< Mika 6 >

1 Sasa sikilizeni kile ambacho Yahwe asemacho, “Inuka na ueleze kesi yako mbele ya milima; acha milima isikie sauti yako.
Écoutez maintenant ce que dit Yahvé: « Lève-toi, plaide ta cause devant les montagnes, et laissez les collines entendre ce que vous avez à dire.
2 Sikilizeni madai ya Yahwe, enyi milima, na ninyi misingi mivumilivu ya dunia. Kwa kuwa Yahwe anavumilia pamoja na watu wake, na atapigana katika mahakama juu ya Israeli.”
Écoutez, montagnes, l'accusation de Yahvé, et vous, fondations durables de la terre; car Yahvé a un procès contre son peuple, et il se disputera avec Israël.
3 Watu wangu, nimefanya nini kwenu? nimewachosha mara ngapi? shuhudieni dhidi yangu!
Mon peuple, que vous ai-je fait? Comment vous ai-je accablé? Réponds-moi!
4 Kwa kuwa niliwaleta kutoka nchi ya Msiri na kuwaokoa kutoka kwenye nyumba ya utumwa. Nawatuma Musa, Aruni, na Mariamu kwako.
Car je vous ai fait monter du pays d'Égypte, et vous a rachetés de la maison d'esclavage. J'ai envoyé devant vous Moïse, Aaron et Miriam.
5 Watu wangu, kumbukeni ambavyo Balaki mfalme wa Moabu alivyotunga, na vile ambavyo Balamu mwana wa Beori alivyomjibu kama ulipokuwa ukienda kutoka kwa Gilgali, hivyo mnaweza kujua matendo ya haki ya Yahwe.”
Mon peuple, rappelez-vous maintenant ce que Balak, roi de Moab, a imaginé, et ce que lui répondit Balaam, fils de Beor, de Shittim à Gilgal, afin que vous puissiez connaître les actes justes de Yahvé. »
6 Je nilete nini kwa Yahwe, ninapoenda kumwinamia Mungu aliye juu? Je ninaweza kuja kwake na sadaka za kuteketeza, pamoja na ndama wenye mwaka mmoja?
Comment vais-je me présenter devant Yahvé? et m'incliner devant le Dieu exalté? Je me présenterai devant lui avec des holocaustes, avec des veaux d'un an?
7 Je Yahwe atapendezwa na maelfu ya kondoo waume, au na elfu kumi za mito ya mafuta? Je nimtoe mzaliwa wangu wa kwanza kwa ajili ya kosa langu, tunda la mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu mwenyewe?
Yahvé sera-t-il satisfait de milliers de béliers? Avec des dizaines de milliers de rivières de pétrole? Dois-je donner mon premier-né pour ma désobéissance? Le fruit de mon corps pour le péché de mon âme?
8 Amekwambia, mtu, kile kilicho bora, na kile ambacho Yahwe atakacho kutoka kwako: Kutenda haki, kupenda ukarimu, na kutembea kwa unyenyekevu pamoja na Mungu wako.
Il t'a montré, ô homme, ce qui est bon. Que demande Yahvé de vous, sinon d'agir avec justice, d'aimer la miséricorde, et de marcher humblement avec ton Dieu?
9 Sauti ya Yahwe inatangaza kwenye mji-hata sasa hekima hukukiri jina lako: “Kaa tayari kwa ajili ya fimbo, na kwa yule aliyeiweka.
La voix de Yahvé appelle la ville... et la sagesse craint ton nom. « Écoute la baguette, et celui qui l'a nommé.
10 Kuna utajiri katika nyumba za waovu, na kipimo cha uongo hilo ni chukizo mno.
Il y a encore des trésors de méchanceté dans la maison des méchants, et un petit épha qui est maudit?
11 Ningeweza kumfikira mtu kuwa hana hatia kama anatumia kipimo cha ulaghai, pamoja na mfuko wa kipimo wa udanganyifu?
Je tolère les balances malhonnêtes, et un sac de poids trompeurs?
12 Matajiri wamejaa uharibifu, makazi yao yamesema uongo, na ulimi wao katika midomo yao unaudanganyifu.
Ses riches sont pleins de violence, ses habitants disent des mensonges, et leur langue est trompeuse dans leur discours.
13 Kwa hiyo nimekupiga kwa pigo linaloumiza, nimekufanya gofu kwa sababu ya dhambi zako.
C'est pourquoi je t'ai aussi frappé d'une blessure grave. Je vous ai rendus désolés à cause de vos péchés.
14 Utakula lakini hutatosheka; utupu wako utabakia ndani yako. Utatunza mizigo mbali lakini hutahifadhi, na kile unachokihifadhi nitakitoa kwa upanga.
Vous mangerez, mais vous ne serez pas rassasiés. Votre faim sera en vous. Vous allez stocker, mais pas épargner, et ce que tu as sauvé, je le livrerai à l'épée.
15 Utapanda lakini huatavuna; utazikusanya zaituni lakini hutajipaka mafuta; utasindika zabibu lakini hutakunywa divai.
Vous sèmerez, mais vous ne récolterez pas. Tu fouleras les olives, mais tu ne t'oindras pas d'huile; et écrasent les raisins, mais ne boivent pas le vin.
16 Kanuni zilizotengenezwa na Omri zimetunzwa, na matendo yote ya nyumba ya Ahabu. Mnatembea kwa ushauri wao. Hivyo nitakufanya wewe, mji, gofu, na makazi yako jambo la zomeo, na matabeba dharau kama watu wangu.”
Car on observe les lois d'Omri, et toutes les œuvres de la maison d'Achab. Vous suivez leurs conseils, pour que je fasse de toi une ruine, et tes habitants un sifflement. Tu porteras l'opprobre de mon peuple. »

< Mika 6 >