< Mika 5 >

1 Sasa njoni pamoja katika safu ya kupigana, binti wa maaskari; maaskari wameuzingira mji, kwa ufito watampiga mwamuzi wa Israeli kwenye shavu.
Sedaj se zberi v krdela, oh hči krdel. Zoper nas je položil obleganje. Izraelovega sodnika bodo s palico udarjali na lice.
2 Lakini wewe, Bethlehemu Efrata, hata kama uko mdogo miongoni mwa koo za Yuda, kutoka kweko mmoja atakuja kwangu kutawala Israeli, ambaye mwanzo wake ni kutoka nyakati za kale, toka milele.
Toda ti, Betlehem Efráta, čeprav si majhen med Judovimi tisočimi, vendar bo iz tebe prišel k meni tisti, ki bo vladar v Izraelu, katerega izhodi so bili od davnine, od večnosti.
3 Kwa hiyo Mungu atawapa, hata mda wa yeye aliye katika uchungu kuzaa mtoto, na mabaki ya ndugu zake yatawarudia wana wa Israeli.
Zato jih bo predal do časa, ko tista, ki je imela porodne muke, rodi. Potem se bo preostanek njegovih bratov vrnil k Izraelovim otrokom.
4 Atasimama na kuchunga kundi lake kwa nguvu za Yahwe, kwa ukuu wa enzi ya jina la Yahwe Mungu wake. Watabaki, kwa kuwa atakuwa mashuhuri hata mwisho wa dunia.
In stal bo in pasel v Gospodovi moči, v veličastvu imena Gospoda, svojega Boga; in oni bodo prebivali, kajti sedaj bo velik do koncev zemlje.
5 Atakuwa amani yetu. Wakati Waashuru watakapokuja kwenye nchi yetu, wakati wakitembea dhidi ya boma yetu, kisha kisha tutainuka juu yao wachungaji saba na viongozi nane juu ya watu.
In ta mož bo mir, ko bo Asirec prišel v našo deželo, in ko bo teptal v naših palačah, takrat bomo zoper njega vzdignili sedem pastirjev in osem glavnih mož.
6 Watachunga nchi ya Ashuru kwa upanga, na nchi ya Nimrodi katika malango yake. Atatuokoa kutoka kwa Waashuru, watakapokuja kwenye nchi yetu, watakapoingia kwenye mipaka yetu.
In z mečem bodo opustošili deželo Asirije in Nimródovo deželo na njenih vhodih. Tako nas bo osvobodil pred Asirci, ko pride v našo deželo in ko mendra znotraj naših meja.
7 Mabaki ya Yakobo yatakuwa katika kabila za watu wengi, kama umande utokao kwa Yahwe, kama manyunyu kwenye majani, ambayo hayamsubiri mtu, na hayawasubiri watoto wa mwanadamu.
Jakobov preostanek bo v sredi številnih ljudstev, kakor rosa od Gospoda, kakor nalivi na travo, ki ne čakajo na človeka niti ne čakajo na človeške sinove.
8 Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa, miongoni mwa watu wengi, kama simba katikati ya kundi la kondoo. wakati akipita katikati yao, atawakanyaga juu yao na kuwachachana kuwa vipande vipande, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
Jakobov preostanek bo med pogani v sredi številnega ljudstva kakor lev med gozdnimi živalmi, kakor mlad lev med tropi ovc. Če gre ta skozi, tako pomendra kakor raztrga na koščke in nihče ne more osvoboditi.
9 Mkono wako utainuliwa dhidi ya maadui zako, na utawaharibu.
Tvoja roka bo vzdignjena nad tvoje nasprotnike in vsi tvoji sovražniki bodo iztrebljeni.
10 “Itatokea siku hiyo,” asema Yahwe, “kwamba nitawaharibu farasi wako kutoka miongoni mwenu na nitayavunja magari yako ya farasi.
In zgodilo se bo na tisti dan, « govori Gospod, »da bom iz tvoje srede iztrebil tvoje konje in uničil tvoje bojne vozove
11 Nitaiharibu miji katika nchi yako na kuzingusha ngome zako zote.
in iztrebil bom mesta tvoje dežele in zrušil vsa tvoja oporišča
12 Nitauharibu uchawi kwenye mkono wako, na hakutakuwa na waaguzi tena.
in iztrebil bom čaranja iz tvoje roke in ne boš več imel napovedovalcev usode.
13 Nitaziaharibu sanamu zako za pango na nguzo za mawe kutoka miongoni mwako. Hautaabudu tena ustadi wa mikono yako.
Tudi tvoje rezane podobe bom iztrebil in tvoje stoječe podobe iz tvoje srede in ne boš več oboževal dela svojih rok.
14 Nitazin'goa nguzo zako za Ashera kutoka miongoni mwenu, na nitaiharibu miji yenu.
Izruval bom tvoje ašere iz tvoje srede. Tako bom uničil tvoja mesta.
15 Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu juu ya mataifa ambayo hayakusikiliza.”
Nad pogani bom izvršil maščevanje v jezi in razjarjenosti, takšno, o kakršnem niso slišali.«

< Mika 5 >