kambi katika ukuta wakati wa baridi. Lakini jua linapowaka wanaruka kwenda mbali ambako hakuna anayepajua.
Dine kronede ere som Græshopper og dine Høvedsmænd som Græshoppesværme, hvilke lægge sig paa Murene, naar Dagen er kold; men naar Solen bryder frem da flyve bort, saa at deres Sted ikke kendes; hvor ere de?
18 Mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wamelala; watawala wako wamejilaza chini kupumzika. Watu wako wametawanyika juu ya milima, na hakuna hata mmoja wa kuwakusanya.
Dine Hyrder ere hensovede, o Assurs Konge! dine ypperlige Mænd ligge i Ro; dit Folk, de ere adspredte paa Bjergene, og der er ingen, som samler dem.
19 Hakuna uponyaji unaowezekana kwa ajili ya vidonda vyako. Vidonda vyako ni vikubwa. Wanaosikia habari juu yako watapiga makofi kwa furaha juu yako. Ni nani aliyejiepusha kwa uovu wako wa daima?
Der er ingen Lindring for din Skade, ulægeligt er dit Saar; alle, som høre Tidende om dig, klappe i Hænderne over dig; thi hvem gik ikke din Ondskab bestandigt ud over?

< Nahumu 3 >