< Mika 7 >
1 Ole wangu! Kwangu mimi ni kama msimu wa mavuno ulipokwisha, na pia makombo ya mavuno ya zabibu kwenye shamba la mizabibu: Hakuna tena kishamba cha matunda kinachoonekana, hakuna matini ya malimbuka ambayo ninayoyatamani.
I am very miserable/frustrated! I am like [SIM] someone who is hungry, [who searches for fruit to pick] after all the fruit had been picked and who finds no grapes or figs to eat.
2 Watu waaminifu wamepotelea kutoka kwenye nchi, hakuna mtu mwadilifu katika wanadamu wote. Wote hudanganya katika kusubiri kumwaga damu; kila mtu humuwinda ndugu yake mwenyewe kwa wavu.
[All] the godly people have disappeared from this land; there is not one of them left. [The people who are left] are all murderers [MTY]; [it is as though] everyone is eager to kill his fellow countryman.
3 Mikono yao ni mizuri mno kwa kufanya madhara. watawala huuliza pesa, hakimu yuko tayari kwa rushwa, na mtu mwenye nguvu anawaambia wengine kile anachokitaka kujipatia. Hivyo ndivyo waundavyo kwa pamoja.
They [all] use both hands to do what is evil. [Government] officials and judges [all] ask for bribes. Important people tell others what they want, and they plot/scheme together [about how to get it done].
4 Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama mche wa miba. Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi wako, siku ya hukumu. Sasa ni mda wa machafuko.
[Even] the best people are [as worthless] [SIM] as briers; the people [who are considered by others to be] [IRO] the most honest are worse than clumps of thornbushes. But, [Yahweh] will soon judge them; now is the time that he will punish people, a time when they will be [very] confused [because of being defeated].
5 Msimwamini kila jirani; msimuweke kiongozi katika rafiki yeyote. Kuweni makini kuhusiana na kile msemacho hata kwa mwanamke ambaye adanganyaye kwenye mikono yenu.
[So], do not trust anyone! Do not trust [even] a friend; [even] be careful what you say to your wife whom you love!
6 Kwa kuwa mwana humfedhehesha baba yake, binti huinuka kushindana na mama yake, na mke wa mwana wa kiume hushindana na mama mkwe wake. Adui wa watu ni watu wa nyumba yake mwenyewe.
Boys will despise their fathers, and girls will defy their mothers. Women will defy their mothers-in-law. Your enemies will be those who live in your own houses.
7 Lakini kama kwangu mimi, nitamtazama Yahwe. Nitamsubiri Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu ataniskia.
As for me, I wait for Yahweh [to help me]. I confidently expect that God, my Savior, will answer me [when I pray].
8 Usifurahi juu yangu, adui yangu. Niangukapo, nitainuka. Wakati nitakapokuwa nimekaa katika giza, Yahwe atakuwa mwanga kwangu.
You who are our enemies, do not gloat/rejoice about [what has happened to] us, [because even] if we have experienced disasters, [those disasters will end and] we will be restored. [Even] if [it is as though] we are sitting in the darkness, Yahweh will be our light.
9 Kwasababu nimetenda dhambi dhidi ya Yahwe, nitachukua ghadhabu yake hata aniteteapo kosa langu, na kutekeleza hukumu kwa ajili yangu. Atanileta kwenye nuru, na nitamwona akiniokoa kwenye haki yake.
We must be patient while Yahweh punishes us because we have sinned against him. But later, [it will be as though] he will go to court and defend us, and he will make sure that the judge makes a right decision about us. [It will be as though] he will bring us out into the light, and we will see it when he rescues us.
10 Kisha adui yangu atakapoliona hilo, na aibu itamfunika yule aliyeniambia, “Yahwe Mungu wako yuko wapi?” macho yangu yatamtazama; atakanyagwa chini kama tope kwenye mitaa.
Our enemies will [also] see that, and they will be disgraced because they [ridiculed us], saying “Why is [RHQ] Yahweh, that God of yours, [not helping you]?” But with our own eyes we will see them when they are defeated; we will see them trampled like [SIM] mud in the streets.
11 Siku ya ya kujenga kuta zako zitafika; siku hiyo mipaka itasogezwa mbali sana.
[You people of Israel, ] at that time your cities will be rebuilt, and your territory will become larger.
12 Siku hiyo watu watakuja kwako, kutoka Ashuru na miji katika Misri, kutoka Misri hata mto mkubwa, kutoka bahari kwenda bahari, na kutoka mlima kwenda mlima.
[People from many countries will come to honor you]: people from Assyria and from [near] the [Euphrates] River [in the east] and from Egypt [in the south], from distant seas, and from many mountains.
13 Hizo nchi zitakuwa zimejitenga kwasababu ya watu ambao wanaishi huko sasa, kwasababu ya tunda la matendo yao.
But [the other countries on] the earth will become desolate because of the [evil] things that their people have done.
14 Chunga watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako. Wanaishi wenyewe kwenye msitu, katikati ya msitu. Wachunge katika Bashani na Gileadi kama siku za zamani.
Yahweh, protect your people like [MET] [a shepherd protects his sheep] by using his walking stick; lead your people [MET] whom you have chosen to belong to you. [Even though some of them] live by themselves in a forest, give them the fertile pastureland in the Bashan and Gilead [regions] that they possessed long ago.
15 Kama katika siku wakati mlipotoka nje ya nchi ya Misri, nitawaonyesha maajabu.
[Yahweh says/replies], “[Yes], I will perform miracles for you like the miracles that I performed when I rescued your [ancestors] from [being slaves in] Egypt.”
16 Mataifa yataona na kuwa na aibu ya nguvu zao zote. Wataweka mikono yao kwenye midomo yao; masikio yao yatakuwa kiziwi.
[People from many] nations will see [what Yahweh does for you], and they will be ashamed because they do not have any power. They will put their hands over their mouths and their ears [because they will be very amazed because of what Yahweh does], [and they will not be able to say anything or hear anything].
17 Watalamba vumbi kama nyoka, kama viumbe vitaambavyo juu ya nchi. Watatoka nje kwenye maficho kwa hofu; watakuja kwako kwa hofu, Yahwe Mungu wetu, na wataogopa kwa sababu yako.
[Being very humiliated, ] they will crawl on the ground [MTY] like [SIM] snakes. They will come out of their homes trembling, and stand revering Yahweh our God. They will be very afraid of him, and will tremble in front of him.
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe, wewe uchukuaye dhambi, wewe upitaye juu ya kosa la mabaki ya mrithi wako? Hutunzi hasira yako milele, kwa sababu unapenda kutuonyesha agano lako la aminifu.
[Yahweh], there is no [RHQ] God like you; you forgive the sins [DOU] that were committed by the people who have survived, the people who belong to you. You do not remain angry forever; you are very happy [to show us] that you faithfully love [us].
19 Tena utakuwa na huruma juu yetu; utayakanyaga maovu chini ya miguu yako. Utazitupa dhambi zetu zote kwenye vilindi vya bahari.
You will again act kindly/compassionately toward us. You will get rid of [the scroll on which you have written] the sins that we have committed [as though you were] trampling it under your feet or throwing it into the deep ocean.
20 Utampatia ukweli Yakobo na agano aminifu kwa Abrahamu, ulipoapa kwa babu zetu katika siku za kale.
You will show that you faithfully [do what you promised for us] and faithfully love us, just like you solemnly promised long ago to our ancestors Abraham and Jacob that you would do.