< Mika 5 >

1 Sasa njoni pamoja katika safu ya kupigana, binti wa maaskari; maaskari wameuzingira mji, kwa ufito watampiga mwamuzi wa Israeli kwenye shavu.
Now you will cut yourself O daughter of troop[s] a siege someone has set on us with rod they will strike on the cheek [the] judge of Israel.
2 Lakini wewe, Bethlehemu Efrata, hata kama uko mdogo miongoni mwa koo za Yuda, kutoka kweko mmoja atakuja kwangu kutawala Israeli, ambaye mwanzo wake ni kutoka nyakati za kale, toka milele.
And you O Beth-lehem Ephrathah [are] insignificant to be among [the] families of Judah from you for me someone will go out to be ruler over Israel and origins his [are] from antiquity from days of antiquity.
3 Kwa hiyo Mungu atawapa, hata mda wa yeye aliye katika uchungu kuzaa mtoto, na mabaki ya ndugu zake yatawarudia wana wa Israeli.
Therefore he will deliver up them until a time [when one who is] about to give birth she has given birth and [the] rest of brothers his they will return! with [the] people of Israel.
4 Atasimama na kuchunga kundi lake kwa nguvu za Yahwe, kwa ukuu wa enzi ya jina la Yahwe Mungu wake. Watabaki, kwa kuwa atakuwa mashuhuri hata mwisho wa dunia.
And he will stand and he will shepherd by [the] strength of Yahweh by [the] majesty of [the] name of Yahweh God his and they will remain for now he will be great to [the] ends of [the] earth.
5 Atakuwa amani yetu. Wakati Waashuru watakapokuja kwenye nchi yetu, wakati wakitembea dhidi ya boma yetu, kisha kisha tutainuka juu yao wachungaji saba na viongozi nane juu ya watu.
And he will be this [one] peace Assyria - for it will come in land our and for it will tread on fortresses our and we will raise up on him seven shepherds and eight princes of man.
6 Watachunga nchi ya Ashuru kwa upanga, na nchi ya Nimrodi katika malango yake. Atatuokoa kutoka kwa Waashuru, watakapokuja kwenye nchi yetu, watakapoingia kwenye mipaka yetu.
And they will shepherd [the] land of Assyria with the sword and [the] land of Nimrod at entrances its and he will deliver [us] from Assyria if it will come in land our and for it will tread in territory our.
7 Mabaki ya Yakobo yatakuwa katika kabila za watu wengi, kama umande utokao kwa Yahwe, kama manyunyu kwenye majani, ambayo hayamsubiri mtu, na hayawasubiri watoto wa mwanadamu.
And it will be - [the] remnant of Jacob in [the] midst of peoples many like dew from with Yahweh like copious showers on vegetation which not it waits for anyone and not it waits for [the] children of humankind.
8 Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa, miongoni mwa watu wengi, kama simba katikati ya kundi la kondoo. wakati akipita katikati yao, atawakanyaga juu yao na kuwachachana kuwa vipande vipande, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
And it will be [the] remnant of Jacob among the nations in [the] midst of peoples many like a lion among [the] animals of [the] forest like a young lion (among flocks of *L(abh)*) sheep which if it has passed through and it tramples and it tears and there not [is] a deliverer.
9 Mkono wako utainuliwa dhidi ya maadui zako, na utawaharibu.
May it be lifted up hand your above opponents your and all enemies your may they be cut off.
10 “Itatokea siku hiyo,” asema Yahwe, “kwamba nitawaharibu farasi wako kutoka miongoni mwenu na nitayavunja magari yako ya farasi.
And it will be in the day that [the] utterance of Yahweh and I will cut off horses your from midst your and I will destroy chariots your.
11 Nitaiharibu miji katika nchi yako na kuzingusha ngome zako zote.
And I will cut off [the] cities of land your and I will tear down all fortresses your.
12 Nitauharibu uchawi kwenye mkono wako, na hakutakuwa na waaguzi tena.
And I will cut off sorceries from hand your and soothsayers not they will belong to you.
13 Nitaziaharibu sanamu zako za pango na nguzo za mawe kutoka miongoni mwako. Hautaabudu tena ustadi wa mikono yako.
And I will cut off images your and sacred pillars your from midst your and not you will bow down again to [the] work of hands your.
14 Nitazin'goa nguzo zako za Ashera kutoka miongoni mwenu, na nitaiharibu miji yenu.
And I will pluck up Asherah poles your from midst your and I will destroy cities your.
15 Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu juu ya mataifa ambayo hayakusikiliza.”
And I will do in anger and in rage vengeance with the nations which not they have obeyed.

< Mika 5 >