< Nahumu 1 >
1 Maono kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono ya Nahumu, Mwelkoshi.
Oracle sur Ninive. Livre de la prophétie de Nahoum l’Elkosite:
2 Yehova ni Mungu mwenye wivu na analipa kisasi; Yehova hulipa kisasi na amejaa ghadhabu; Yohova analipiza kisasi kwa adui zake, na huiendeleza hasira yake kwa adui zake.
"L’Eternel est un Dieu jaloux et vengeur; oui, l’Eternel se venge, il est capable de se courroucer: l’Eternel se venge de ses adversaires et il garde rancune à ses ennemis.
3 Yehova ni mwenye nguvu nyingi na mpole wa hasira; hatakuwa na namna ya kuacha kuwahesabia hatia adui zake. Yehova hufanya njia yake kwenye upepo wa kisulisuli na dhoruba, na mawingu ni mavumbi ya miguu yake.
L’Eternel est tardif à la colère, d’une grande force de patience; mais il n’absout pas complètement le mal: l’Eternel marque sa route par la tempête et l’ouragan; la nuée est la poussière de ses pieds.
4 Huikemea bahari na kuifanya ikauke; hukausha mito yote. Bashani ni dhaifu, na Karmeli pia; maua ya Lebanoni ni dhaifu.
Il menace la mer et la dessèche, il fait tarir tous les fleuves: le Basan et le Carmel deviennent arides et la fleur du Liban se fane.
5 Milima hutetema kwenye uwepo wake, na vilima huyeyuka; dunia huanguka mbele zake, kabisa, dunia na watu wote wanaoishi ndani yake.
Les montagnes tremblent devant lui et les collines se liquéfient. La terre se soulève à son aspect, l’univers et tout ce qui l’habite.
6 Ni nani anaweza kusimama mbele ya ghadhabu yake? Nani anaweza kuzuia ukali wa hasira yake? Ghadhabu yake imemwagwa kama moto, na miamba ameibomoa mbalimbali.
Devant son courroux qui peut tenir ferme? Qui peut résister à l’ardeur de sa colère? Sa fureur se répand comme le feu, les rochers éclatent devant lui.
7 Yehova ni mwema, boma katika siku ya taabu; na yeye ni mwaminifu kwa wale wanaomkimbilia.
L’Eternel est bon, il devient un refuge au jour de la détresse; il protège ceux qui se confient en lui.
8 Lakini atafanya mwisho wa adui zake kwa mafuriko ya kutisha; atawawinda kwenye giza.
Mais par le cours impétueux des flots, il balaie les assises de la ville, et ses ennemis, il les rejette violemment dans les ténèbres.
9 Watu wanapanga nini dhidi ya Yehova? Yeye atakomesha; taabu haitainuka mara ya pili.
Que méditez-vous contre l’Eternel? Il va consommer la ruine. Le désastre ne s’y prendra pas à deux fois.
10 Maana watakuwa wamevurugika kama michongoma; wataloweshwa katika kinywaji chao mwenyewe; wataharibiwa kabisa kwa moto kama mashina ya mabua.
Car fussent-ils aussi enchevêtrés que des épines et tout imbibés de leurs boissons, ils seront consumés comme du chaume entièrement sec.
11 Mtu mmoja aliinuka miongoni mwenu, Ninawi, aliyepanga ubaya dhidi ya Yehova, mtu ambaye aliimarisha uovu.
C’Est de toi qu’est sorti celui qui nourrissait de mauvaises pensées contre l’Eternel: il formait d’exécrables projets.
12 Hivi ndivyo anavyosema Yehova, “Hata kama wananguvu zao timilifu na idadi timilifu, hata hivyo watanyolewa, watu wao hawatakuwepo tena. Bali wewe, Yuda: Ingawa nimekutesa, sitakutesa tena.
Ainsi parle l’Eternel: Si nombreux et puissants qu’ils soient, ils seront quand même fauchés, et c’en sera fini. Je t’accablerai et n’aurai pas besoin de t’accabler une seconde fois.
13 Sasa nitaivunja ile nira ya watu kutoka kwako; nitaikata minyororo yako.
Et ainsi je briserai son joug qui pesait sur toi, et je romprai tes liens.
14 Yehova ametoa amri juu yako, Ninawi: “Hakutakuwa na kizazi tena chenye kubeba jina lako. Nitazizuia sanamu zilizochongwa na kuziondoa sanamu za chuma kutoka kwenye nyumba za miungu yenu. Nitachimba makaburi yenu, kwa kudharauliwa kwenu.”
Mais contre toi l’Eternel rend ce décret: Nul rejeton, se rattachant à ton nom, ne sortira plus de toi; de la maison de ton dieu j’extirperai images sculptées et statues de fonte, et j’en ferai ton tombeau, car tu es bien peu de chose."
15 Tazama, juu ya milima kuna miguu ya mtu aletaye habari njema, anayetangaza amani! Sherehekeeni sikukuu zenu, Yuda, na tunzeni nadhiri zenu, kwa maana mwovu hatawavamia tena; ameondolewa kabisa.
Voici venir sur les montagnes les pieds du porteur de bonnes nouvelles, qui annonce la paix. Célèbre tes fêtes, ô Juda, acquitte-toi de tes vœux, car le malfaiteur ne passera plus sur toi, il est totalement exterminé.