< Mika 7 >
1 Ole wangu! Kwangu mimi ni kama msimu wa mavuno ulipokwisha, na pia makombo ya mavuno ya zabibu kwenye shamba la mizabibu: Hakuna tena kishamba cha matunda kinachoonekana, hakuna matini ya malimbuka ambayo ninayoyatamani.
Na da da: i dioi bagadedafa! Na da ha: i bagade dunu amo da ifa dulu ganabeyale amola waini fage ganabeyale hogole ba: sea, hame ba: sea, da: i diosu agoai galebe. Waini fage amola figi fage hedai nasu huluane da enoga fai dagoi.
2 Watu waaminifu wamepotelea kutoka kwenye nchi, hakuna mtu mwadilifu katika wanadamu wote. Wote hudanganya katika kusubiri kumwaga damu; kila mtu humuwinda ndugu yake mwenyewe kwa wavu.
Isala: ili soge amo ganodini da moloidafa dunu afae hame gala. Amola Godema noga: le madelagi dunu afae hame gala. Dunu huluanedafa da medole legemusa: logo hogosa. Dunu huluanedafa da hina: fidafa dunu fane legemusa: desega ahoa.
3 Mikono yao ni mizuri mno kwa kufanya madhara. watawala huuliza pesa, hakimu yuko tayari kwa rushwa, na mtu mwenye nguvu anawaambia wengine kile anachokitaka kujipatia. Hivyo ndivyo waundavyo kwa pamoja.
Ilia huluane da wadela: i hou obenanewane hamonanumusa: dawa: Eagene ouligisu dunu amola fofada: su ouligisu dunu huluane da hano suligili adole ba: sa. Mimogo dunu da ilia hanai ilima adosa. Amaiba: le, ilia huluane da gilisili wadela: le ilegele sia: daha.
4 Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama mche wa miba. Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi wako, siku ya hukumu. Sasa ni mda wa machafuko.
Amo wadela: i hamosu dunu gilisisu ganodini dunu afae afae da fonobahadi noga: i. Be ilia amola da wadela: i aya: gaga: nomei gisi defele, wadela: idafa. Gode da musa: ilia sosodo aligisu dunu ilia lafidili ilima dawa: digima: ne sisasu. Be ilia da hame nabi. Amaiba: le, eso da misi amoga E da ilima se imunu. Wali ilia da gagaoududala.
5 Msimwamini kila jirani; msimuweke kiongozi katika rafiki yeyote. Kuweni makini kuhusiana na kile msemacho hata kwa mwanamke ambaye adanganyaye kwenye mikono yenu.
Dia na: iyado amola dia sama ilia sia: amo dafawaneyale mae dawa: ma! Digoama amola diaudama, ilia da di hohonosa: besa: le, dawa: iwane sia: ma!
6 Kwa kuwa mwana humfedhehesha baba yake, binti huinuka kushindana na mama yake, na mke wa mwana wa kiume hushindana na mama mkwe wake. Adui wa watu ni watu wa nyumba yake mwenyewe.
Wali eso amoga, dunu mano ilia da ilia eda gagaoui dunu agoai ba: sa. Uda mano ilia da emema hagale besia: sa. Uda a: fini da egoamema sia: ga gegesa. Amola dia sosogo fidafa da dima ha lai dagoi.
7 Lakini kama kwangu mimi, nitamtazama Yahwe. Nitamsubiri Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu ataniskia.
Be na da Hina Gode na fidila misa: ne, oulelumu. Na da Hina Gode na gaga: ma: ne, na da denesini gebewane ouesalumu. Na Gode da na wele sia: be nabimu.
8 Usifurahi juu yangu, adui yangu. Niangukapo, nitainuka. Wakati nitakapokuwa nimekaa katika giza, Yahwe atakuwa mwanga kwangu.
Ninima ha lai dunu da ninima da: da: lole sia: mu da bai hame gala. Nini da dafai dagoi be bu wa: legadomu. Ninia da wali gasi ganodini esala. Be Hina Gode da ninima hadigi imunu galebe.
9 Kwasababu nimetenda dhambi dhidi ya Yahwe, nitachukua ghadhabu yake hata aniteteapo kosa langu, na kutekeleza hukumu kwa ajili yangu. Atanileta kwenye nuru, na nitamwona akiniokoa kwenye haki yake.
Ninia da Hina Godema wadela: le hamoi. Amaiba: le, ninia da Ea ougi hou wahamusu ba: sa esalumu. Be fa: no dagomusa: , E da nini gaga: mu. Amola ninima wadela: le hamosu dunu amo ilima fofada: ne, ninia moloidafa hou mimogoa heda: mu. E da nini hadigi amoga oule misunu. Ninia da mae bogole esaleawane, Ea gaga: su ba: mu.
10 Kisha adui yangu atakapoliona hilo, na aibu itamfunika yule aliyeniambia, “Yahwe Mungu wako yuko wapi?” macho yangu yatamtazama; atakanyagwa chini kama tope kwenye mitaa.
Amasea, ninima ha lai dunu da amo hou ba: sea, ilia da gogosiamu. Amo ha lai dunu da musa: ninima amane dodona: gini sia: su, “Dilia Hina Gode da habila: ?” Ninia da ili hasalasi dagoi ba: mu. Ilia da logoba: le ahoana, fafu ososa: gi agoai ba: mu.
11 Siku ya ya kujenga kuta zako zitafika; siku hiyo mipaka itasogezwa mbali sana.
Yelusaleme fi dunu, dilia! Dilia moilai bai bagade gagoi bu gagomu eso da mana. Amo esoha, dilia soge alalo da ga gasigamu.
12 Siku hiyo watu watakuja kwako, kutoka Ashuru na miji katika Misri, kutoka Misri hata mto mkubwa, kutoka bahari kwenda bahari, na kutoka mlima kwenda mlima.
Dilia fi dunu soge enodini esafulu, da dilima gagadola misunu. Ilia da Asilia (gusudili soge) amola Idibidi (ga [south] soge) amola Iufala: idisi Hano soge amola hano wayabo bagade soge badiliadafa gala amola goumi soge badiliadafa gala, amo sogeganini ilia da dilima gagadola misunu.
13 Hizo nchi zitakuwa zimejitenga kwasababu ya watu ambao wanaishi huko sasa, kwasababu ya tunda la matendo yao.
Be dunu fi amo da osobo bagadega esala, ilia da baligili wadela: le hamonanebeba: le, osobo bagade da bu hafoga: i wadela: idafa soge agoane hamomu.
14 Chunga watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako. Wanaishi wenyewe kwenye msitu, katikati ya msitu. Wachunge katika Bashani na Gileadi kama siku za zamani.
Hina Gode! Dia fi dunu amo Di da ilegei, amo ilima sibi ouligisu defele ouligima! Ilia da wadela: i hafoga: i soge amo ganodini esala. Be ili sisiga: le da nasegagi soge noga: i diala. Ilia da musa: hamoi defele, Ba: isia: ne amola Gilia: de nasegagi gisi soge amoga ha: i na masa: ne, logo doasima.
15 Kama katika siku wakati mlipotoka nje ya nchi ya Misri, nitawaonyesha maajabu.
Hina Gode! Di da nini Idibidi sogega fisili masa: ne oule ahoanoba, nini fidima: ne, musa: hame ba: su gasa bagade hou hamosu. Amo defele, nini fidima: ne bu hamoma!
16 Mataifa yataona na kuwa na aibu ya nguvu zao zote. Wataweka mikono yao kwenye midomo yao; masikio yao yatakuwa kiziwi.
Fifi asi gala eno da gasa bagade gala. Be ilia da Dia gasa bagade musa: hame ba: su hou ba: sea, ilia hamomu logo ga: iba: le, gogosiamu. Ilia da beda: iba: le, lafi gaduli fimu, amola ge ga: le esalumu.
17 Watalamba vumbi kama nyoka, kama viumbe vitaambavyo juu ya nchi. Watatoka nje kwenye maficho kwa hofu; watakuja kwako kwa hofu, Yahwe Mungu wetu, na wataogopa kwa sababu yako.
Ilia da sania agoane gulu da: iya sugi masunu. Ilia da ilia gagili sali moilai amo fisili, beda: ga yagugusa misunu. Ilia da beda: iba: le, ninia Hina Godema sinidigimu.
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe, wewe uchukuaye dhambi, wewe upitaye juu ya kosa la mabaki ya mrithi wako? Hutunzi hasira yako milele, kwa sababu unapenda kutuonyesha agano lako la aminifu.
Hina Gode! Di agoai eno ‘gode’ da hamedafa gala. Di da Dia fi dunu hame bogoi esalebe, ilia wadela: i hou gogolema: ne olofosa. Di da ougisa, be gebewane ougi hame diala. Be Di da Dia mae fisili asigidafa hou amo ninima hahawane olelelala.
19 Tena utakuwa na huruma juu yetu; utayakanyaga maovu chini ya miguu yako. Utazitupa dhambi zetu zote kwenye vilindi vya bahari.
Di da ninima bu olofole asigidafa hou hamonanumu. Di da fedege agoane, ninia wadela: i hou Dia emoga ososa: gilalu, hano wayabo bagade osoga gududafa sanasimu!
20 Utampatia ukweli Yakobo na agano aminifu kwa Abrahamu, ulipoapa kwa babu zetu katika siku za kale.
Dia fi dunu da A: ibalaha: me amola Ya: igobe elagaga fifi misi esala. Di da ninia aowalali amo ilima mae fisili asigidafa hou hamoma: ne ilegele sia: i. Ninia dawa: Di da amo mae fisili asigidafa hou ninima hamonanumu. Sia: ama dagoi