< Nahumu 3 >
1 Ole kwa mji uliojaa damu! Wote umejaa uongo na mali za wizi; wahanga wapo kwake daima.
Tami thi palawngnae kho dawk, thoebonae ka tâcawtkhai e laithoe hoi thamanae akawi. A man e naw hai tha awh hoeh.
2 Lakini sasa kunasauti ya mijeledi na sauti za kugongesha matairi, farasi wakicheza, na magari ya vita yanaruka ruka.
Bongpai hoi hem e lawk, rangleng khok kamlei lawk, marang coukdouk lawk, rangleng a yawng e lawk hah ka thai.
3 Kuna wapanda farasi wanashambulia, Upanga unang'ara, mikuki inametameta, marundo ya maiti, mafungu makubwa ya miili; hakuna ukomo wa miili, washambuliaji wanajikwaa juu yake.
Marangransa ni laklakkaang e tahloi, keitat tahroe hah a dâw teh, kadout e tami ro teh a kâmawk. Hote ronaw hah boeba touk thai hoeh. Ronaw hah a kamthui awh teh ro van a tâlaw awh.
4 Hii inatokea kwa sababu ya matendo ya tamaa ya kahaba mzuri, mzoefu wa uchawi, mwenye kuuza taifa kwa umalaya wake, na watu kwa njia ya matendo yake ya kichawi.
Hetnaw pueng teh ka kâyawt e napui kecu doeh a tho. A meihawinae, ânnae, a kâyonae lahoi khocaramca pueng koung a dum toe.
5 “Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi- sketi yako nitaiinua juu ya uso wako na kuzionyesha sehemu zako za siri kwa mataifa, aibu yako kwa falme.
Hatdawkvah, Cathut ni a dei e teh, nange avanglah kai ka o. Na angki hah na minhmai dawk ka ling vaiteh caici lah na onae hoi na kayanae hah uknaeram tangkuem ka patue han.
6 Nitarusha uchafu wa kuchukiza na kukufanya uwe mbaya sana; nitakufanya uwe mtu wa kutazamwa na kila mmoja.
Ei hoi na dei vaiteh, na khin sak vaiteh, ayâ ni panuet e lah na ta han.
7 Itakuwa kwamba kila mmoja anayekutazama atakukimbia na kusema, “Ninawi ameharibika; ni nani ataomboleza kwa ajili yake?' Ni wapi nitampata mtu anayeweza kukufariji?”
Na kahmawt e tami pueng ni, Nineveh kho a rawk toe, apinimouh a khui han vai ati awh teh, na yawng takhai awh han. Nang lungpahawi hanelah, nâmouh ka tawng vaiteh ka pâphawng han vai.
8 Ninawi, je wewe ni bora kuliko Noamoni, uliojengwa juu ya Mto Naili, uliokuwa umezungukwa na maji, ambao ulinzi wake ilikuwa bahari, ambao ukuta wake ilikuwa bahari yenyewe?
Nang teh tuipui rahak kaawm e Noamon kho hlak na talue maw. Hote khopui teh tui ni a kalup teh, tuipui teh ahnie rapan lah ao.
9 Ethiopia na Misri zilikuwa nguvu zake, na mwisho wake haukuwepo; Putu na Libya walikuwa rafiki zake.
Ethiopia hoi Izip ram teh ahnie senehmaica lah ao teh a thaonae teh baw thai hoeh. Put hoi Lubim ni a kabawp.
10 Lakini Noamoni alichukuliwa; alikwenda kwenye mateka; watoto wake wadogo walivunjwa vipande vipande katika kila makao makuu ya mtaa; adui zake walipiga kura kwa watu wake wenye heshima na wakuu wake wote walifungwa minyororo.
Hatei, hote kho teh tarannaw ni a tuk awh teh a man awh toe. Khocanaw teh lamtakinnaw koe a phep awh. Bari lah kaawm e khocanaw teh, cungpam lah a khoe awh teh, thakasai e khocanaw abuemlah sumrui hoi a pâkhi awh toe.
11 Wewe pia utalewa; utajaribu kujificha, na utatafuta makimbilio kutoka kwa adui yako.
Nang haiyah puen laihoi na kâhro han. Taran kut dawk hoi hlout nahanelah kacakpounge hmuen na tawng han.
12 Ngome zako zote zitakuwa kama mitini yenye tini zilizoiva mapema: kama zikitikiswa, zitaangukia kwenye kimywa cha mlaji.
Nange rapanimnaw teh a paw hmaloe kahmin e thaibunglungnaw hoi a kâvan han. Kahuet navah ka cat ngai e kâko thung hloum a bo pouh awh han.
13 Tazama, watu miongoni mwenu ni wanawake; malango ya nchi yako yamefunguliwa sana kwa ajili ya adui zako; moto umeharibu bawaba zake.
Na taminaw teh na hmalah napui patetlah ao vaiteh, kho longkhanaw teh tarannaw hanelah kakaw lah a kamawng vaiteh tho rawngkannae teh hmai a kak han.
14 Nenda ukachote maji kwenye boma iliyozingirwa; ziimarishe ngome zako; nenda kwenye udongo na kandamiza matope; finyanga kwa ajili ya matofali.
Taran ni na kaven yunglam, na hno hane tui sut do awh. Rapanimnaw hah caksak awh. Amhru talai hah katin awh. Amhru hmai raawng awh.
15 Moto utakuteketeza pale, na upanga utakuangamiza. Utateketezwa kama nzige wachanga wanavyoteketeza kila kitu. Ninyi wenyewe mjitengeneze kuwa wengi kama nzige wachanga, na wengi kama nzinge waliopevuka.
Hote hmuen koe raw vah hmai na kak awh vaiteh, tahloi hoi pat na raboung awh han. Samtong patetlah pap awh yawkaw, awsi patetlah pap a yawkaw.
16 Umezidisha wafanyabiashara wako zaidi kuliko nyota mbinguni; lakini wapo kama tunutu: wanapora nchi na kisha kuruka kwenda mbali.
Kalvan âsinaw hlak hno kayawtnaw kapap nakunghai, samtongnaw patetlah parang a kamleng awh han.
17 Wafalme wenu wapo wengi kama zinge, na wakuu wenu wa majeshi ni kama kundi la wadudu wenye kuweka kambi katika ukuta wakati wa baridi. Lakini jua linapowaka wanaruka kwenda mbali ambako hakuna anayepajua.
Nangmae khobawinaw teh samtangnaw patetlah ransabawinaw teh tapangkhongdengnaw patetlah ao awh teh, a pâding toteh tahmout dawk a tabo awh. Kanî a tâco toteh nâmouh phang a kamleng tie panuek hoeh.
18 Mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wamelala; watawala wako wamejilaza chini kupumzika. Watu wako wametawanyika juu ya milima, na hakuna hata mmoja wa kuwakusanya.
Assiria siangpahrang nange tukhoumnaw teh muet a i awh teh, Saring kakhenkungnaw teh a yan awh. Ransanaw teh monsom vah koung kâkapek awh teh apinihai pâkhueng awh hoeh.
19 Hakuna uponyaji unaowezekana kwa ajili ya vidonda vyako. Vidonda vyako ni vikubwa. Wanaosikia habari juu yako watapiga makofi kwa furaha juu yako. Ni nani aliyejiepusha kwa uovu wako wa daima?
Na khang e a hmâ a nung poung dawkvah dam thai mahoeh. Nange kamthang ka thai e pueng ni kut na tabawng sin awh han. Bangkongtetpawiteh, nang ni na rektap hoeh e tami apihai awm hoeh.