< Nahumu 2 >

1 Yule ambaye atakuharibu vipande vipande anakuja dhidi yako. Linda kuta za mji, linda barabara, jitieni nguvu ninyi wenyewe, yakusanyeni majeshi yenu.
因為上主要恢復雅各伯的葡萄園,因為劫掠者搶掠了他們,且破壞了他們的葡萄蔓。
2 Maana Yehova anarejesha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa wateka nyara waliwaharibu na kuharibu matawi ya zabibu zao.
尼尼微,有個破壞者上來攻擊你,你應把守堡壘,防守要道,朿緊你的腰,集中你的全力!
3 Ngao za mashujaa wake ni nyekundu, na watu hodari wamevaa nguo nyekundu; magari ya vita yameandaliwa yanang'ara kwenye vyuma vyake wakati wa mchana, na mikuki ya mivinje inarushwa hewani.
他勇士的盾牌是赤色的,戰士穿的衣服是深紅的;在他整裝待發之日,戰車閃爍如火,騎士疾馳如飛。
4 Magari ya vita yapo kasi kwenye mitaa; yanakimbia mbele na nyuma katika mitaa. Yapo kama kurunzi, na yanakimbia kama radi.
戰車在大路上奔馳,在廣場上疾駛,形狀有如火炬,疾行有如閃電。
5 Yule ambaye atakuvunja vipande vipande anawaita maafisa wake; wanajikwaa kila mmoja kwa mwingine katika kutembea kwao; wanaharakisha kuushambulia ukuta wa mji. Ngao kubwa imetayarishwa kujikinga na hawa washambuliaji.
亞述王召集了他的精銳,而他們卻在行軍時顛仆;急忙跑近城堡,但高楯已舉起。
6 Malango kwenye mito yamelazishwa kufunguka, na jumba la mfalme linaanguka kwenye uharibifu.
河閘打開了,皇宮大為震驚。
7 Husabu amevuliwa mavazi yake na amachukuliwa; watumishi wake wa kike wanaomboleza kama njiwa, wanavipiga vifua vyao.
漆布裸體被擄去,她的使女們呻吟如鴿,各自搥胸。
8 Ninawi ni kama bwawa la maji linalovuja, watu wake kwa pamoja wanakimbia kama maji yanayotiririka. Wengine wanasema, “Simama, simama,” lakini hakuna anayegeuka nyuma.
尼尼微好似一個水池,池水洶湧流出,出有人喊:「止住! 止住! 」但無一人回顧。
9 Chukua nyara ya fedha, kuchua nyara ya dhahabu, maana hakuna mwisho wake, kwa fahari ya vitu vyote vizuri vya Ninawi.
「你們搶奪銀子,搶奪金子! 」有無盡的寶藏,有無數的珍器。
10 Ninawi ipo tupu na imeharibiwa. Moyo wa kila mtu unayeyuka, magoti ya kila mmoja yanagongana pamoja, na uchungu upo kwa kila mmoja; sura zao wote zimepauka.
搶掠、洗劫。蹂躪! 人心沮喪,兩膝打顫,雙腰發抖,面無血色。
11 Sasa liko wapi pango la simba, sehemu ambapo simba wadogo hula chakula, sehemu ambapo simba dume na simba jike walitembea, pamoja wana-simba, ambapo hawakuogopa kitu chochote?
獅子穴,幼獅洞,今在何處﹖哪裏原是雄獅、母獅和幼獅出竹之所,無人敢驚它們!
12 Simba alirarua mawindo yake vipande vipande kwa ajili ya watoto wake; aliwanyonga mawindo wake kwa ajili ya wake zake, na kulijaza pango lake mawindo, makao yake kwa mizoga iliyoraruliwa.
雄獅曾為幼獅撕裂獵物,為母獅扼死野獸,將獵物簊滿牠的洞穴,將掠物充塞牠的窟穴。
13 “Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi. Nitayachoma magari yenu ya vita katika moshi, na upanga utateketeza simba wenu vijana. Nitazuia nyara zenu kutoka kwenye nchi yangu, na sauti za wajumbe wenu hazitasikika tena.”
看,我必攻擊你! ──上主的斷語──我要在濃煙中燒毀你的洞穴,使刀劍吞食你的幼獅,由地上掃除你的掠物,令人再也聽不到你使者的聲音。

< Nahumu 2 >