< Nahumu 1 >

1 Maono kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono ya Nahumu, Mwelkoshi.
Oracle sur Ninive. Livre de la Vision de Nahum d’Elqosch.
2 Yehova ni Mungu mwenye wivu na analipa kisasi; Yehova hulipa kisasi na amejaa ghadhabu; Yohova analipiza kisasi kwa adui zake, na huiendeleza hasira yake kwa adui zake.
C’est un Dieu jaloux et vengeur que Yahweh; vengeur est Yahweh et connaissant le courroux; Yahweh se venge de ses adversaires, et garde rancune à ses ennemis.
3 Yehova ni mwenye nguvu nyingi na mpole wa hasira; hatakuwa na namna ya kuacha kuwahesabia hatia adui zake. Yehova hufanya njia yake kwenye upepo wa kisulisuli na dhoruba, na mawingu ni mavumbi ya miguu yake.
Yahweh est patient et grand en force, et il n’accorde pas l’impunité. Yahweh marche dans la tempête et dans l’ouragan, et la nuée est la poussière de ses pieds.
4 Huikemea bahari na kuifanya ikauke; hukausha mito yote. Bashani ni dhaifu, na Karmeli pia; maua ya Lebanoni ni dhaifu.
Il menace la mer et il la dessèche, et il fait tarir tous les fleuves. Basan et le Carmel sont flétris, flétrie est la végétation du Liban.
5 Milima hutetema kwenye uwepo wake, na vilima huyeyuka; dunia huanguka mbele zake, kabisa, dunia na watu wote wanaoishi ndani yake.
Les montagnes tremblent devant lui, et les collines se fondent; la terre se soulève devant sa face, le monde et tous ceux qui l’habitent.
6 Ni nani anaweza kusimama mbele ya ghadhabu yake? Nani anaweza kuzuia ukali wa hasira yake? Ghadhabu yake imemwagwa kama moto, na miamba ameibomoa mbalimbali.
Devant sa fureur qui subsistera, qui tiendra contre l’ardeur de sa colère? Son courroux se répand comme le feu, et les rochers se brisent devant lui.
7 Yehova ni mwema, boma katika siku ya taabu; na yeye ni mwaminifu kwa wale wanaomkimbilia.
Yahweh est bon; il est un refuge au jour de la détresse, et il connaît ceux qui se confient en lui.
8 Lakini atafanya mwisho wa adui zake kwa mafuriko ya kutisha; atawawinda kwenye giza.
Par un flot débordant il détruira entièrement ce lieu, et il poursuivra ses ennemis jusque dans les ténèbres.
9 Watu wanapanga nini dhidi ya Yehova? Yeye atakomesha; taabu haitainuka mara ya pili.
Quelles sont vos pensées sur Yahweh? Il consommera la ruine; la détresse ne surgira pas deux fois.
10 Maana watakuwa wamevurugika kama michongoma; wataloweshwa katika kinywaji chao mwenyewe; wataharibiwa kabisa kwa moto kama mashina ya mabua.
Car, entrelacés comme des épines, et comme ivres de leur vin, ils seront consumés comme de la paille toute sèche.
11 Mtu mmoja aliinuka miongoni mwenu, Ninawi, aliyepanga ubaya dhidi ya Yehova, mtu ambaye aliimarisha uovu.
De toi est sorti celui qui médite le mal contre Yahweh, celui qui forme des desseins criminels.
12 Hivi ndivyo anavyosema Yehova, “Hata kama wananguvu zao timilifu na idadi timilifu, hata hivyo watanyolewa, watu wao hawatakuwepo tena. Bali wewe, Yuda: Ingawa nimekutesa, sitakutesa tena.
Ainsi parte Yahweh: Bien qu’ils soient intacts et nombreux, ils seront moissonnés et disparaîtront. Je t’ai humiliée et je ne t’humilierai plus.
13 Sasa nitaivunja ile nira ya watu kutoka kwako; nitaikata minyororo yako.
Et maintenant, ô Juda, je briserai son joug de dessus toi, et je romprai tes liens.
14 Yehova ametoa amri juu yako, Ninawi: “Hakutakuwa na kizazi tena chenye kubeba jina lako. Nitazizuia sanamu zilizochongwa na kuziondoa sanamu za chuma kutoka kwenye nyumba za miungu yenu. Nitachimba makaburi yenu, kwa kudharauliwa kwenu.”
Quant à toi, voici ce qu’a ordonné Yahweh: Il n’y aura plus de postérité de ton nom; je détruirai de la maison de ton Dieu les images taillées et celles de fonte; je prépare ton sépulcre, parce que tu as été léger.
15 Tazama, juu ya milima kuna miguu ya mtu aletaye habari njema, anayetangaza amani! Sherehekeeni sikukuu zenu, Yuda, na tunzeni nadhiri zenu, kwa maana mwovu hatawavamia tena; ameondolewa kabisa.
Voici sur les montagnes les pieds d’un messager de bonnes nouvelles, qui annonce la paix. Célèbre tes fêtes, ô Juda, accomplis tes vœux! Car il ne passera plus chez toi; le méchant est entièrement détruit.

< Nahumu 1 >