< Mika 6 >

1 Sasa sikilizeni kile ambacho Yahwe asemacho, “Inuka na ueleze kesi yako mbele ya milima; acha milima isikie sauti yako.
Hear please [that] which Yahweh [is] saying arise conduct a case with the mountains so they may hear the hills voice your.
2 Sikilizeni madai ya Yahwe, enyi milima, na ninyi misingi mivumilivu ya dunia. Kwa kuwa Yahwe anavumilia pamoja na watu wake, na atapigana katika mahakama juu ya Israeli.”
Hear O mountains [the] case of Yahweh and O enduring [ones] [the] foundations of [the] earth for a case at law [belongs] to Yahweh with people his and with Israel he will argue.
3 Watu wangu, nimefanya nini kwenu? nimewachosha mara ngapi? shuhudieni dhidi yangu!
O people my what? have I done to you and what? have I made weary you testify against me.
4 Kwa kuwa niliwaleta kutoka nchi ya Msiri na kuwaokoa kutoka kwenye nyumba ya utumwa. Nawatuma Musa, Aruni, na Mariamu kwako.
For I brought up you from [the] land of Egypt and from a house of slaves I ransomed you and I sent before you Moses Aaron and Miriam.
5 Watu wangu, kumbukeni ambavyo Balaki mfalme wa Moabu alivyotunga, na vile ambavyo Balamu mwana wa Beori alivyomjibu kama ulipokuwa ukienda kutoka kwa Gilgali, hivyo mnaweza kujua matendo ya haki ya Yahwe.”
O people my remember please what? did he plan Balak [the] king of Moab and what? did he answer him Balaam [the] son of Beor from Shittim to Gilgal so as to know [the] righteousness of Yahweh.
6 Je nilete nini kwa Yahwe, ninapoenda kumwinamia Mungu aliye juu? Je ninaweza kuja kwake na sadaka za kuteketeza, pamoja na ndama wenye mwaka mmoja?
With what? will I come to meet Yahweh will I bend myself down? to [the] God of height ¿ will I come to meet him with burnt offerings with calves sons of a year.
7 Je Yahwe atapendezwa na maelfu ya kondoo waume, au na elfu kumi za mito ya mafuta? Je nimtoe mzaliwa wangu wa kwanza kwa ajili ya kosa langu, tunda la mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu mwenyewe?
¿ Will he take pleasure Yahweh in thousands of rams in tens of thousands of torrents of oil ¿ will I give firstborn my transgression my [the] fruit of belly my [the] sin of self my.
8 Amekwambia, mtu, kile kilicho bora, na kile ambacho Yahwe atakacho kutoka kwako: Kutenda haki, kupenda ukarimu, na kutembea kwa unyenyekevu pamoja na Mungu wako.
He has told to you O humankind what? [is] good and what? [is] Yahweh requiring from you that except to do justice and to love covenant loyalty and to be modest to walk with God your.
9 Sauti ya Yahwe inatangaza kwenye mji-hata sasa hekima hukukiri jina lako: “Kaa tayari kwa ajili ya fimbo, na kwa yule aliyeiweka.
[the] voice of Yahweh to the city it calls out and success it will see name your hear O tribe and whoever he appointed it.
10 Kuna utajiri katika nyumba za waovu, na kipimo cha uongo hilo ni chukizo mno.
Still ¿ [are] there house of [the] wicked treasures of wickedness and an ephah of scantness accursed.
11 Ningeweza kumfikira mtu kuwa hana hatia kama anatumia kipimo cha ulaghai, pamoja na mfuko wa kipimo wa udanganyifu?
¿ Will I be clear with balances of wickedness and with a bag of weights of deceit.
12 Matajiri wamejaa uharibifu, makazi yao yamesema uongo, na ulimi wao katika midomo yao unaudanganyifu.
Which rich [people] its they are full violence and inhabitants its they speak falsehood and tongue their [is] deceit in mouth their.
13 Kwa hiyo nimekupiga kwa pigo linaloumiza, nimekufanya gofu kwa sababu ya dhambi zako.
And also I I will make sick [by] striking you I will make desolate [you] on sins your.
14 Utakula lakini hutatosheka; utupu wako utabakia ndani yako. Utatunza mizigo mbali lakini hutahifadhi, na kile unachokihifadhi nitakitoa kwa upanga.
You you will eat and not you will be satisfied and emptiness your [will be] in midst your and you will carry away and not you will bring to safety and [that] which you will bring to safety to the sword I will give.
15 Utapanda lakini huatavuna; utazikusanya zaituni lakini hutajipaka mafuta; utasindika zabibu lakini hutakunywa divai.
You you will sow and not you will reap you you will tread olive[s] and not you will anoint yourself oil and new wine and not you will drink wine.
16 Kanuni zilizotengenezwa na Omri zimetunzwa, na matendo yote ya nyumba ya Ahabu. Mnatembea kwa ushauri wao. Hivyo nitakufanya wewe, mji, gofu, na makazi yako jambo la zomeo, na matabeba dharau kama watu wangu.”
So may be kept [the] statutes of Omri and every deed of [the] house of Ahab and you have walked in schemes their so as to make I you into a horror and inhabitants its into hissing and [the] reproach of people my you will bear.

< Mika 6 >