< Mika 7 >

1 Ole wangu! Kwangu mimi ni kama msimu wa mavuno ulipokwisha, na pia makombo ya mavuno ya zabibu kwenye shamba la mizabibu: Hakuna tena kishamba cha matunda kinachoonekana, hakuna matini ya malimbuka ambayo ninayoyatamani.
Gorje meni! Kajti sem kakor, ko so zbrali poletne sadove, kakor paberkovanje grozdne trgatve. Tam ni nobenega grozda, da bi ga jedel; moja duša si je želela prvi sad.
2 Watu waaminifu wamepotelea kutoka kwenye nchi, hakuna mtu mwadilifu katika wanadamu wote. Wote hudanganya katika kusubiri kumwaga damu; kila mtu humuwinda ndugu yake mwenyewe kwa wavu.
Dober človek je izginil z zemlje in nobenega poštenega ni med ljudmi. Vsi v zasedi prežijo na kri, vsak svojega brata z mrežo lovi.
3 Mikono yao ni mizuri mno kwa kufanya madhara. watawala huuliza pesa, hakimu yuko tayari kwa rushwa, na mtu mwenye nguvu anawaambia wengine kile anachokitaka kujipatia. Hivyo ndivyo waundavyo kwa pamoja.
Da lahko počnejo zlo, iskreno, z obema rokama. Princ zahteva in sodnik povprašuje po nagradi. In velik človek, on izreka svojo pogubno željo. Tako to sprevračajo.
4 Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama mche wa miba. Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi wako, siku ya hukumu. Sasa ni mda wa machafuko.
Najboljši izmed njih je kakor osat. Najpokončnejši je ostrejši, kakor trnova ograja. Dan tvojih stražarjev in tvojega obiskanja prihaja; sedaj bo [to] njihova zmedenost.
5 Msimwamini kila jirani; msimuweke kiongozi katika rafiki yeyote. Kuweni makini kuhusiana na kile msemacho hata kwa mwanamke ambaye adanganyaye kwenye mikono yenu.
Ne zaupaj prijatelju, ne položi zaupanja v vodiča, varuj vrata svojih ust pred njo, ki leži v tvojem naročju.
6 Kwa kuwa mwana humfedhehesha baba yake, binti huinuka kushindana na mama yake, na mke wa mwana wa kiume hushindana na mama mkwe wake. Adui wa watu ni watu wa nyumba yake mwenyewe.
Kajti sin ne spoštuje očeta, hči se vzdiguje zoper svojo mater, snaha zoper svojo taščo. Človeku so sovražniki ljudje iz njegove lastne hiše.
7 Lakini kama kwangu mimi, nitamtazama Yahwe. Nitamsubiri Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu ataniskia.
Zatorej bom gledal h Gospodu, čakal bom na Boga rešitve moje duše. Moj Bog me bo slišal.
8 Usifurahi juu yangu, adui yangu. Niangukapo, nitainuka. Wakati nitakapokuwa nimekaa katika giza, Yahwe atakuwa mwanga kwangu.
Ne razveseljuj se zoper mene, oh moja sovražnica. Ko padem, bom vstal; ko sedim v temi, mi bo Gospod svetloba.
9 Kwasababu nimetenda dhambi dhidi ya Yahwe, nitachukua ghadhabu yake hata aniteteapo kosa langu, na kutekeleza hukumu kwa ajili yangu. Atanileta kwenye nuru, na nitamwona akiniokoa kwenye haki yake.
Prenašal bom Gospodovo ogorčenje, ker sem grešil zoper njega, dokler ne brani mojega primera in ne izvrši sodbe zame. Privedel me bo k svetlobi in gledal bom njegovo pravičnost.
10 Kisha adui yangu atakapoliona hilo, na aibu itamfunika yule aliyeniambia, “Yahwe Mungu wako yuko wapi?” macho yangu yatamtazama; atakanyagwa chini kama tope kwenye mitaa.
Potem bo tista, ki je moja sovražnica, to videla in sramota bo pokrila tisto, ki mi je rekla; ›Kje je Gospod, tvoj Bog?‹ Moje oči jo bodo gledale. Sedaj bo pomendrana kakor ulično blato.
11 Siku ya ya kujenga kuta zako zitafika; siku hiyo mipaka itasogezwa mbali sana.
Na dan, ko naj bi bili zgrajeni tvoji zidovi, na tisti dan bo odlok odstranjen daleč.
12 Siku hiyo watu watakuja kwako, kutoka Ashuru na miji katika Misri, kutoka Misri hata mto mkubwa, kutoka bahari kwenda bahari, na kutoka mlima kwenda mlima.
Na ta dan bo tudi on prišel k tebi, celo iz Asirije in od utrjenih mest in od trdnjave, celo do reke in od morja do morja in od gore do gore.
13 Hizo nchi zitakuwa zimejitenga kwasababu ya watu ambao wanaishi huko sasa, kwasababu ya tunda la matendo yao.
Vendar bo dežela zapuščena zaradi tistih, ki prebivajo v njej, zaradi sadov njihovih početij.
14 Chunga watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako. Wanaishi wenyewe kwenye msitu, katikati ya msitu. Wachunge katika Bashani na Gileadi kama siku za zamani.
Pasi svoje ljudstvo s svojo palico, trop svoje dediščine, ki prebiva osamljeno v goščavi, v sredi Karmela. Naj se pasejo v Bašánu in Gileádu, kakor v dneh davnine.
15 Kama katika siku wakati mlipotoka nje ya nchi ya Misri, nitawaonyesha maajabu.
Kakor v dneh tvojega prihoda iz egiptovske dežele mu bom pokazal čudovite stvari.
16 Mataifa yataona na kuwa na aibu ya nguvu zao zote. Wataweka mikono yao kwenye midomo yao; masikio yao yatakuwa kiziwi.
Narodi bodo videli in bodo zbegani ob vsej njihovi moči. Svojo roko bodo položili na svoja usta, njihova ušesa bodo gluha.
17 Watalamba vumbi kama nyoka, kama viumbe vitaambavyo juu ya nchi. Watatoka nje kwenye maficho kwa hofu; watakuja kwako kwa hofu, Yahwe Mungu wetu, na wataogopa kwa sababu yako.
Prah bodo lizali kakor kača, iz svojih lukenj bodo prilezli kakor črvi zemlje. Bali se bodo Gospoda, našega Boga in bali se bodo zaradi tebe.
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe, wewe uchukuaye dhambi, wewe upitaye juu ya kosa la mabaki ya mrithi wako? Hutunzi hasira yako milele, kwa sababu unapenda kutuonyesha agano lako la aminifu.
Kdo je Bog, podoben tebi, ki oprošča krivičnost in gre mimo prestopka, preostanka svoje dediščine? Svoje jeze ne ohranja na veke, ker se razveseljuje v usmiljenju.
19 Tena utakuwa na huruma juu yetu; utayakanyaga maovu chini ya miguu yako. Utazitupa dhambi zetu zote kwenye vilindi vya bahari.
Ponovno se bo obrnil, nad nami bo imel sočutje, podjarmil bo naše krivičnosti in vse njihove grehe boš vrgel v globine morja.
20 Utampatia ukweli Yakobo na agano aminifu kwa Abrahamu, ulipoapa kwa babu zetu katika siku za kale.
Jakobu boš izvršil resnico in Abrahamu usmiljenje, ki si ga od dni davnine prisegel našim očetom.

< Mika 7 >