< Mika 5 >

1 Sasa njoni pamoja katika safu ya kupigana, binti wa maaskari; maaskari wameuzingira mji, kwa ufito watampiga mwamuzi wa Israeli kwenye shavu.
ای شهر لشکرها، سربازانت را بسیج کن، زیرا محاصره شده‌ای. دشمن با عصای خود به صورت حاکم اسرائیل ضربه خواهند زد.
2 Lakini wewe, Bethlehemu Efrata, hata kama uko mdogo miongoni mwa koo za Yuda, kutoka kweko mmoja atakuja kwangu kutawala Israeli, ambaye mwanzo wake ni kutoka nyakati za kale, toka milele.
اما تو، ای بیت‌لحم افراته، هر چند که در یهودا روستای کوچکی بیش نیستی با وجود این از تو کسی برای من ظهور خواهد کرد که از ازل بوده است و او قوم من اسرائیل را رهبری خواهد نمود.
3 Kwa hiyo Mungu atawapa, hata mda wa yeye aliye katika uchungu kuzaa mtoto, na mabaki ya ndugu zake yatawarudia wana wa Israeli.
پس قوم اسرائیل به دست دشمن تسلیم خواهند شد تا زمانی که زن حامله فرزند خود را به دنیا آورد. آنگاه بقیهٔ قوم اسرائیل که در اسارت هستند باز خواهند گشت و به برادران خود ملحق خواهند شد.
4 Atasimama na kuchunga kundi lake kwa nguvu za Yahwe, kwa ukuu wa enzi ya jina la Yahwe Mungu wake. Watabaki, kwa kuwa atakuwa mashuhuri hata mwisho wa dunia.
وقتی او بیاید با قوت و جلال خداوند، خدای خود گلهٔ خود را خواهد چرانید. قوم او در امنیت زندگی خواهند کرد، زیرا تمام مردم جهان به عظمت او پی خواهند برد،
5 Atakuwa amani yetu. Wakati Waashuru watakapokuja kwenye nchi yetu, wakati wakitembea dhidi ya boma yetu, kisha kisha tutainuka juu yao wachungaji saba na viongozi nane juu ya watu.
و او صلح و سلامتی به ارمغان خواهد آورد. هنگامی که آشوری‌ها به سرزمین ما هجوم آورده، وارد قلعه‌هایمان شوند، رهبران نیرومند خود را به مقابله با آنها خواهیم فرستاد؛
6 Watachunga nchi ya Ashuru kwa upanga, na nchi ya Nimrodi katika malango yake. Atatuokoa kutoka kwa Waashuru, watakapokuja kwenye nchi yetu, watakapoingia kwenye mipaka yetu.
و ایشان با شمشیرهای از غلاف کشیده، آشور، سرزمین نمرود را فتح خواهند کرد. زمانی که آشوری‌ها به سرزمین ما حمله‌ور شوند، او ما را از دست ایشان خواهد رهانید.
7 Mabaki ya Yakobo yatakuwa katika kabila za watu wengi, kama umande utokao kwa Yahwe, kama manyunyu kwenye majani, ambayo hayamsubiri mtu, na hayawasubiri watoto wa mwanadamu.
آنگاه بازماندگان اسرائیل برای قومهای بسیار، شبنم و بارانی از جانب خداوند خواهند بود. آنها به خدا اعتماد خواهند داشت نه به انسان.
8 Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa, miongoni mwa watu wengi, kama simba katikati ya kundi la kondoo. wakati akipita katikati yao, atawakanyaga juu yao na kuwachachana kuwa vipande vipande, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
ایشان در میان قومها و ملتهای بسیار مانند شیری درنده در میان گله‌های گوسفند خواهند بود، که هنگام عبور پایمال می‌کند و می‌درد و کسی نمی‌تواند آنها را برهاند.
9 Mkono wako utainuliwa dhidi ya maadui zako, na utawaharibu.
قوم اسرائیل در برابر دشمنانش خواهد ایستاد و آنها را نابود خواهد کرد.
10 “Itatokea siku hiyo,” asema Yahwe, “kwamba nitawaharibu farasi wako kutoka miongoni mwenu na nitayavunja magari yako ya farasi.
خداوند به قوم اسرائیل می‌فرماید: «در آن زمان تمام اسبها و ارابه‌های شما را از بین خواهم برد،
11 Nitaiharibu miji katika nchi yako na kuzingusha ngome zako zote.
شهرهای شما را خراب نموده، همهٔ قلعه‌هایتان را ویران خواهم کرد.
12 Nitauharibu uchawi kwenye mkono wako, na hakutakuwa na waaguzi tena.
به جادوگری شما پایان خواهم داد و دیگر فالگیرانی نخواهند بود تا با آنها مشورت کنید.
13 Nitaziaharibu sanamu zako za pango na nguzo za mawe kutoka miongoni mwako. Hautaabudu tena ustadi wa mikono yako.
تمام بتهای شما را سرنگون خواهم ساخت. دیگر هرگز آنچه را که با دست خود ساخته‌اید عبادت نخواهید کرد.
14 Nitazin'goa nguzo zako za Ashera kutoka miongoni mwenu, na nitaiharibu miji yenu.
بتهایی را که در سرزمین شماست منهدم خواهم کرد و شهرهایتان را با خاک یکسان خواهم نمود.
15 Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu juu ya mataifa ambayo hayakusikiliza.”
«من با خشم و غضب از اقوامی که مرا اطاعت نمی‌کنند انتقام خواهم گرفت.»

< Mika 5 >