< Mika 7 >

1 Ole wangu! Kwangu mimi ni kama msimu wa mavuno ulipokwisha, na pia makombo ya mavuno ya zabibu kwenye shamba la mizabibu: Hakuna tena kishamba cha matunda kinachoonekana, hakuna matini ya malimbuka ambayo ninayoyatamani.
Teško meni! Postao sam kao žetelac ljeti, kao trgač poslije jematve: nema bobice grožđa da je pozobljem, nema smokve ranke za kojom žudim!
2 Watu waaminifu wamepotelea kutoka kwenye nchi, hakuna mtu mwadilifu katika wanadamu wote. Wote hudanganya katika kusubiri kumwaga damu; kila mtu humuwinda ndugu yake mwenyewe kwa wavu.
Vjernici su iščezli iz zemlje: nijednog pravednika među ljudima! Svi vrebaju za krvoprolićem, svaki svome bratu mrežu postavlja.
3 Mikono yao ni mizuri mno kwa kufanya madhara. watawala huuliza pesa, hakimu yuko tayari kwa rushwa, na mtu mwenye nguvu anawaambia wengine kile anachokitaka kujipatia. Hivyo ndivyo waundavyo kwa pamoja.
Njihove ruke za zlo su sposobne: glavar traži dar, sudac sudi prema poklonu, velikaš po svome hiru odlučuje.
4 Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama mche wa miba. Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi wako, siku ya hukumu. Sasa ni mda wa machafuko.
I najbolji među njima je kao trn, najpravedniji kao drača živica. Iskušenje njihovo danas sa Sjevera dolazi, dolazi ura strave njihove.
5 Msimwamini kila jirani; msimuweke kiongozi katika rafiki yeyote. Kuweni makini kuhusiana na kile msemacho hata kwa mwanamke ambaye adanganyaye kwenye mikono yenu.
Ne pouzdavajte se u bližnjega, ne vjerujte u prijatelja; pred onom koja s tobom dijeli postelju pazi da usta ne otvoriš.
6 Kwa kuwa mwana humfedhehesha baba yake, binti huinuka kushindana na mama yake, na mke wa mwana wa kiume hushindana na mama mkwe wake. Adui wa watu ni watu wa nyumba yake mwenyewe.
Jer sin svoga oca zlostavlja, kćerka na majku ustaje, snaha na svoju svekrvu, svakome je dušmanin njegov ukućanin.
7 Lakini kama kwangu mimi, nitamtazama Yahwe. Nitamsubiri Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu ataniskia.
A ja, prema Jahvi ja sam zagledan, čekam na Boga koji spasava, Bog moj mene će uslišati.
8 Usifurahi juu yangu, adui yangu. Niangukapo, nitainuka. Wakati nitakapokuwa nimekaa katika giza, Yahwe atakuwa mwanga kwangu.
Ne raduj se mome zlu, dušmanko moja, ako sam pao, ustat ću; ako boravim u tminama, Jahve je svjetlost moja.
9 Kwasababu nimetenda dhambi dhidi ya Yahwe, nitachukua ghadhabu yake hata aniteteapo kosa langu, na kutekeleza hukumu kwa ajili yangu. Atanileta kwenye nuru, na nitamwona akiniokoa kwenye haki yake.
Moram podnositi srdžbu Jahvinu, jer sam protiv njega sagriješio, sve dok on ne prosudi spor moj i izrekne pravdu; izvest će me na svjetlost, gledat ću pravednost njegovu.
10 Kisha adui yangu atakapoliona hilo, na aibu itamfunika yule aliyeniambia, “Yahwe Mungu wako yuko wapi?” macho yangu yatamtazama; atakanyagwa chini kama tope kwenye mitaa.
Kada ga moja dušmanka ugleda, od stida će se pokriti ona koja mi je govorila: “Gdje je on, Jahve, tvoj Bog?” Moje će se oči naslađivati kad je ugledam: ona će biti zgažena kao blato na putu.
11 Siku ya ya kujenga kuta zako zitafika; siku hiyo mipaka itasogezwa mbali sana.
Dolazi dan kad će se sazidati tvoji bedemi! Toga dana nadaleko će se prostirati tvoje granice!
12 Siku hiyo watu watakuja kwako, kutoka Ashuru na miji katika Misri, kutoka Misri hata mto mkubwa, kutoka bahari kwenda bahari, na kutoka mlima kwenda mlima.
Toga dana dolazit će k tebi od zemlje asirske do Egipta, od Tira do Rijeke, od mora do mora, od gore do gore.
13 Hizo nchi zitakuwa zimejitenga kwasababu ya watu ambao wanaishi huko sasa, kwasababu ya tunda la matendo yao.
Zemlja će postat' pustinja zbog stanovnika svojih, zbog djela njihovih.
14 Chunga watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako. Wanaishi wenyewe kwenye msitu, katikati ya msitu. Wachunge katika Bashani na Gileadi kama siku za zamani.
Pasi svoj narod svojom palicom, stado svoje baštine, koje osamljeno živi u šikarju, usred plodnih voćnjaka. Neka pase u Bašanu i Gileadu, kao u davne dane!
15 Kama katika siku wakati mlipotoka nje ya nchi ya Misri, nitawaonyesha maajabu.
Kao u dane kad si izašao iz Egipta, pokaži nam čudesa!
16 Mataifa yataona na kuwa na aibu ya nguvu zao zote. Wataweka mikono yao kwenye midomo yao; masikio yao yatakuwa kiziwi.
Narodi će ih vidjeti i bit će posramljeni uza svu silu svoju; stavit će ruku na usta i uši će im oglušiti.
17 Watalamba vumbi kama nyoka, kama viumbe vitaambavyo juu ya nchi. Watatoka nje kwenye maficho kwa hofu; watakuja kwako kwa hofu, Yahwe Mungu wetu, na wataogopa kwa sababu yako.
Lizat će prašinu kao zmija, kao gmazovi koji gmižu po zemlji. Izići će dršćući iz svojih jazbina, prestravljeni i ustrašeni pred tobom.
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe, wewe uchukuaye dhambi, wewe upitaye juu ya kosa la mabaki ya mrithi wako? Hutunzi hasira yako milele, kwa sababu unapenda kutuonyesha agano lako la aminifu.
Tko je Bog kao ti koji prašta krivnju, koji grijeh oprašta i prelazi preko prekršaja Ostatka baštine svoje, koji ne ustraje dovijeka u svome gnjevu, nego uživa u pomilovanju?
19 Tena utakuwa na huruma juu yetu; utayakanyaga maovu chini ya miguu yako. Utazitupa dhambi zetu zote kwenye vilindi vya bahari.
Još jednom, imaj milosti za nas! Satri naše opačine, baci na dno mora sve grijehe naše!
20 Utampatia ukweli Yakobo na agano aminifu kwa Abrahamu, ulipoapa kwa babu zetu katika siku za kale.
Udijeli Jakovu vjernost svoju, dobrotu svoju Abrahamu, kako si se zakleo ocima našim od dana iskonskih.

< Mika 7 >