< Mika 7 >

1 Ole wangu! Kwangu mimi ni kama msimu wa mavuno ulipokwisha, na pia makombo ya mavuno ya zabibu kwenye shamba la mizabibu: Hakuna tena kishamba cha matunda kinachoonekana, hakuna matini ya malimbuka ambayo ninayoyatamani.
Kai teh ka yawthoe. Kompawi tue nah khi e thaibunglung paw hoi rakhun e misur paw kacawie patetlah ka o. Ca hane kawi misur paw awm hoeh. Thaibunglung paw aluepaw hah ka doun toe.
2 Watu waaminifu wamepotelea kutoka kwenye nchi, hakuna mtu mwadilifu katika wanadamu wote. Wote hudanganya katika kusubiri kumwaga damu; kila mtu humuwinda ndugu yake mwenyewe kwa wavu.
Cathutlae naw kahmakata awh toe. Tami kalan buet touh hai awm hoeh. Tami pueng teh tami thei hanlah a pawp awh toe. Buet touh hoi buet touh tangkam dawk a ka man awh.
3 Mikono yao ni mizuri mno kwa kufanya madhara. watawala huuliza pesa, hakimu yuko tayari kwa rushwa, na mtu mwenye nguvu anawaambia wengine kile anachokitaka kujipatia. Hivyo ndivyo waundavyo kwa pamoja.
Yonnae sak hanelah coungkacoe lah ao awh. Bawinaw ni poehno a hei awh. Lawkcengkungnaw ni tadawngnae a ca awh. Ayâ hlak kalen e tami ni teh hounlounnae a kamnue sak. Hottelah, a kâsanu nahanlah a sak awh.
4 Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama mche wa miba. Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi wako, siku ya hukumu. Sasa ni mda wa machafuko.
Tami kahawipoung hai pâkhingkung patetlah doeh ao. Tami kalan poung hai pâkhing takha hlak a ru. Nang ramvengnaw ni kâhruetcuet poenae hnin, nang rektapnae na poenae hnin lah a pha, hothateh, lungpuennae lah ao han.
5 Msimwamini kila jirani; msimuweke kiongozi katika rafiki yeyote. Kuweni makini kuhusiana na kile msemacho hata kwa mwanamke ambaye adanganyaye kwenye mikono yenu.
Na imri yuem hanh. Lam ka patue e hah kâuep hanh. Na lungtabue dawk ka ip e na yu hah yuem hanh. Na kâko takhang hah cakuep lawih.
6 Kwa kuwa mwana humfedhehesha baba yake, binti huinuka kushindana na mama yake, na mke wa mwana wa kiume hushindana na mama mkwe wake. Adui wa watu ni watu wa nyumba yake mwenyewe.
Bangkongtetpawiteh, ca ni a na pa e min a mathoe sak. Canu ni a manu thoseh, a langa ni a mani thoseh, a taran han. Ma e imthungkhunaw teh mae taran lah ao han.
7 Lakini kama kwangu mimi, nitamtazama Yahwe. Nitamsubiri Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu ataniskia.
Hatei, kai teh BAWIPA ka ngaihawi han. Ka rungngangnae Cathut hah ka kângue han. Cathut ni ka lawk a thai han.
8 Usifurahi juu yangu, adui yangu. Niangukapo, nitainuka. Wakati nitakapokuwa nimekaa katika giza, Yahwe atakuwa mwanga kwangu.
Ka taran nang, kaie lathueng vah kâoupnae, lunghawinae tawn hanh. Ka rawm nakunghai bout kathâw han. A hmonae koe ka tahung nakunghai, Cathut teh kaie angnae lah ao han.
9 Kwasababu nimetenda dhambi dhidi ya Yahwe, nitachukua ghadhabu yake hata aniteteapo kosa langu, na kutekeleza hukumu kwa ajili yangu. Atanileta kwenye nuru, na nitamwona akiniokoa kwenye haki yake.
Kai teh BAWIPA koe ka yon dawkvah, na racing hoehnahlan totouh a lungkhueknae ka khang han. Kai hah angnae koe na rasa vaiteh, lannae hmuen na poe e hah ka hmu han.
10 Kisha adui yangu atakapoliona hilo, na aibu itamfunika yule aliyeniambia, “Yahwe Mungu wako yuko wapi?” macho yangu yatamtazama; atakanyagwa chini kama tope kwenye mitaa.
Na Cathut nâne ao telah na ka pacei e ka taran ni hote hno a hmu torei teh yeirai a po han. Ahni koe ka lung a roum han. Ahni teh lam dawk e tangdong coungroe e patetlah ao han.
11 Siku ya ya kujenga kuta zako zitafika; siku hiyo mipaka itasogezwa mbali sana.
Nange khopui rapan saknae tueng a pha han. Kâtawnnae apout han.
12 Siku hiyo watu watakuja kwako, kutoka Ashuru na miji katika Misri, kutoka Misri hata mto mkubwa, kutoka bahari kwenda bahari, na kutoka mlima kwenda mlima.
Hatnae tueng dawk, Assiria ram hoi Izip khopui hai thoseh, Izip ram hoi tuipui rahak hai thoseh, tuipui tengpam, monnaw tangkuem koehoi hai thoseh, nang koevah a tho awh han.
13 Hizo nchi zitakuwa zimejitenga kwasababu ya watu ambao wanaishi huko sasa, kwasababu ya tunda la matendo yao.
Hottelah, ao hoehnahlan khoca ramca naw e yonnae kecu dawk ram teh tami kingkadi lah ao han.
14 Chunga watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako. Wanaishi wenyewe kwenye msitu, katikati ya msitu. Wachunge katika Bashani na Gileadi kama siku za zamani.
BAWIPA e tami tie a huiko awm laipalah Karmel mon dawk kaawm e râw tuhu hah tukhoumnae sonron hoi khoum la, ayan e patetlah Bashan ram hoi Gilead ram dawk pawngpa sak haw.
15 Kama katika siku wakati mlipotoka nje ya nchi ya Misri, nitawaonyesha maajabu.
Izip ram hoi na tâconae hnin dawk na hmu e patetlah kângairu hnonaw bout na patue han.
16 Mataifa yataona na kuwa na aibu ya nguvu zao zote. Wataweka mikono yao kwenye midomo yao; masikio yao yatakuwa kiziwi.
Miphunnaw ni ka taminaw dawk kaawm e bahu a hmu awh teh, lungpuen laihoi amamae pahni hah kut hoi a tabuem awh vaiteh a hnâtâdeng awh han.
17 Watalamba vumbi kama nyoka, kama viumbe vitaambavyo juu ya nchi. Watatoka nje kwenye maficho kwa hofu; watakuja kwako kwa hofu, Yahwe Mungu wetu, na wataogopa kwa sababu yako.
Tahrun patetlah vaiphu a palem teh, tangraet patetlah a khu dawk hoi pâyaw laihoi a tâco awh han. Maimae BAWIPA Cathut hai thoseh, nang hai thoseh a taki awh han.
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe, wewe uchukuaye dhambi, wewe upitaye juu ya kosa la mabaki ya mrithi wako? Hutunzi hasira yako milele, kwa sababu unapenda kutuonyesha agano lako la aminifu.
Yon dawk hoi hlout sak e, kacawie râw, taminaw e sakpayon e hah ka ngaithoum e, pahrennae hoi ka kawi ni teh lung pou ka khuek hoeh e Cathut patetlah apimaw kaawm.
19 Tena utakuwa na huruma juu yetu; utayakanyaga maovu chini ya miguu yako. Utazitupa dhambi zetu zote kwenye vilindi vya bahari.
BAWIPA ni maimanaw hah bout na pahren teh, maimae yonnae pueng hah rep a coungroe han. Maimae yonnae pueng kadung poung e tuipui dawk koung a tâkhawng han.
20 Utampatia ukweli Yakobo na agano aminifu kwa Abrahamu, ulipoapa kwa babu zetu katika siku za kale.
Ayan hoi mintoenaw koe thoe na bo e patetlah, Jakop koe lawkkatanag, Abraham koe pahren lungmanae teh na poe han.

< Mika 7 >