< Nahumu 2 >

1 Yule ambaye atakuharibu vipande vipande anakuja dhidi yako. Linda kuta za mji, linda barabara, jitieni nguvu ninyi wenyewe, yakusanyeni majeshi yenu.
خراب کننده در مقابل تو برمی آید. حصاررا حفظ کن، راه را دیدبانی نما، کمر خود راقوی گردان و قوت خویش را بسیار زیاد کن.۱
2 Maana Yehova anarejesha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa wateka nyara waliwaharibu na kuharibu matawi ya zabibu zao.
زیرا خداوند عظمت یعقوب را مثل عظمت اسرائیل باز می‌آورد و تاراج کنندگان ایشان را تاراج می‌کنند و شاخه های موهای ایشان را تلف می‌نمایند.۲
3 Ngao za mashujaa wake ni nyekundu, na watu hodari wamevaa nguo nyekundu; magari ya vita yameandaliwa yanang'ara kwenye vyuma vyake wakati wa mchana, na mikuki ya mivinje inarushwa hewani.
سپر جباران او سرخ شده و مردان جنگی به قرمز ملبس و ارابه‌ها در روز تهیه او ازفولاد لامع است و نیزه‌ها متحرک می‌باشد.۳
4 Magari ya vita yapo kasi kwenye mitaa; yanakimbia mbele na nyuma katika mitaa. Yapo kama kurunzi, na yanakimbia kama radi.
ارابه‌ها را در کوچه‌ها بتندی می‌رانند، درچهارسوها بهم برمی خورند. نمایش آنها مثل مشعلها است و مانند برقها می‌دوند.۴
5 Yule ambaye atakuvunja vipande vipande anawaita maafisa wake; wanajikwaa kila mmoja kwa mwingine katika kutembea kwao; wanaharakisha kuushambulia ukuta wa mji. Ngao kubwa imetayarishwa kujikinga na hawa washambuliaji.
او بزرگان خود را به یاد می‌آورد و ایشان در راه رفتن لغزش می‌خورند. دوان دوان به حصار می‌آیند ومنجنیق را حاضر می‌سازند.۵
6 Malango kwenye mito yamelazishwa kufunguka, na jumba la mfalme linaanguka kwenye uharibifu.
دروازه های نهرهاگشاده است و قصر گداخته می‌گردد.۶
7 Husabu amevuliwa mavazi yake na amachukuliwa; watumishi wake wa kike wanaomboleza kama njiwa, wanavipiga vifua vyao.
و حصب برهنه شده، (به اسیری ) برده می‌شود و کنیزانش مثل ناله فاخته‌ها سینه زنان ناله می‌کنند.۷
8 Ninawi ni kama bwawa la maji linalovuja, watu wake kwa pamoja wanakimbia kama maji yanayotiririka. Wengine wanasema, “Simama, simama,” lakini hakuna anayegeuka nyuma.
و نینوااز روزی که به وجود آمد، مانند برکه آب می‌بود. اما اهلش فرار می‌کنند، (و اگر‌چه صدا می‌زنند)که «بایستید! بایستید!»، لیکن احدی ملتفت نمی شود.۸
9 Chukua nyara ya fedha, kuchua nyara ya dhahabu, maana hakuna mwisho wake, kwa fahari ya vitu vyote vizuri vya Ninawi.
نقره را غارت کنید و طلا را به یغما برید زیراکه اندوخته های او را و کثرت هرگونه متاع نفیسه‌اش را انتهایی نیست.۹
10 Ninawi ipo tupu na imeharibiwa. Moyo wa kila mtu unayeyuka, magoti ya kila mmoja yanagongana pamoja, na uchungu upo kwa kila mmoja; sura zao wote zimepauka.
او خالی و ویران وخراب است و دلش گداخته و زانوهایش لرزان ودر همه کمرها درد شدید می‌باشد و رنگ رویهای همه پریده است.۱۰
11 Sasa liko wapi pango la simba, sehemu ambapo simba wadogo hula chakula, sehemu ambapo simba dume na simba jike walitembea, pamoja wana-simba, ambapo hawakuogopa kitu chochote?
بیشه شیران و مرتع شیران ژیان کجا است که در آن شیر نر و شیر ماده و شیر بچه می‌خرامیدند و ترساننده‌ای نبود؟۱۱
12 Simba alirarua mawindo yake vipande vipande kwa ajili ya watoto wake; aliwanyonga mawindo wake kwa ajili ya wake zake, na kulijaza pango lake mawindo, makao yake kwa mizoga iliyoraruliwa.
شیر نر برای حاجت بچه های خود می‌درید وبه جهت شیرهای ماده‌اش خفه می‌کرد ومغاره های خود را از شکار و بیشه های خویش رااز صید پر می‌ساخت.۱۲
13 “Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi. Nitayachoma magari yenu ya vita katika moshi, na upanga utateketeza simba wenu vijana. Nitazuia nyara zenu kutoka kwenye nchi yangu, na sauti za wajumbe wenu hazitasikika tena.”
اما الان یهوه صبایوت می‌گوید: «من به ضدتو هستم و ارابه هایش را به دود خواهم سوزانید وشمشیر، شیران ژیان تو را هلاک خواهد ساخت و شکار تو را از زمین منقطع خواهم نمود و آوازایلچیانت دیگر مسموع نخواهد شد.»۱۳

< Nahumu 2 >