< Mika 7 >

1 Ole wangu! Kwangu mimi ni kama msimu wa mavuno ulipokwisha, na pia makombo ya mavuno ya zabibu kwenye shamba la mizabibu: Hakuna tena kishamba cha matunda kinachoonekana, hakuna matini ya malimbuka ambayo ninayoyatamani.
Biada mnie! żem jako ostatki po sprzątanieniu owoców letnich, jako pozostałe grona po zbieraniu wina; niemasz grona ku zjedzeniu, pierwocin z owocu pragnie dusza moja.
2 Watu waaminifu wamepotelea kutoka kwenye nchi, hakuna mtu mwadilifu katika wanadamu wote. Wote hudanganya katika kusubiri kumwaga damu; kila mtu humuwinda ndugu yake mwenyewe kwa wavu.
Pobożny z ziemi zginął, a szczerego niemasz między ludźmi; wszyscy zgoła o wylaniu krwi myślą, każdy łowi siecią brata swego.
3 Mikono yao ni mizuri mno kwa kufanya madhara. watawala huuliza pesa, hakimu yuko tayari kwa rushwa, na mtu mwenye nguvu anawaambia wengine kile anachokitaka kujipatia. Hivyo ndivyo waundavyo kwa pamoja.
Co złego robią rękoma, chcą, aby to za dobre uszło; książę podatków żąda, a sędzia z datku sądzi, a kto możny jest, ten mówi przewrotność duszy swojej, i w gromadę ją plotą.
4 Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama mche wa miba. Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi wako, siku ya hukumu. Sasa ni mda wa machafuko.
Najlepszy z nich jest jako oset, najszczerszy przechodzi ciernie; dzień stróżów twoich i nawiedzenia twego przychodzi; już nastanie powikłanie ich.
5 Msimwamini kila jirani; msimuweke kiongozi katika rafiki yeyote. Kuweni makini kuhusiana na kile msemacho hata kwa mwanamke ambaye adanganyaye kwenye mikono yenu.
Nie wierzcie przyjacielowi, ani ufajcie wodzowi; przed tą, która leży na łonie twojem, strzeż drzwi ust swoich.
6 Kwa kuwa mwana humfedhehesha baba yake, binti huinuka kushindana na mama yake, na mke wa mwana wa kiume hushindana na mama mkwe wake. Adui wa watu ni watu wa nyumba yake mwenyewe.
Bo syn lekce waży ojca, a córka powstaje przeciwko matce swej, synowa przeciwko świekrze swej, a nieprzyjaciele każdego są domownicy jego.
7 Lakini kama kwangu mimi, nitamtazama Yahwe. Nitamsubiri Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu ataniskia.
Przetoż ja na Pana patrzyć będę, oczekiwać będę Boga zbawienia mego; Bóg mój wysłucha mię.
8 Usifurahi juu yangu, adui yangu. Niangukapo, nitainuka. Wakati nitakapokuwa nimekaa katika giza, Yahwe atakuwa mwanga kwangu.
Nie wesel się ze mnie, nieprzyjaciółko moja! jeźlim upadła, powstanę; jeźli siedzę w ciemnościach, Pan jest światłością moją.
9 Kwasababu nimetenda dhambi dhidi ya Yahwe, nitachukua ghadhabu yake hata aniteteapo kosa langu, na kutekeleza hukumu kwa ajili yangu. Atanileta kwenye nuru, na nitamwona akiniokoa kwenye haki yake.
Gniew Pański poniosę: bom przeciwko niemu zgrzeszył, aż się wżdy zastawi o sprawę moję, a wykona sąd mój: wywiedzie mię na światło, ujrzę sprawiedliwość jego.
10 Kisha adui yangu atakapoliona hilo, na aibu itamfunika yule aliyeniambia, “Yahwe Mungu wako yuko wapi?” macho yangu yatamtazama; atakanyagwa chini kama tope kwenye mitaa.
Ujrzy to nieprzyjaciółka moja, a wstyd okryje tę, która do mnie mówi: Gdzież jest Pan, Bóg twój? Oczy moje na nią patrzyć będą, gdy jako błoto na ulicach podeptana będzie.
11 Siku ya ya kujenga kuta zako zitafika; siku hiyo mipaka itasogezwa mbali sana.
Dnia onego, którego pobudowane będą parkany twoje, dnia onego, mówię, daleko się wyrok rozejdzie.
12 Siku hiyo watu watakuja kwako, kutoka Ashuru na miji katika Misri, kutoka Misri hata mto mkubwa, kutoka bahari kwenda bahari, na kutoka mlima kwenda mlima.
Onegoż dnia przychodzić będą do ciebie i z Assyryi aż do miast obronnych, i od miast obronnych aż do rzeki, i od morza aż do morza, i od góry aż do góry.
13 Hizo nchi zitakuwa zimejitenga kwasababu ya watu ambao wanaishi huko sasa, kwasababu ya tunda la matendo yao.
Wszakże ta ziemia spustoszona będzie dla obywateli swoich, dla owocu wynalazków ich.
14 Chunga watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako. Wanaishi wenyewe kwenye msitu, katikati ya msitu. Wachunge katika Bashani na Gileadi kama siku za zamani.
Paśże lud twój laską twoją, trzodę dziedzictwa twego, która osobno mieszka w lesie i w pośród pola; niech wypasą Basan i Galaad jako za dni starodawnych.
15 Kama katika siku wakati mlipotoka nje ya nchi ya Misri, nitawaonyesha maajabu.
Ukażę mu dziwne rzeczy, jako za dni, którycheś wyszedł z ziemi Egipskiej.
16 Mataifa yataona na kuwa na aibu ya nguvu zao zote. Wataweka mikono yao kwenye midomo yao; masikio yao yatakuwa kiziwi.
Co widząc narody zawstydzą się nad wszystką mocą swoją, włożą rękę na usta, a uszy ich ogłuszeją
17 Watalamba vumbi kama nyoka, kama viumbe vitaambavyo juu ya nchi. Watatoka nje kwenye maficho kwa hofu; watakuja kwako kwa hofu, Yahwe Mungu wetu, na wataogopa kwa sababu yako.
Proch jako wąż lizać będą, jako gadziny ziemskie ruszą się z lochów swoich, do Pana, Boga naszego, z strachem pobieżą, i bać się ciebie będą.
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe, wewe uchukuaye dhambi, wewe upitaye juu ya kosa la mabaki ya mrithi wako? Hutunzi hasira yako milele, kwa sababu unapenda kutuonyesha agano lako la aminifu.
Któryż Bóg jest podobny tobie? Któryby nieprawość odpuszczał, i mijał przestępstwa ostatków dziedzictwa swego, któryby nie zatrzymywał na wieki gniewu swego, przeto, że się kocha w miłosierdziu.
19 Tena utakuwa na huruma juu yetu; utayakanyaga maovu chini ya miguu yako. Utazitupa dhambi zetu zote kwenye vilindi vya bahari.
Nawróci się, a zmiłuje się nad nami; zatłumi nieprawości nasze i wrzuci w głębokość morską wszystkie grzechy nasze.
20 Utampatia ukweli Yakobo na agano aminifu kwa Abrahamu, ulipoapa kwa babu zetu katika siku za kale.
Pokażesz się Jakóbowi prawdomównym, a miłosiernym Abrahamowi, jakoś przysiągł ojcom naszym ode dni dawnych.

< Mika 7 >