< Mika 1 >
1 Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Mika Mmorashti katika siku za Yotahamu, Ahazi, na Hezekeia, mfalme wa Yuda, lile neno aliloliona kuhusiana na Samaria na Yerusalemu.
Judah siangpahrang Jotham, Ahaz hoi Hezekiah, a bawinae kum dawk Morashtite tami Mikah koe ka tho e Cathut e Lawk Samaria hoi Jerusalem kong hoi kâkuen e teh,
2 Sikilizeni, ninyi watu wote. Sikilizeni, dunia, na vyote vilivyomo kwenye dunia. Acheni Yahwe ashuhudiwe dhidi yenu, Bwana kutoka kwenye hekalu lake takatifu.
Taminaw pueng thai awh haw, khocaramcanaw thai awh haw, Bawipa Jehovah kathounge bawkim hoi BAWIPA teh nangmouh na kapanuekkhaikung lah ao han.
3 Tazama, Yahwe anakuja kutoka mahali pake; atashuka chini na kupakanyaga mahali pa juu katika dunia.
BAWIPA teh a onae hmuen koehoi a tâco a kum vaiteh, karasangnaw hah a coungroe han.
4 Milima itayeyuka chini yake; mabonde yatapasuka vipande vipande kama mshumaa mbele ya moto, kama maji ambayo yamemwagika chini ya mteremko mkali.
Hmai ni khoilai a daw teh atui lah a lawng e patetlah ravopui dawk hoi kalawng e tui patetlah ka hmalah monnaw ni a kamyawt awh han, ayawnnaw hai a kâraue han.
5 Haya yote ni kwasababu ya uasi wa Yakobo, na kwasababu ya dhambi za nyumba ya Israeli. Je sababu ilikuwa nini kwa uasi wa Yakobo? Je ilikuwa Samaria? Je sababu ilikuwa nini kwa mahali pa juu pa Yuda? Je haiukuwa Yerusalemu?
Hete hnonaw pueng heh Jakop lawk eknae kecu dawk hoi Isarel imthungnaw a yon awh dawk doeh. Jakop lawk eknae bangne, Samaria nahoehmaw. Judah hmuen karasangpoung e nâne ao. Jerusalem nahoehmaw.
6 “Nitaifanya Samaria rundo la uharibifu katika shamba, kama eneo la kupandia mizabibu. Nitayavuta mawe ya jengo lake kwenda kwenye bonde; Nitaifunua misingi yake.
Hatdawkvah, Samaria khopui teh laikawk dawk e talai pâpawp e patetlah ka o sak han, Misur takha patetlah ka o sak han. Rapan talungnaw ayawn dawk ka rabawk han. Rapan adu hah kamnue sak han.
7 Sanamu zake zote za kuchonga zitapondwa vipande vipande; na zawadi zake zote zitachomwa moto. Kwa kuwa zawadi zake za ukahaba amezikusanya, na kama malipo ya ukahaba yatarudi.”
Meikaphawk bawknae pueng reppasei lah ka hruek pouh han. A tawksaknae aphu pueng hmai ka sawi pouh han. Cathutkaphawk pueng be ka raphoe pouh han. Takkâyonae lahoi hnopai a tawn dawkvah, hote hnopainaw teh kâyawt e kut dawk bout a pha han.
8 Kwa sababu hii nitalia na kuomboleza; nitaenda peku peku na uchi; Nitaomboleza kama mbeha na kuomboleza kama bundi.
Hote kong dawk kai teh ka khui ka ka han. Caici lahoi ka cei ka o han. Kahrawnguinaw patetlah ka hram teh, Kalauk tava patetlah ka cai han.
9 Kwa kuwa jeraha lake haliponi, kwa kuwa imefika kwa Yuda. Imefikia lango la watu wangu, hadi Yerusalemu.
A hmâ teh dam thai hoeh, Judah ram totouh a kâkai awh vaiteh, ka miphun a onae hmuen Jerusalem khopui longkha totouh a pha toe.
10 Msiache kuwambia kuhusu katika Gathi; msilie tena. Katika Bethi Leafra nabiringisha mwenyewe kwenye mavumbi.
Gath khopui dawk thaisak awh hanh, khoeroe kap awh hanh. Bet Aphrah vah vaiphu dawk kamlet awh.
11 Piteni karibu na, makao ya Shafiri, katika uchi na aibu. Makazi ya Zaanani hayatatoka nje. Maombolezo ya Beth Ezeli, kwa ajili ya ulinzi yamechukuliwa.
Oe Saphir taminaw caici lah cet awh, Zaanan taminaw khuika laihoi tâcawt awh hanh. Bethezel khopui dawk na roe awh nahane kâ na poe awh mahoeh.
12 Kwa kuwa wakaaji wa Marothi hungoja habari njema, kwa sababu hofu, kwa sababu msiba umetoka kwa Yahwe hadi kwenye malango ya Yerusalemu.
Maroth tami ni hai hnokahawi a doun teh a ring eiteh Cathut koehoi e rucatnae lah Jerusalem longkha totouh a pha toe.
13 Wfuungeni lijamu farasi wakokote gari la farasi, makazi ya Lakishi. Wewe Lakishi, ulikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni, kwa kuwa makosa ya Israeli yalionekana kwako.
Oe, Lakhish canu karang poung e marang dawk rangleng hah thueng haw, nang ni Isarelnaw e yonnae hah na kamtu awh teh Zion canunaw hah na yon sak awh.
14 Hivyo utaipa zawadi ya kuagia Moreshethi Gathi; mji wa Akzibu utawavunja moyo wafalme wa Israeli.
Hatdawkvah, Gath ram Moreseth koe poehno na poe han. Akhazib khocanaw ni Isarel siangpahrangnaw hah a dumyen awh han.
15 Tena nitaleta ushindi kwako, makazi ya Maresha; uzuri wa Israeli utakuja Adulamu.
Oe, Mareshah kho kaawm e taminaw râw ka coe hane tami kai ni kakaw vaiteh, Isarel bawilennae Adullam kho dawk a pha han.
16 Kata kipara chako na kata nywele zako kwa ajili ya watoto ambao unaowafurahisha. Fanya kipara chako mwenyewe kama tai, kwa ajili ya watoto wako watakao kwenda utumwani kutoka kwako
Ngai kaawm e canu capanaw teh san lah na man awh toung dawk, lû luengpalueng lah ngaw awh. Langta patetlah luengpalueng lah awm awh.