< Mika 7 >

1 Ole wangu! Kwangu mimi ni kama msimu wa mavuno ulipokwisha, na pia makombo ya mavuno ya zabibu kwenye shamba la mizabibu: Hakuna tena kishamba cha matunda kinachoonekana, hakuna matini ya malimbuka ambayo ninayoyatamani.
Ack! det går mig lika som enom, den der efterhemtar i en vingård, der man inga vindrufvor finner till att äta, och ville dock gerna hafva den bästa fruktena.
2 Watu waaminifu wamepotelea kutoka kwenye nchi, hakuna mtu mwadilifu katika wanadamu wote. Wote hudanganya katika kusubiri kumwaga damu; kila mtu humuwinda ndugu yake mwenyewe kwa wavu.
Gode män äro borto i desso lande och de rättfärdige äro intet mer ibland folket. De fara alle efter att utgjuta blod; hvar och en jagar den andra, att han skall förderfva honom;
3 Mikono yao ni mizuri mno kwa kufanya madhara. watawala huuliza pesa, hakimu yuko tayari kwa rushwa, na mtu mwenye nguvu anawaambia wengine kile anachokitaka kujipatia. Hivyo ndivyo waundavyo kwa pamoja.
Och mena, att de göra der väl utinnan, när de ondt göra. Hvad Försten vill, det säger domaren, på det han skall göm honom en tjenst igen. De väldige tala efter sin egen vilja, till att göra skada, och vrängat hvart de vilja.
4 Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama mche wa miba. Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi wako, siku ya hukumu. Sasa ni mda wa machafuko.
Den aldrabäste ibland dem är såsom törne, och den aldraredeligaste såsom tistel; men då dina predikares dag kommer, när du skall hemsökt varda, så skola de icke veta hvart de skola.
5 Msimwamini kila jirani; msimuweke kiongozi katika rafiki yeyote. Kuweni makini kuhusiana na kile msemacho hata kwa mwanamke ambaye adanganyaye kwenye mikono yenu.
Ingen tro sinom nästa; ingen förlåte sig uppå Förstan. Förvara dins muns dörr för henne, som sofver på dinom arm.
6 Kwa kuwa mwana humfedhehesha baba yake, binti huinuka kushindana na mama yake, na mke wa mwana wa kiume hushindana na mama mkwe wake. Adui wa watu ni watu wa nyumba yake mwenyewe.
Ty sonen föraktar fadren; dottren sätter sig upp emot modrena; sonahustrun är emot sin sväro, och menniskones fiender äro hennes eget husfolk.
7 Lakini kama kwangu mimi, nitamtazama Yahwe. Nitamsubiri Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu ataniskia.
Men jag vill se efter Herran, och vänta efter Gud, min Frälsare. Min Gud skall höra mig.
8 Usifurahi juu yangu, adui yangu. Niangukapo, nitainuka. Wakati nitakapokuwa nimekaa katika giza, Yahwe atakuwa mwanga kwangu.
Fröjda dig intet, min fiendska, att jag nedre ligger; jag skall låter uppkomma; och om jag sitter i mörkret, så är dock Herren mitt ljus.
9 Kwasababu nimetenda dhambi dhidi ya Yahwe, nitachukua ghadhabu yake hata aniteteapo kosa langu, na kutekeleza hukumu kwa ajili yangu. Atanileta kwenye nuru, na nitamwona akiniokoa kwenye haki yake.
Jag vill bära Herrans vrede, ty jag hafver syndat emot honom, tilldess han uträttar mina sak, och skaffar mig rätt. Han skall föra mig uti ljuset, så att jag skall se mina lust uppå hans nåd.
10 Kisha adui yangu atakapoliona hilo, na aibu itamfunika yule aliyeniambia, “Yahwe Mungu wako yuko wapi?” macho yangu yatamtazama; atakanyagwa chini kama tope kwenye mitaa.
Min fiendska måste det se, och bestå med allo skam, den nu till mig säger: Hvar är Herren din Gud? Min ögon skola set att hon, såsom en träck på gatomen, förtrampad varder.
11 Siku ya ya kujenga kuta zako zitafika; siku hiyo mipaka itasogezwa mbali sana.
På den tiden skola dille murar uppbyggde varda, och Guds ord vida utkomma.
12 Siku hiyo watu watakuja kwako, kutoka Ashuru na miji katika Misri, kutoka Misri hata mto mkubwa, kutoka bahari kwenda bahari, na kutoka mlima kwenda mlima.
Och uti samma tidenom skola de af Assur, och de af de fasta städer komma till dig, ifrå de fasta städer allt intill flodena; ifrå det ena hafvet intill det andra, ifrå det ena berget intill det andra.
13 Hizo nchi zitakuwa zimejitenga kwasababu ya watu ambao wanaishi huko sasa, kwasababu ya tunda la matendo yao.
Ty landet skall öde varda för sina inbyggares skull, och för deras gerningars frukts skull.
14 Chunga watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako. Wanaishi wenyewe kwenye msitu, katikati ya msitu. Wachunge katika Bashani na Gileadi kama siku za zamani.
Men regera du ditt folk med dinom staf, din arfvedels hjord, både de som bo uti skogenom allena, och på åkermarkene; lät dem födas i Hasan och Gilead, såsom af ålder.
15 Kama katika siku wakati mlipotoka nje ya nchi ya Misri, nitawaonyesha maajabu.
Jag skall låta dem se under, lika som på den tid då de drogo utur Egypti land;
16 Mataifa yataona na kuwa na aibu ya nguvu zao zote. Wataweka mikono yao kwenye midomo yao; masikio yao yatakuwa kiziwi.
Att Hedningarna skola det se, och alle deras väldige skämma sig, och lägga handena på sin mun, och tillhålla sin öron.
17 Watalamba vumbi kama nyoka, kama viumbe vitaambavyo juu ya nchi. Watatoka nje kwenye maficho kwa hofu; watakuja kwako kwa hofu, Yahwe Mungu wetu, na wataogopa kwa sababu yako.
De skola sleka stoft såsom ormar, och darra såsom matkar på jordene uti sin hål; de skola frukta sig för Herranom vårom Gud, och förskräckas för dig.
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe, wewe uchukuaye dhambi, wewe upitaye juu ya kosa la mabaki ya mrithi wako? Hutunzi hasira yako milele, kwa sababu unapenda kutuonyesha agano lako la aminifu.
Ho är en sådana Gud, som du äst; den der synder förlåter, och tillgifver dinom igenlefda arfvedel deras misshandel? Den icke behåller sina vrede evinnerliga; ty han är barmhertig.
19 Tena utakuwa na huruma juu yetu; utayakanyaga maovu chini ya miguu yako. Utazitupa dhambi zetu zote kwenye vilindi vya bahari.
Han skall ännu förbarma sig öfver oss, slå våra missgerningar neder, och kasta alla våra synder uti hafsens djup.
20 Utampatia ukweli Yakobo na agano aminifu kwa Abrahamu, ulipoapa kwa babu zetu katika siku za kale.
Du skall hålla Jacob trohet, och Abraham den nåd, som du våra fäder i förtiden svorit hafver.

< Mika 7 >